Hongera kwa Mpishi wa Simba Mpya

Hongera kwa Mpishi wa Simba Mpya

Hatimae tumeshuhudia wachezaji na aina ya kikosi tulichokua nacho. Bado kauli yangu haijabadilika.

Pongezi zangu bado zitabaki kwa wapishi wa Simba mpya.
 
Ila, kama inawezekana naomba turudi sokoni, wengi nimeona wanaomba namba 10 ila mimi naomba Winga.

Naheshimu uwepo wa Chasambi, Balua, Mutale ila naombeni mtafute winga wa kusaidia hawa vijana.
Tusifosi either Ahoua atokee pembeni hatatusaidia, ataonekana ni mzigo tu.

Mimi naomba winga tu. Hilo ndilo ombi langu.
Balua yes, ila tusiamini sana wachezaji wa matamasha.
 
Ombi. Katika eneo letu hasa ulinzi tusipende kuacha space sana. Tarehe nane tutalia mapema sana.

Sio changamoto ya wachezaji ila ni mfumo wa uchezaji.

Tusimtafutie hattrick mapema Aziz Ki.
Hayo mengine tutayajenga taratibu. Ila naona mwangaza kwa simba mpya.
 
Simba bado sana, haipo imara kabisa.Itapigwa na yanga
 
Simba bado sana, haipo imara kabisa.Itapigwa na yanga
Kama una akili na unajua mpira pengine umeitwa mbele ya makocha nguli afrika akina cisse na wenzake, wanakusikiliza, umeulizwa chambua uchezaji nammfumo uliotumika na simba dakika zote 90, na kuchambua kila mchezaji ..
Hayo ndio yatakua majibu yako?

"Simba bado sana, haipo imara, itapigwa na yanga"
 
Narudi tena kutoa pongezi kwa simba timu ipo. Haya sio maneno ya kujifariji ila ndio uhalisia.

Tukifanya maboresho tu dirisha dogo, basi timu itakua bora sana.
 
Asante
Ila, kama inawezekana naomba turudi sokoni, wengi nimeona wanaomba namba 10 ila mimi naomba Winga. Wakati naandika huu uzi sikutegemea kama yatatokea yaliyotokea kati ya Simba na Kibu.

Naheshimu uwepo wa Chasambi, Balua, Mutale ila naombeni mtafute winga wa kusaidia hawa vijana.
Tusifosi either Ahoua atokee pembeni hatatusaidia, ataonekana ni mzigo tu.

Mimi naomba winga tu. Hilo ndilo ombi langu.
Balua yes, ila tusiamini sana wachezaji wa matamasha.
Asanteni sana. Kilio changu kimetamatika. Tayari tumepata Winga wa Maana.

Sasa tumevuka zaidi ya asilimia sabini katika ujenzi wa Simba.

Tuendelee kutafuta mbadala wa Kapombe taratibu.
 
Ila, kama inawezekana naomba turudi sokoni, wengi nimeona wanaomba namba 10 ila mimi naomba Winga.

Naheshimu uwepo wa Chasambi, Balua, Mutale ila naombeni mtafute winga wa kusaidia hawa vijana.
Tusifosi either Ahoua atokee pembeni hatatusaidia, ataonekana ni mzigo tu.

Mimi naomba winga tu. Hilo ndilo ombi langu.
Balua yes, ila tusiamini sana wachezaji wa matamasha.
IMG_20240930_231730.jpg
 
Back
Top Bottom