Hongera kwa Mkurugenzi Mkuu na Wafanyakazi wa Hospitali ya Rufaa ya Bugando

Hongera kwa Mkurugenzi Mkuu na Wafanyakazi wa Hospitali ya Rufaa ya Bugando

koryo1952

JF-Expert Member
Joined
Mar 7, 2023
Posts
948
Reaction score
1,627
Leo jioni nilienda kumjulia hali mgonjwa wangu aliyelazwa Cancer Center. Sikuamini macho yangu kutokana na usafi niliouona pale Cancer Center.

Chumba cha wagonjwa ni safi sana na sasa ukija kwenye mashuka ambayo ni meupe ni masafi kweli kweli. Hapa Bugando wodi zote ni safi.

Mimi binafsi ninakupongeza sana pamoja na wafanyakazi walio chini yako.

Nawaomba kuwa muendelee na huo utamaduni wa usafi na wagonjwa watafarijika sana.
 
Leo jioni nilienda kumjulia hali mgonjwa wangu aliyelazwa Cancer Center. Sikuamini macho yangu kutokana na usafi niliouona pale Cancer Center. Chumba cha wagonjwa ni safi sana na sasa ukija kwenye mashuka ambayo ni meupe ni masafi kweli kweli. Hapa Bugando wodi zote ni safi. Mimi binafsi ninakupongeza sana pamoja na wafanyakazi walio chini yako. Nawaomba kuwa muendelee na huo utamaduni wa usafi na wagonjwa watafarijika sana.
Mleta mada wewe ni mtu wa ovyo kabisa.
Yaani umeenda wodi ya Cancer Center hapo Bugando kumjulia hali mgonjwa wako tu, halafu hapo hapo ukagundua mashuka ya wodi zote za hospitali yote ya Bugandi ni meupe na masafi!!!

Kwa huu ujinga ulioandika, kazi uliyotumwa kuja kusifia hapa JF hautalipwa kabisa. Kajipange upya.
 
Mleta mada wewe ni mtu wa ovyo kabisa.
Yaani umeenda wodi ya Cancer Center hapo Bugando kumjulia hali mgonjwa wako tu, halafu hapo hapo ukagundua mashuka ya wodi zote za hospitali yote ya Bugandi ni meupe na masafi!!!

Kwa huu ujinga ulioandika, kazi uliyotumwa kuja kusifia hapa JF hautalipwa kabisa. Kajipange upya.
Makwenzi yanakuhusu TUSHASEMA NI SAFI
 
Leo jioni nilienda kumjulia hali mgonjwa wangu aliyelazwa Cancer Center. Sikuamini macho yangu kutokana na usafi niliouona pale Cancer Center.

Chumba cha wagonjwa ni safi sana na sasa ukija kwenye mashuka ambayo ni meupe ni masafi kweli kweli. Hapa Bugando wodi zote ni safi.

Mimi binafsi ninakupongeza sana pamoja na wafanyakazi walio chini yako.

Nawaomba kuwa muendelee na huo utamaduni wa usafi na wagonjwa watafarijika sana.
🥰🥰🥰🥰
 
Back
Top Bottom