Huku wenzetu wakisameheana sisi tunasusiana misiba kwa sababu za kijinga kabisa halafu tunadai tunajenga umoja wa kitaifa.
Bunge lasusa mazishi ya Mwalimu Bilago na kurudi Dodoma. Wabunge wa CCM waamriwa kuondoka msibani
Mkuu huku kwetu wapinzani wakimuunga mkono Rais wanaambiwa wanavunja democrasia ya vyama vingi.Huku wenzetu wakisameheana sisi tunasusiana misiba kwa sababu za kijinga kabisa halafu tunadai tunajenga umoja wa kitaifa.
Bunge lasusa mazishi ya Mwalimu Bilago na kurudi Dodoma. Wabunge wa CCM waamriwa kuondoka msibani
Wewe nae umetoka kulala sijui. Hujawahi ona Lowasa na Magufuli wakiongelea maendeleo?Nimewaangalia Rais Uhuru Kenyatta, Makamu wake William Rutto, Viongozi Wa upinzani mgombea urais toka NASA na mgombea mwenza wake Kalonzo Musyoka.
Viongozi hawa Wa Wakenya, wameombana msamaha mbele ya wakenya, kwa yote walioshutumiana kwa kipindi chote cha uchaguzi na kuamua KUSAMEHEANA na kuungana kuipigania Kenya.
Nimefurahi kuona wanadamu wakisameheana, ila nimechukizwa kuona kwann Wakenya wamekuwa Wa kwanza kulifikiria hili.
Sisi tunakwamia wapi? Wakenya wanavyotamba kuwa wao ndo bora Afrika Mashariki, tukifuatia Tanzania kisha Uganda.
Nilikuwa mbishi sitaki kuamini kabisa nikiamini sisi ndo bora nikikiamini KISWAHILI lkn kumbe kina ujanjaujanja mwingi.
Naomba sana hili ni zuri saana japo tumetanguliwa ustawi Wa taifa huanzia hapo.
Mfumo Wa vyama vingi si uadui.
Si umeona lugha yako, anyway ndivyo ulivyoumbwa na Mola wako, kuona kwamba binadamu wenzio ni Wa kukejeliwa.Wewe nae umetoka kulala sijui. Hujawahi ona Lowasa na Magufuli wakiongelea maendeleo?
Kuombana msamaha inategemea jinsi gani mulikuwa mumekosana. Kenya watu wengi sana walikufa ndo maana wanaombana misamaha .. Pili kuna ukabila mkubwa sana usiombe ukaingia hapa TZ.
Endelea kubaki usingizini ..Wapinzani wakiunga mkono juhudi za raisi upizani unalia kufa.. Hilo la Uhuru na Odinga je? Linauwa upinzani Kenya?
Ameelewa somo baada ya kammpuni zake wanachama wa raila kususa kununua bidhaa zake Na kujikuta akila hasara ya uhakika kaona yaishe.Hapo Ni business interest zake zimeguswa akaona isiwe nongwa aombe msamaha yaishe ili wafuasi wa Raila waendelee kununua bidhaa za kammpuni zakeUhuru Kenyatta ni rais ambae anajua nini maana ya uongozi amelelewa ikulu hana ushamba kuhusu uongozi.
Nakubaliana na wewe kabisa, lakini pia kuna mbadala wake ambao ni kukaa na uadui na kila kundi kulinda kambi yake ambapo matokeo yake ni mabaya Zaidi. Tunaweza kujadili pia mantiki ya ile tume ya maridhiano ya Afrika Kusini (Truth and Reconciliation Commission ya Desmond Tutu), zote ni kazi binadamu hazina utimilifu. Ni katika jitihada ya kufanya lililo bora na lenye hekima na tumaini la Maisha bora ya kesho. Ni kuchagua kati ya shetani wa wawili yupi mwenye afadhari. Nafikiri..Ni kweli wamefanya vizuri lakini pia ni kitendo kinachoonyesha kuwa siasa ni mchezo mchafu sana, wakenya wengi wamepoteza maisha kwa vuguvugu hizi, lakini leo kiurahisi tu watu wanashikana mikono eti wanasameheana, vipi kuhusu waliopoteza maisha? Ni siasa za maji taka hizo.
Kwahiyo Bidhaa zitauzika kwelikweliAmeelewa somo baada ya kammpuni zake wanachama wa raila kususa kununua bidhaa zake Na kujikuta akila hasara ya uhakika kaona yaishe.Hapo Ni business interest zake zimeguswa akaona isiwe nongwa aombe msamaha yaishe ili wafuasi wa Raila waendelee kununua bidhaa za kammpuni zake
Nakala iwafikie wafuasi wa Lowasa aliyekutana Na Magufuli Na wale wapiga kura wa chadema kinondoni uchaguzi wa 2015 waliohangaika Na mbunge wa UKAWA MtuliaNi kweli wamefanya vizuri lakini pia ni kitendo kinachoonyesha kuwa siasa ni mchezo mchafu sana, wakenya wengi wamepoteza maisha kwa vuguvugu hizi, lakini leo kiurahisi tu watu wanashikana mikono eti wanasameheana, vipi kuhusu waliopoteza maisha? Ni siasa za maji taka hizo.
Tusubiri tuoneKwahiyo Bidhaa zitauzika kwelikweli