Hongera kwa Mpishi wa Simba Mpya

Hongera kwa Mpishi wa Simba Mpya

Best Daddy

JF-Expert Member
Joined
Apr 2, 2019
Posts
950
Reaction score
1,672
Japo utambulisho bado haujakamilika, ila nimechagua kuja kutoa siri. Nimechagua kuja kutoa pongezi.

Katika nyuzi zilizopita nilitoa angalizo kuwa huwezi hitaji aina fulani ya mpira, then unaenda sokoni kuchukua mchezaji au kocha ambaye hana sifa za aina au falsafa ya kile unachokitaka. Nikatolea mfano yaani unataka mpira biriani, Jogo bonito , Beautiful/Sexy football, alafu unaenda kumchukua José Mourinho then ukategemea Sexy Football.

Hivyo hivyo upande wa wachezaji: Timu inahitaji wachezaji runners kama AS Vita/RS Berkane then unaenda kuchukua the like of Chama/Rally Bwalya then unategemea atakimbia kama the like of Kisinda e.t.c ni ngumu kufanikiwa.
Haimanishi hao wachezaji ni wabaya hapana, bali strength zao ni tofauti na kile unachokihitaji, ambacho ni mbio, vijana wa mjini wanasema mabioo. Nenda kaangalie AS Vita sasa sokoni kila mchezaji anaesajiliwa ni mbio, kama ni timu ya marathon, haha, ila tayari umepata point yangu.

Turudi kwenye Simba, katika misimu miwili iliyopita Simba ilikua inalia kuwa falsafa ya mpira wao imepotea, lakini angalia Makocha waliokuwa wanaletwa Zolan, Mr. Objective, hata Benchikha mwenyewe. Ikafika kilio ikawa timu yetu haina kasi, lakini kwenye Kikosi ambaye wenye uwezo wa kutoa hiyo energy ni Kibu, Mzamiru hadi pale tulipo waona wale watoto kama Chasambi n.k., Wengine kuhitaji kuwaona wanatoa kasi basi ilikuwa ni kuwa punguzia umri wa kuishi kama Chama, Ngoma, Sarr, Luis, bora hata Saidi etc. Mchezaji hawezi toa kile ambacho hana.

Ila sasa leo, angalia nature na sifa ya wachezaji wanaosajiliwa? Ukitoa kwa wale ambao tayari wametambulishwa kama Vile Mukwala, Mutale wote ni sharp, fast, utulivu wa hali ya juu, na skills zote kwenye nafasi zao, wana energy kubwa wakiwa na mpira pia wasipokuwa na mpira. Energy, njaa ya mafanikio, Skills na Umri. Hivi ndivyo vimeweka kwenye ramani ya kuijenga Simba mpya. Ndio maana hata upande wa Kocha japo sikubaliani nao, ila naelewa kwanini wamefuata kocha msaidizi wa Raja Casablaca. Lengo ni kutengeneza Raja Casablanca ya chini ya Jangwa la Sahara.

Kwa wale ambao mmebahatika kuona hata wale wachezaji ambao bado hawajatangazwa basi utakubaliana na lengo lao la kuitengeneza Simba katika falsafa ya uchezaji wa Raja Casablaca. Naamini hata kama itachukua muda mrefu lakini hii project itaenda kufanikiwa maana kile wanachokizungumza kinaendana na utendaji.

Hivyo basi natoa poangezi kwa wale wote wanaohusika katika ujenzi wa Simba mpya. Hata kama hii project haitafanikiwa katika msimu ujao, maana project kubwa kama hii huwezi ijenga usiku mmoja. Basi katika Msimu 25/26 hii Simba itakua bora sana.
 
Kuna Mzee "Elder" mwenzangu, baada ya kuiona hii project na kushindwa kuamini jinsi Simba inavyopikwa basi swali lake ni? " Hawa Jamaa hizi akili wameazima kwa nani? " Maana ni jambo kubwa ambalo hakuamini linawezekana kufanyika Simba baada ya kile kilichokuwa kinaendelea pale msimbazi.😀
 
Kuna Mzee "Elder" mwenzangu, baada ya kuiona hii project na kushindwa kuamini jinsi Simba inavyopikwa basi swali lake ni? " Hawa Jamaa hizi akili wameazima kwa nani? " Maana ni jambo kubwa ambalo hakuamini linawezekana kufanyika Simba baada ya kile kilichokuwa kinaendelea pale msimbazi.😀
Hongera nyingi sana kwa M/kiti Mangungu
 
Kuna Mzee "Elder" mwenzangu, baada ya kuiona hii project na kushindwa kuamini jinsi Simba inavyopikwa basi swali lake ni? " Hawa Jamaa hizi akili wameazima kwa nani? " Maana ni jambo kubwa ambalo hakuamini linawezekana kufanyika Simba baada ya kile kilichokuwa kinaendelea pale msimbazi.😀
😂😂😂 kwanini usimtaje Juju Africa?
 
Watanzania bana ! Makocha wao , marefa wao, wachambuzi wao ! Mchezaji kaletwa humjui uaanza kumsifia ??? subirini ligi ianze ndo mtajua huyu mchezaji au la !

Mkuu kuna baadhi ya vitu havihitaji uwe kwenye nafasi fulani uzungumze.

Mpira ni mchezo wa wazi, kila kitu kinaonekana. Ukiwa na taaluma ya mpira, uwezo wa kufanya utafiti na common sense basi unaweza zungumza jambo.

Utafiti wa kina umefanyika, ndio maana haya yamezungumzwa. Tukutane Msimu ujao.
 
Simba imara inakuja..Simba ile tishio ya misimu ile ya kina konde boy wkt ni konde kweli kweli..
Mungu ibariki Simba na wachezaji wake wote...Amina...

Mungu ibariki Simba.
 
Waache wale wengine waendelee kushangilia kumsajili mzee waliemuita wenyewe hana nguvu, mchezaji wa mechi ndogo.

Mleta mada umechambua vizuri sana, kama vile upo kwenye vichwa vya kina Magori.

Kwanza tumeanza kuleta aina ya wachezaji tunaotaka waendane na falsafa yetu, then tunaleta kocha atakaeendana na falsafa ya wachezaji atakaowakuta.

Mpaka kufikia hapo, zile kelele za kusema Simba ya ajabu inasajili wachezaji bila kocha, tunakuwa tumezitupa jalalani.

Nguvu Moja - Akili Mingi.
 
Waache wale wengine waendelee kushangilia kumsajili mzee waliemuita wenyewe hana nguvu, mchezaji wa mechi ndogo.

Mleta mada umechambua vizuri sana, kama vile upo kwenye vichwa vya kina Magori.

Kwanza tumeanza kuleta aina ya wachezaji tunaotaka waendane na falsafa yetu, then tunaleta kocha atakaeendana na falsafa ya wachezaji atakaowakuta.

Mpaka kufikia hapo, zile kelele za kusema Simba ya ajabu inasajili wachezaji bila kocha, tunakuwa tumezitupa jalalani.

Nguvu Moja - Akili Mingi.

Kabisa Mkuu.

Naona Mwangaza katika timu yetu. Naiona Simba bora siku zijazo.
 
Kabisa Mkuu.

Naona Mwangaza katika timu yetu. Naiona Simba bora siku zijazo.
20240628_233626.jpg

😀😀
 
Japo utambulisho bado haujakamilika, ila nimechagua kuja kutoa siri. Nimechagua kuja kutoa pongezi.

Katika nyuzi zilizopita nilitoa angalizo kuwa huwezi hitaji aina fulani ya mpira, then unaenda sokoni kuchukua mchezaji au kocha ambaye hana sifa za aina au falsafa ya kile unachokitaka. Nikatolea mfano yaani unataka mpira biriani, Jogo bonito , Beautiful/Sexy football, alafu unaenda kumchukua José Mourinho then ukategemea Sexy Football.

Hivyo hivyo upande wa wachezaji: Timu inahitaji wachezaji runners kama AS Vita/RS Berkane then unaenda kuchukua the like of Chama/Rally Bwalya then unategemea atakimbia kama the like of Kisinda e.t.c ni ngumu kufanikiwa. Haimanishi hao wachezaji ni wabaya hapana, bali strength zao ni tofauti na kile unachokihitaji, ambacho ni mbio, vijana wa mjini wanasema mabioo. Nenda kaangalie AS Vita sasa sokoni kila mchezaji anaesajiliwa ni mbio, kama ni timu ya marathon, haha, ila tayari umepata point yangu.

Turudi kwenye Simba, katika misimu miwili iliyopita Simba ilikua inalia kuwa falsafa ya mpira wao imepotea, lakini angalia Makocha waliokuwa wanaletwa Zolan, Mr. Objective, hata Benchikha mwenyewe. Ikafika kilio ikawa timu yetu haina kasi, lakini kwenye Kikosi ambaye wenye uwezo wa kutoa hiyo energy ni Kibu, Mzamiru hadi pale tulipo waona wale watoto kama Chasambi n.k., Wengine kuhitaji kuwaona wanatoa kasi basi ilikuwa ni kuwa punguzia umri wa kuishi kama Chama, Ngoma, Sarr, Luis, bora hata Saidi etc. Mchezaji hawezi toa kile ambacho hana.

Ila sasa leo, angalia nature na sifa ya wachezaji wanaosajiliwa? Ukitoa kwa wale ambao tayari wametambulishwa kama Vile Mukwala, Mutale wote ni sharp, fast, utulivu wa hali ya juu, na skills zote kwenye nafasi zao, wana energy kubwa wakiwa na mpira pia wasipokuwa na mpira. Energy, njaa ya mafanikio, Skills na Umri. Hivi ndivyo vimeweka kwenye ramani ya kuijenga Simba mpya. Ndio maana hata upande wa Kocha japo sikubaliani nao, ila naelewa kwanini wamefuata kocha msaidizi wa Raja Casablaca. Lengo ni kutengeneza Raja Casablanca ya chini ya Jangwa la Sahara. Kwa wale ambao mmebahatika kuona hata wale wachezaji ambao bado hawajatangazwa basi utakubaliana na lengo lao la kuitengeneza Simba katika falsafa ya uchezaji wa Raja Casablaca. Naamini hata kama itachukua muda mrefu lakini hii project itaenda kufanikiwa maana kile wanachokizungumza kinaendana na utendaji.

Hivyo basi natoa poangezi kwa wale wote wanaohusika katika ujenzi wa Simba mpya. Hata kama hii project haitafanikiwa katika msimu ujao, maana project kubwa kama hii huwezi ijenga usiku mmoja. Basi katika Msimu 25/26 hii Simba itakua bora sana.
Kwa hiyo Mangungu hana tena haja ya kujiuzuru au sio.
 
Waache wale wengine waendelee kushangilia kumsajili mzee waliemuita wenyewe hana nguvu, mchezaji wa mechi ndogo.

Mleta mada umechambua vizuri sana, kama vile upo kwenye vichwa vya kina Magori.

Kwanza tumeanza kuleta aina ya wachezaji tunaotaka waendane na falsafa yetu, then tunaleta kocha atakaeendana na falsafa ya wachezaji atakaowakuta.

Mpaka kufikia hapo, zile kelele za kusema Simba ya ajabu inasajili wachezaji bila kocha, tunakuwa tumezitupa jalalani.

Nguvu Moja - Akili Mingi.
Hao wachezaji wazuri wamesajiliwa kwa ushauri wa kocha gani? Hivi nyie hamjifunzi tu ?
 
Kwa hiyo Mangungu hana tena haja ya kujiuzuru au sio.

Wewe unaonaje Mkuu?

Mimi nazungumzia kikosi, kikosi pamoja na vision ya Club.

Je unaona Mangungu haifai? Kiongozi gani mwingine unataka abaki, ajiuzuru au arejee? Kwa manufaa ya Simba Sports Club?
 
Back
Top Bottom