Hongera Joh Makini na Weusi kwa kutojishughulisha na kampeni

Hongera Joh Makini na Weusi kwa kutojishughulisha na kampeni

Hivi msanii hatakiwi kuwa na chama cha siasa au kununuliwa ndo shida
Unaruhusiwa.
Ila nina uhakika wasanii unaowaona leo wakimpamba Magufuli , ikatokea Ccm imeangukia pua wote watakimbilia kwenye upande wenye nguvu kisiasa.

Shortly wapo ccm kimaslahi zaidi sio kwamba wameshawishika na sera za ccm.
 
Mleta mada, elewa ya kwamba muziki ni ajira na mwanamuziki hachagui wapi pa kuimba alimradi tu ufike dau analolitaka. Wasanii hawana uanachama wa hivyo vyama badala yake wao wanalipwa kuburudisha. JARIBUNI KUWA WAELEWA WATU WANATAFUTA MLO EBHO..!!

Kuna masupastaa wakubwa tu wanatumbuiza mpaka kwenye birthday party, wedding party nk wanachoangalia ni je umefika kwenye dau,, kwenye harusi ya jamaa yangu mmoja ana vichenji vya kutingisha jiji ilikuwa 2016 alialikwa Christian Bella kuperform na akaja kupiga show thou kwa dakika ambazo hazikuzidi 20

Pia sio wote wamepata shavu la kusaini mkataba wa kutumbuiza kwenye kampeni, kuna wengi hawajapata dili hilo na wanatamani kweli kweli

Mwisho nakukumbusha tu, kampeni bado hazijaisha bado kuna wasanii wataperform kwenye maeneo ambayo yana influence kwao

na pía Diamond na Kiba walikula shavu kuperform 2015 karibia sehemu nyingi za kampeni ya CCM na bado wasanii hao kuanzia nyakati hizo mpaka hivi sasa wamezidi kujiongezea idadi kubwa ya mashabiki
Asipokuelewa amuone daktari
 
  • Thanks
Reactions: tyc
Ni Joh Makini na Jaydee ndio ambao mpaka sasa hawajafikiwa na bei za watu wa Lumumba.
 
Mara paap kesho wapo nakanyazi wakisifu, utaambia nn watu au utakuja kufuta Uzi wako
 
hawana soko wangekua nalo ungewaona
Halafu huwezi kukataza watu wasijitafutie ridhiki kisa una ushabiki na chama fulani... acha watu wajitafutie hata ibidi wawe chawa tu maana mwisho wa siku kila mtu ana maisha yake na lazima yaende kwa udi na uvumba
 
hawana soko wangekua nalo ungewaona
Halafu huwezi kukataza watu wasijitafutie ridhiki kisa una ushabiki na chama fulani... acha watu wajitafutie hata ibidi wawe chawa tu maana mwisho wa siku kila mtu ana maisha yake na lazima yaende kwa udi na uvumba
Itajulikana kama kampeni zitaenda arusha
 
Back
Top Bottom