johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Leseni kama ile ya Pascal Mayalla?Wajiandae kutishwa na Abasi, pia kunyang'anywa lesseni.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Leseni kama ile ya Pascal Mayalla?Wajiandae kutishwa na Abasi, pia kunyang'anywa lesseni.
Nipelekee salam zangu pia. Waambie Chakaza anasema "hata wamama wanapovumilia miezi kadhaa kwa changamoto za ujauzito wanajua mwisho ni furaha ya kuwa na mtoto",Nikifika Dar kesho nitakwenda hadi ofisini kwao kuwapongeza, hope ofisi zao zitakua wazi muda wa saa nane mchana! I will be there
by then unaweza kutana na makufuli tu na hakuna mtu hata mmoja ofisini kwani gazeti litakuwa lishafungiwa tayari kwa kuchapisha habari ya Tundu Lissu!Nikifika Dar kesho nitakwenda hadi ofisini kwao kuwapongeza, hope ofisi zao zitakua wazi muda wa saa nane mchana! I will be there
Hili gazeti toka mwanzo lilikuwa linajitahidiHuenda wameanza kugundua hatari ya kumlamba miguu Bwana yule.
Hata hivyo, gazeti linaweza kuadhibiwa kwa kuandika habari hii bila ku-balance story kwa kuwahoji watu wasiojulikana!
Ipo soft sana ndiyo maana imewekwa font fedWe nadhani hiyo taarifa ina MADHARA gani kwa JPM hiyo taarifa ni nzuri maana akishinda lisu ni ushahidi tosha kumlinda Jpm
Hivi kweli ni JPM huyuhuyu anayeenda kanisani kila Jumapili ndio alipanga lile shambulio au anapakaziwa tu?We nadhani hiyo taarifa ina MADHARA gani kwa JPM hiyo taarifa ni nzuri maana akishinda lisu ni ushahidi tosha kumlinda Jpm
Kwenda kanisani ni jambo moja na kuwa kuwa mfuaasi wa kristu ni jambo lingineHivi kweli ni JPM huyuhuyu anayeenda kanisani kila Jumapili ndio alipanga lile shambulio au anapakaziwa tu?
Hawa jamaa pamoja na kuwepo na virus wa ccm kwenye sehemu ya watendaji hapo mwananchi media house lkn bado wanajitahidi angalau kuziba masikioNi gazeti pekee angalau lilodhubutu kuzungumzia habari za Tundu Lisu mgombea halali wa urais kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo, CHADEMA, Azam tv habari pia tuliona habari yenu kumhusu Lissu, inatosha kusema angalau mmethubutu.
Makanisani !!!!.Hivi kweli ni JPM huyuhuyu anayeenda kanisani kila Jumapili ndio alipanga lile shambulio au anapakaziwa tu?
Ila mwisho wa watu kama hawa haujawahi kuwa mwemaTunapitia magumu sana
Kwakuwa hii ni chimbuko la kutoka nchini kenya naona wameamua kutumia angalau welediNikifika Dar kesho nitakwenda hadi ofisini kwao kuwapongeza, hope ofisi zao zitakua wazi muda wa saa nane mchana! I will be there
Hawa wanajua gazeti lao kuongoza ni kutokana na kuweka habari sensitive kama hizi sasa wakianza kuandika kwa matakwa ya serikali basi watapoteza credibility mwisho wa simu mapato yatashuka kumbuka hawa sio TBC ambao wanapokea ruzuku hivyo wanategemea mauzo ili wajiendesheHawa jamaa pamoja na kuwepo na virus wa ccm kwenye sehemu ya watendaji hapo mwananchi media house lkn bado wanajitahidi angalau kuziba masikio
Kwa kweli mwananchi leo wamejitahidi sanaNi gazeti pekee angalau lilodhubutu kuzungumzia habari za Tundu Lisu mgombea halali wa urais kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo, CHADEMA, Azam tv habari pia tuliona habari yenu kumhusu Lissu, inatosha kusema angalau mmethubutu.
Hizi media wasipo kuwa na viongozi weledi zinaishia kujifia Kama kina channel kumi na ile nyota tvHawa wanajua gazeti lao kuongoza ni kutokana na kuweka habari sensitive kama hizi sasa wakianza kuandika kwa matakwa ya serikali basi watapoteza credibility mwisho wa simu mapato yatashuka kumbuka hawa sio TBC ambao wanapokea ruzuku hivyo wanategemea mauzo ili wajiendeshe
TuwapongezeKwa kweli mwananchi leo wamejitahidi sana
Ila media zinaugulia maumivu ndani kwa ndani yaani.Tuwapongeze
Wajidanganye...by then unaweza kutana na makufuli tu na hakuna mtu hata mmoja ofisini kwani gazeti litakuwa lishafungiwa tayari kwa kuchapisha habari ya Tundu Lissu!
😀😀😀😀😀😀😀😀 Tundu Lissu hataandikwaje hatumwamini tenaaaaaaa. OverTangu Lissu afike ni gazeti pekee lililojitahidi kumuandika front page mara kadhaa hata alipokuwa Ubelgiji walikuwa wanamuhoji nafikiri watawala hawafurahia habari hii.