chabuso
JF-Expert Member
- Feb 18, 2013
- 6,380
- 5,884
Waafrika hisia zetu ndio zinazotuongoza sio uhalisia wa jambo...umetoa maamuzi yako kwa hisia zako,hujaangalia manufaa(benefit) ya hili jambo kwa Kenya kiujumla,Bila shaka labda biashara zake zitafungua lakini vile vile biashara za wengine zitafunguka,kenya itanufaika..MkuuHahaha mkuu chabuso , mawazo ya kiafrika yapoje? Mimi ni muafrika lazima niwe na mawazo ya kiafrika , ndio maana nimesema ni siasa tu alichokifanya uhuru , si cha ajabu hata kidogo ,angekifanya hicho wakati ana kesi , bila kuvuruga mashahidi kule hegue ndio ningemuona ni mfano wa kuigwa lakini sasa , kaona awamu yake imekwisha anaomba msamaha ni tendo lakawaida tu, ajiuzulu basi tujue kamaanisha .na ndio tendo la kishujaa.