Gidbang
JF-Expert Member
- Jun 1, 2014
- 4,482
- 3,999
Wanaoenda makanisani na misikitini ndo water da shamba wakubwa wanajificha muleHivi kweli ni JPM huyuhuyu anayeenda kanisani kila Jumapili ndio alipanga lile shambulio au anapakaziwa tu?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanaoenda makanisani na misikitini ndo water da shamba wakubwa wanajificha muleHivi kweli ni JPM huyuhuyu anayeenda kanisani kila Jumapili ndio alipanga lile shambulio au anapakaziwa tu?
Hakuna chombo Cha habari chochote ambacho kimzuiwa kuandika habari za huyo Lissu, issue inakuja katika hotuba zake anaweza kuhutubia zaidi ya saa usiipate at habari moja zaidi pumba tu! Sa utaandika? Bora uache tuNi gazeti pekee angalau lilodhubutu kuzungumzia habari za Tundu Lisu mgombea halali wa urais kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo, CHADEMA, Azam tv habari pia tuliona habari yenu kumhusu Lissu, inatosha kusema angalau mmethubutu.
Mwenyewe nimeona fairness kwa Mwananchi. Ukweli wamefanya jambo zuri sana na leo gazeti lao lazima linunuliwe nakala zote. Hadi nimetamani wapandishe na bei kabisa!Ni gazeti pekee angalau lilodhubutu kuzungumzia habari za Tundu Lisu mgombea halali wa urais kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo, CHADEMA, Azam tv habari pia tuliona habari yenu kumhusu Lissu, inatosha kusema angalau mmethubutu.
Umeandika falsafa muhimu sana. UbarikiweHivi hawa viingozi wetu hawaoni aibu kulazimisha mapenzi ya mtu kwa chama fulani au kwa mgombea?
Hata wakizuia habari zinazomhusu Lissu zisitangazwe au kuandukwa gazetini, bado wenye mapenzi na Chadema ama Lissu wataendelea kumuunga mkono. Wakae wakilijua hili.
Njoo na samaki wa kukaangwa.Nikifika Dar kesho nitakwenda hadi ofisini kwao kuwapongeza, hope ofisi zao zitakua wazi muda wa saa nane mchana! I will be there
Nimepata breakdown kidogo hapa Mwigumbi ila inshaAllah nitaendelea na safari muda si mrefuNjoo na samaki wa kukaangwa.
Ni ngumu sana dreva kuendesha Basi la abiria wakati hajui usukani unakaa wapi ndani ya Basi.Ni gazeti pekee angalau lilodhubutu kuzungumzia habari za Tundu Lisu mgombea halali wa urais kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo, CHADEMA, Azam tv habari pia tuliona habari yenu kumhusu Lissu, inatosha kusema angalau mmethubutu.
Niliwambia tuwaache wajimwambafai. Hatimaye wametukuta kwenye uchaguzi mwingine, wengine walidiriki kusema tutaondoka mjini 'change ni wewe'Tunapitia magumu sana
Napenda nije kuona gazeti linalo shupalia maombi ya Lissu ya mdahalo.Ipo soft sana ndiyo maana imewekwa font fed