Inanambo
JF-Expert Member
- Jun 26, 2011
- 4,039
- 2,840
Leo asubuhi nimebahatika kuwatch Citizen TV
Nikakutana na Live Kipindi kutoka State House yao kinaitwa Infrastructure Summit. Nikavutiwa kukisikiliza. Waziri wao alikuwa anaongea kuhusu kazi aliyoifanya ya Infrastructure mbele ya wadau. Baadaye kila aliyekabidhiwa kazi ya kuhakikisha miundombinu hiyo inakamilikishwa akaitwa mbele kujieleza na Moderator Jeff Koinage akawa anawahoji. Kila mmoja alieleza kafanya nini, kapata wapi fedha, amekamilisha kiasi gani, challenge ni zipo. Wadau wanauliza maswali wanatoa mapendekezo yao. Ikiwa private sector nazo zihusishwe, waondoeje traffic jam n.k. Jubilee wametekelezaje ahadi zake wameshindwa wapi yaani hadi raha. Mjadala wote ni English wanaflow hadi raha
naona wengi ni Engineers. My take: Naomba Watz tuige mfano huo wa kukutana kutoa mrejesho wa Majukumu tuliyopewa.
Nikakutana na Live Kipindi kutoka State House yao kinaitwa Infrastructure Summit. Nikavutiwa kukisikiliza. Waziri wao alikuwa anaongea kuhusu kazi aliyoifanya ya Infrastructure mbele ya wadau. Baadaye kila aliyekabidhiwa kazi ya kuhakikisha miundombinu hiyo inakamilikishwa akaitwa mbele kujieleza na Moderator Jeff Koinage akawa anawahoji. Kila mmoja alieleza kafanya nini, kapata wapi fedha, amekamilisha kiasi gani, challenge ni zipo. Wadau wanauliza maswali wanatoa mapendekezo yao. Ikiwa private sector nazo zihusishwe, waondoeje traffic jam n.k. Jubilee wametekelezaje ahadi zake wameshindwa wapi yaani hadi raha. Mjadala wote ni English wanaflow hadi raha
naona wengi ni Engineers. My take: Naomba Watz tuige mfano huo wa kukutana kutoa mrejesho wa Majukumu tuliyopewa.