Hongera Joh Makini na Weusi kwa kutojishughulisha na kampeni

Hivi msanii hatakiwi kuwa na chama cha siasa au kununuliwa ndo shida
Unaruhusiwa.
Ila nina uhakika wasanii unaowaona leo wakimpamba Magufuli , ikatokea Ccm imeangukia pua wote watakimbilia kwenye upande wenye nguvu kisiasa.

Shortly wapo ccm kimaslahi zaidi sio kwamba wameshawishika na sera za ccm.
 
Asipokuelewa amuone daktari
 
Reactions: tyc
Ni Joh Makini na Jaydee ndio ambao mpaka sasa hawajafikiwa na bei za watu wa Lumumba.
 
Mara paap kesho wapo nakanyazi wakisifu, utaambia nn watu au utakuja kufuta Uzi wako
 
hawana soko wangekua nalo ungewaona
Halafu huwezi kukataza watu wasijitafutie ridhiki kisa una ushabiki na chama fulani... acha watu wajitafutie hata ibidi wawe chawa tu maana mwisho wa siku kila mtu ana maisha yake na lazima yaende kwa udi na uvumba
 
hawana soko wangekua nalo ungewaona
Halafu huwezi kukataza watu wasijitafutie ridhiki kisa una ushabiki na chama fulani... acha watu wajitafutie hata ibidi wawe chawa tu maana mwisho wa siku kila mtu ana maisha yake na lazima yaende kwa udi na uvumba
Itajulikana kama kampeni zitaenda arusha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…