Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mh.. Ushamba wa sosho midia huu.. hiyo sasa si ni Advataisiment
Ndugu, unaharibu heshima ya watumishi wa UKWELI kwa kumuita huyu Mbasha ni mtumishi..Katika page yake ya instagram Mtumishi Emanuel Mbasha ameweka picha ya Mtoto wake wa kwanza Elizabeth
View attachment 992789
Hongera sana Mtumishi umekuza!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Navaa viatu vya moyo wa mbasha anaumia mnooo kwamba mke wake ameolewa na sasa anachapiwa Hii inahitaji moyo mkuu mno kuvumilia haya maumivu na watoto watakuwa na stigma au phobia yani iliniuma mnoooooo Hawa watu kuachana ila mpaka Leo namsapoti mbasha sio mkeweKatika page yake ya instagram Mtumishi Emanuel Mbasha ameweka picha ya Mtoto wake wa kwanza Elizabeth
View attachment 992789
Hongera sana Mtumishi umekuza!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Unamsapoti katika sekta ipi?Navaa viatu vya moyo wa mbasha anaumia mnooo kwamba mke wake ameolewa na sasa anachapiwa Hii inahitaji moyo mkuu mno kuvumilia haya maumivu na watoto watakuwa na stigma au phobia yani iliniuma mnoooooo Hawa watu kuachana ila mpaka Leo namsapoti mbasha sio mkewe
This country is full of Mbashaz kwa kweli!Mbasha is among the stupidiest man the country is having in this era....
Hahaa mafisi bwana
Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe Frola kwani kinyongo hakijaisha tu?
wewe mwenyewe Fisi mbona umekwenda kuliwa tena mashine kwingine na mijamaa mara gwajima, mara umeolewa na nani sijui!
tulia angalia kitu niko cha mbasha hiki hapa, mweeeee! si ulisusa?
atakuwa mwimbaji huyo