Team zetu walidharau tatizo ila wangecheza wangejitabgaza sana kimataifaAlafu tumechukulia haya mashindano ya sportpesa poa, ila kwa mfano simba ndo tungekomaa au haya yanga ikashinda na kucheza na everton, imgekuwa ni silaha moja kubwa sana ya kumtania mtani wako kuwa sisi tulicheza na everton, nyie je! Ila upuuzi wa kuchukulia mambo poa yametuponza!
Wakenya wako vizuri, na media zao ziko njema sana[emoji3] [emoji3] [emoji113]Kwa kweli hawa wakenya wako vizuri.
Kocha wa Gormahia ni yule liyetimuliwa na simba kwa kuonekana hajui
Maskini kumbe Simba ndo hawajui
Kumbukw hyo sio timu ya taifa.Uhakika upi zaidi ya huu unaouona ?
Punguza kujikomba....Huku kwetu Tanzania mpira unachezwa zaidi na viongozi , ndani ya uwanja , nje ya uwanja na mahakamani , kwetu kununua mechi ni jambo la kawaida sana ! Waamuzi kununuliwa siyo siri tena .. .
Mkuu naona unawaongelea vijana wa msimbaziNaangalia game ya Timu ya Gor-Mahia ya Kenya dhidi ya Timu kali ya Everton kutoka Uingereza kupitia EATV hapa kwenye uwanja wa maonesho wa sabasaba , Hakika mna kila sababu ya kutembea kifua mbele .
Timu yenu ni nzuri na kiukweli inastahili kuiwakilisha East Africa kwenye game hii , hongereni sana wakenya .
Huku kwetu Tanzania mpira unachezwa zaidi na viongozi , ndani ya uwanja , nje ya uwanja na mahakamani , kwetu kununua mechi ni jambo la kawaida sana ! Waamuzi kununuliwa siyo siri tena .
Soka la Tanzania limedumaa mithili ya MTOTO ALIYEBEMENDWA ! hivi ninavyoandika haya viongozi wa TFF wako mahakamani kwa sababu zinazofahamika kama FITNA ZA UCHAGUZI ! Yaani viongozi wa soka wanapangwa kutoka nje ya soka lenyewe , aibu sana !
Wakenya endelea kuongoza , sisi tutaendelea kuburuza mkia .
Nimecheka sana !
Huku simba kuna mtu aliitwa Bamchawi , Full vitisho vya uchawi !
Ni yule aliyefukuzwa simba .Kocha wa Gor mahia ni nani?
Mkuu hamia KenyaNaangalia game ya Timu ya Gor-Mahia ya Kenya dhidi ya Timu kali ya Everton kutoka Uingereza kupitia EATV hapa kwenye uwanja wa maonesho wa sabasaba , Hakika mna kila sababu ya kutembea kifua mbele .
Timu yenu ni nzuri na kiukweli inastahili kuiwakilisha East Africa kwenye game hii , hongereni sana wakenya .
Huku kwetu Tanzania mpira unachezwa zaidi na viongozi , ndani ya uwanja , nje ya uwanja na mahakamani , kwetu kununua mechi ni jambo la kawaida sana ! Waamuzi kununuliwa siyo siri tena .
Soka la Tanzania limedumaa mithili ya MTOTO ALIYEBEMENDWA ! hivi ninavyoandika haya viongozi wa TFF wako mahakamani kwa sababu zinazofahamika kama FITNA ZA UCHAGUZI ! Yaani viongozi wa soka wanapangwa kutoka nje ya soka lenyewe , aibu sana !
Wakenya endelea kuongoza , sisi tutaendelea kuburuza mkia .
Niliyasema haya jana,wengine hawakunielewa but wenye uelewa walielewa,,,hongera gor mahia hongera wakenya sisi tuko bize na kupangiana viongozi pale tffNaangalia game ya Timu ya Gor-Mahia ya Kenya dhidi ya Timu kali ya Everton kutoka Uingereza kupitia EATV hapa kwenye uwanja wa maonesho wa sabasaba , Hakika mna kila sababu ya kutembea kifua mbele .
Timu yenu ni nzuri na kiukweli inastahili kuiwakilisha East Africa kwenye game hii , hongereni sana wakenya .
Huku kwetu Tanzania mpira unachezwa zaidi na viongozi , ndani ya uwanja , nje ya uwanja na mahakamani , kwetu kununua mechi ni jambo la kawaida sana ! Waamuzi kununuliwa siyo siri tena .
Soka la Tanzania limedumaa mithili ya MTOTO ALIYEBEMENDWA ! hivi ninavyoandika haya viongozi wa TFF wako mahakamani kwa sababu zinazofahamika kama FITNA ZA UCHAGUZI ! Yaani viongozi wa soka wanapangwa kutoka nje ya soka lenyewe , aibu sana !
Wakenya endelea kuongoza , sisi tutaendelea kuburuza mkia .
Kwani hawa Daily Mail bangi wananunua wapi?Wakenya wako vizuri, na media zao ziko njema sana[emoji3] [emoji3] [emoji113]
Nina super market Nairobi mjomba , usione tuko humu hatuna njaa hata chembe , tumejitolea tu kusaidia hawa masikini wanaoendelea kukamuliwa hadi damu .Mkuu hamia Kenya
Usimung'unye maneno , Tanzania haina timu .Alafu tumechukulia haya mashindano ya sportpesa poa, ila kwa mfano simba ndo tungekomaa au haya yanga ikashinda na kucheza na everton, imgekuwa ni silaha moja kubwa sana ya kumtania mtani wako kuwa sisi tulicheza na everton, nyie je! Ila upuuzi wa kuchukulia mambo poa yametuponza!
Alafu tumechukulia haya mashindano ya sportpesa poa, ila kwa mfano simba ndo tungekomaa au haya yanga ikashinda na kucheza na everton, imgekuwa ni silaha moja kubwa sana ya kumtania mtani wako kuwa sisi tulicheza na everton, nyie je! Ila upuuzi wa kuchukulia mambo poa yametuponza!
Wangekuwa hwajui wangemleta? Sema walindwa gharama zake,uwe unauliza kwanza.Kocha wa Gormahia ni yule liyetimuliwa na simba kwa kuonekana hajui
Maskini kumbe Simba ndo hawajui
Nadhani mashindano hayakuja wakati muafaka ligi imeisha wachezaji wengine walikuwa kwenye kambi ya tim ya taifa so kukaza kulikuwepo ila uwezo uliishia paleTeam zetu walidharau tatizo ila wangecheza wangejitabgaza sana kimataifa
Ova