Ulimwengu Mbaya
JF-Expert Member
- Jun 23, 2013
- 1,218
- 840
Hivi doctor Abas yupo simsikii
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Siasa kwa ujumla wake zitakuwa na mwamko mpya pale tu itakapopatikana Katiba Mpya, kinyume na hapo tutaendelea kujadili mambo yale yale, ni either "dhaifu" au "dikteta" till the end of time, nothing new here, tuna pass time tu.Afadhali wewe ni kuanzia 2020. Mimi tangu 2015 niliachana na haya mambo ya hili jukwaa. Kwa kipindi chote sikuwahi kununua wala kusoma gazeti, kusikiliza habari au TV wakati wa taarifa ya habari au kusikiliza radio za kimataifa kama BBC, VOA na DW...
Bila mmoja hauwezi kuwa na mwenye nchi, mbomoa nchi ni mwenye nchi na mjenga nchi ni mwenye nchi.Mtu mmoja hawezi kuwa mwenye nchi.
Yule mzee ni nuksi Hata ustawi wa maisha yatakuwa okayMimi nashangaa tokea marehemu POMBE amekufa hata Hali ya joto na jua Kali limepungua.
Mzee alikuwa kikwazo Kwa Kila kitu
Uko sahihi. Tutakuwa tuna deal na mtu badala ya systemSiasa kwa ujumla wake zitakuwa na mwamko mpya pale tu itakapopatikana Katiba Mpya, kinyume na hapo tutaendelea kujadili mambo yale yale, ni either "dhaifu" au "dikteta" till the end of time, nothing new here, tuna pass time tu.
We kama mimi tofauti yetu ni we we una Pepsi baridii mi Nina kachupa kadogo ka konyagi.napitia comments nikiwa na sahani yangu iliyosheni pilau na minyama ya kutosha mixer Pepsi baridi kabisa...maana hii ni moja kati ya sikukuu yangu bora kabisa ktk kipindi cha miaka mitano iliyopita!!!!!
Kauli kama hizi.Bora mwendazake aondoke tu, kunamfumo fulani wa kijinga sana alikua anataka kuutengeneza nashukuru Mingi katuepushia hilo. Ilifikia mahali hata polepole anakuwa na kauli za kipuuzi kwa Wananchi. Mama pangua sukuma gang yote washamba watupu waliotaka kutuingiza shimoni
Hapa ni wale waliojeruhiwa na mnyama baada ya kuingia kwenye anga zake.Huu ni upuuzi na kukosa hekima.
Umeona mkuu
Exactly, akili zimeshadumaa, ndio maana siku hizi humu ndani vinaibuka vikundi vya ku-support watu badala ya institutions, inshort tumeshaanza ku deal na watu.Uko sahihi. Tutakuwa tuna deal na mtu badala ya system
Umeandika nini sasa?Wengi tulijiweka kando tukawaacha gwede gwede watambe watakavyo
Huu ni upuuzi na kukosa hekima.
Nadhani utakuwa umesahau yaliyomkuta Lissu.Najiuliza hivi kwanini watu ni wabinafsi sana ?
kwanini watu hawana umoja?
Mfano mtu mmoja tu anatengeneza mtazamo wake binafsi wa kutawala watu milioni 60 na anafanikiwa kwa kutumia haohao watu anao watawala kuendelea kuwa na nguvu
Kama umewahi kuona simba mmoja katikati ya maelfu ya nyumbu na bado simba akawa ni shujaa kwa kufanya anavyotaka kwa mafanikio kabisa hiyo ikafanya uwadhara wanyama nyumbu inabidi waombe radhi kwa dhati kabisa kwa kuwa wale ni bora mara elfu kuliko sisi ambao kwa mamilioni yetu na utashi wetu lakini tumekuwa under control na kichwa kimoja tu