Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Siku ukielewa alichokiandika Lema utarudi kufuta hii post yakoMbowe keshageukwa
Mbowe keshageukwa
We unachanganyikiwa kabisa kama ShibudaMbowe keshageukwa
Namuunga mkono Lema 100%
Mbowe amesema yuko tayari kumpigia Magoti mwenyekiti wa CCMSiku ukielewa alichokiandika Lema utarudi kufuta hii post yako
Wewe umemueelewa Godbless Lema!Wajinga hawaelewi kuwa katiba na sheria vinaruhusu mikutano ya siasa hivyo ni swala la kutii sheria tu na si kukaa vikao kujadili jambo lililoruhusiwa kisheria na kikatiba
Mkutano ya hadhara inahitaji Maridhiano?We unachanganyikiwa kabisa kama Shibuda
Mbowe amesema yuko tayari kumpigia Magoti mwenyekiti wa CCM
Lema anamuuliza Mbowe mnajadili nini kwa mambo yanayohitaji utii wa sheria kwa katiba hii hii ya 1977?
Upande uliojaa ulaghai ni ule wa Chadema kwenye Maridhiano kwa sababu Mbowe amesema hawezi kuwaambia wanachama wake kinachojadiliwaMbowe anaongezewa points.
NInakazia:
"Ukweli huu ni mwiba mchungu mno kwa ule upande mwingine uliojaa ulaghai na ubinafsi uliopitiliza."
Vipi ndugu wewe ni mmoja wao katika upande huu?
Mkimaliza kuparuana mtakuta CCM inaendelea kula maisha huko Ikulu 🏃🏃.Huu ndiyo ulio ukweli mchungu:
View attachment 2443641
Mkwamo wetu uko hapa. Uhai wetu utarejea kwa kujikwamua kutoka hapa.
Ukweli huu ni mwiba mchungu mno kwa ule upande mwingine uliojaa ulaghai na ubinafsi uliopitiliza.
Imekwisha Hiyo!Usiwawekee watu maneno mdomoni:
1. Uko wapi ushahidi wa kuwa Mbowe kasema yuko tayari kumpigia magoti mwenyekiti wa CCM magoti?
Zingatia imendikwa "usiwe na miungu mingine ila Mimi."
2. Uko wapi ushahidi wa kuwa Lema anamwuliza Mbowe kinachojadiliwa?
Zingatia Lema haulizi bali kama nabii ana nena!
Kutoa ushauri mbadala sio kugeukwa, ndio maana nyie CCM kina, Ndugai, Bashiru wakitoa ushauri mnawashambulia mnaona kama wanampinga mama kumbe ndio uhai wa chama na serikali yenu.Mbowe keshageukwa
Namuunga mkono Lema 100%
Mambo bado magumu.....siasa bhana.Yaan wapo tayari kuumiza tuliochini kwa manufaa yaoNimemsoma Mbowe alipokuwa akiongea na diaspora, wakati akilalamika watu kusema amelamba asali akidai kauli hiyo inamuumiza, amesema amekuwepo kwenye siasa miaka 30, hivyo kwake hawezi kudanganywa kwa chochote...
Wewe umemueelewa Godbless Lema!Kutoa ushauri mbadala sio kugeukwa, ndio maana nyie CCM kina, Ndugai, Bashiru wakitoa ushauri mnawashambulia mnaona kama wanampinga mama kumbe ndio uhai wa chama na serikali yenu.