Hongera Kenya , Hongereni wakenya , Nakulilia Tanzania

Hongera Kenya , Hongereni wakenya , Nakulilia Tanzania

Alafu tumechukulia haya mashindano ya sportpesa poa, ila kwa mfano simba ndo tungekomaa au haya yanga ikashinda na kucheza na everton, imgekuwa ni silaha moja kubwa sana ya kumtania mtani wako kuwa sisi tulicheza na everton, nyie je! Ila upuuzi wa kuchukulia mambo poa yametuponza!
Team zetu walidharau tatizo ila wangecheza wangejitabgaza sana kimataifa

Ova
 
Kwa kweli hawa wakenya wako vizuri.
Wakenya wako vizuri, na media zao ziko njema sana[emoji3] [emoji3] [emoji113]

d4e8b037ee9bc3c83c35e9cf4fb81c12.jpg
 
Kocha wa Gormahia ni yule liyetimuliwa na simba kwa kuonekana hajui
Maskini kumbe Simba ndo hawajui

Kutimuliwa kwa kocha ni kitu cha kawaida sana, labda uwe hujui soka ndio utaona muujiza..
 
Naangalia game ya Timu ya Gor-Mahia ya Kenya dhidi ya Timu kali ya Everton kutoka Uingereza kupitia EATV hapa kwenye uwanja wa maonesho wa sabasaba , Hakika mna kila sababu ya kutembea kifua mbele .

Timu yenu ni nzuri na kiukweli inastahili kuiwakilisha East Africa kwenye game hii , hongereni sana wakenya .

Huku kwetu Tanzania mpira unachezwa zaidi na viongozi , ndani ya uwanja , nje ya uwanja na mahakamani , kwetu kununua mechi ni jambo la kawaida sana ! Waamuzi kununuliwa siyo siri tena .

Soka la Tanzania limedumaa mithili ya MTOTO ALIYEBEMENDWA ! hivi ninavyoandika haya viongozi wa TFF wako mahakamani kwa sababu zinazofahamika kama FITNA ZA UCHAGUZI ! Yaani viongozi wa soka wanapangwa kutoka nje ya soka lenyewe , aibu sana !

Wakenya endelea kuongoza , sisi tutaendelea kuburuza mkia .
Mkuu naona unawaongelea vijana wa msimbazi

Sent from my SM-T355 using JamiiForums mobile app
 
Nimecheka sana !

Huku simba kuna mtu aliitwa Bamchawi , Full vitisho vya uchawi !


Sasa jiulize kuna mpira kweli hapa? Yaani hizi timu kuendelea pamoja na timu ya Taifa inabidi waachane na uchawi kabisa la sivyo watazidi kuchezewa akili na Mze Akilimali na wababaishaji wengine.
 
Naangalia game ya Timu ya Gor-Mahia ya Kenya dhidi ya Timu kali ya Everton kutoka Uingereza kupitia EATV hapa kwenye uwanja wa maonesho wa sabasaba , Hakika mna kila sababu ya kutembea kifua mbele .

Timu yenu ni nzuri na kiukweli inastahili kuiwakilisha East Africa kwenye game hii , hongereni sana wakenya .

Huku kwetu Tanzania mpira unachezwa zaidi na viongozi , ndani ya uwanja , nje ya uwanja na mahakamani , kwetu kununua mechi ni jambo la kawaida sana ! Waamuzi kununuliwa siyo siri tena .

Soka la Tanzania limedumaa mithili ya MTOTO ALIYEBEMENDWA ! hivi ninavyoandika haya viongozi wa TFF wako mahakamani kwa sababu zinazofahamika kama FITNA ZA UCHAGUZI ! Yaani viongozi wa soka wanapangwa kutoka nje ya soka lenyewe , aibu sana !

Wakenya endelea kuongoza , sisi tutaendelea kuburuza mkia .
Mkuu hamia Kenya
 
Naangalia game ya Timu ya Gor-Mahia ya Kenya dhidi ya Timu kali ya Everton kutoka Uingereza kupitia EATV hapa kwenye uwanja wa maonesho wa sabasaba , Hakika mna kila sababu ya kutembea kifua mbele .

Timu yenu ni nzuri na kiukweli inastahili kuiwakilisha East Africa kwenye game hii , hongereni sana wakenya .

Huku kwetu Tanzania mpira unachezwa zaidi na viongozi , ndani ya uwanja , nje ya uwanja na mahakamani , kwetu kununua mechi ni jambo la kawaida sana ! Waamuzi kununuliwa siyo siri tena .

Soka la Tanzania limedumaa mithili ya MTOTO ALIYEBEMENDWA ! hivi ninavyoandika haya viongozi wa TFF wako mahakamani kwa sababu zinazofahamika kama FITNA ZA UCHAGUZI ! Yaani viongozi wa soka wanapangwa kutoka nje ya soka lenyewe , aibu sana !

Wakenya endelea kuongoza , sisi tutaendelea kuburuza mkia .
Niliyasema haya jana,wengine hawakunielewa but wenye uelewa walielewa,,,hongera gor mahia hongera wakenya sisi tuko bize na kupangiana viongozi pale tff

Sent from my HUAWEI Y330-U11 using JamiiForums mobile app
 
Alafu tumechukulia haya mashindano ya sportpesa poa, ila kwa mfano simba ndo tungekomaa au haya yanga ikashinda na kucheza na everton, imgekuwa ni silaha moja kubwa sana ya kumtania mtani wako kuwa sisi tulicheza na everton, nyie je! Ila upuuzi wa kuchukulia mambo poa yametuponza!
Usimung'unye maneno , Tanzania haina timu .
 
Alafu tumechukulia haya mashindano ya sportpesa poa, ila kwa mfano simba ndo tungekomaa au haya yanga ikashinda na kucheza na everton, imgekuwa ni silaha moja kubwa sana ya kumtania mtani wako kuwa sisi tulicheza na everton, nyie je! Ila upuuzi wa kuchukulia mambo poa yametuponza!


Bora Gor Mahia ndiyo iliwakilisha East Afrika si Simba wala Yanga.....maana wangekuwa wao hapo wasingeambulia hata goli....ingekuwa kichapo 10 kwenda mbele.
 
Simba aibu kwenu.Kocha mliyemfukuza leo anaishangaza dunia kwa soka safi tena la kitabuni dhidi ya everton.Hili liwe fundisho kwa timu za bongo.
 
Kocha wa Gormahia ni yule liyetimuliwa na simba kwa kuonekana hajui
Maskini kumbe Simba ndo hawajui
Wangekuwa hwajui wangemleta? Sema walindwa gharama zake,uwe unauliza kwanza.

Sent from my TECNO-C9 using JamiiForums mobile app
 
Team zetu walidharau tatizo ila wangecheza wangejitabgaza sana kimataifa

Ova
Nadhani mashindano hayakuja wakati muafaka ligi imeisha wachezaji wengine walikuwa kwenye kambi ya tim ya taifa so kukaza kulikuwepo ila uwezo uliishia pale

Sent from my SM-N9005 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom