JF Member
JF-Expert Member
- Dec 14, 2014
- 7,914
- 10,793
Hakika naona utendaji kazi mzuri sana.
Huna kelele lakini hupumziki na kazi zako zinaeleweka.
1. Hapo nyuma kukatika kwa umeme kulikuwa hakuna formula, sasa hivi angalau - japo kaza tena ili mambo yaende.
2. Hapo nyuma upatikanani wa mafuta ulikuwa wakusua sua. Na bei zilikuwa zinapanda kiholela. Sasa hivi walau tunapumua.
Bwana yule ni ntu wa deal tu. Ni wa kukataa kama ukoma. 2024 nawek kambi kule bumbuli ili asitoboe kabisa. Kibli na mali alokula zinamtosha sasa.
Huna kelele lakini hupumziki na kazi zako zinaeleweka.
1. Hapo nyuma kukatika kwa umeme kulikuwa hakuna formula, sasa hivi angalau - japo kaza tena ili mambo yaende.
2. Hapo nyuma upatikanani wa mafuta ulikuwa wakusua sua. Na bei zilikuwa zinapanda kiholela. Sasa hivi walau tunapumua.
Bwana yule ni ntu wa deal tu. Ni wa kukataa kama ukoma. 2024 nawek kambi kule bumbuli ili asitoboe kabisa. Kibli na mali alokula zinamtosha sasa.