johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Ni kulamba asali tuLema yuko sahihi,hivi wanajadili nini masuala ambayo yapo KIKATIBA?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni kulamba asali tuLema yuko sahihi,hivi wanajadili nini masuala ambayo yapo KIKATIBA?
Huu ni ukweli mchunguHuu ndiyo ulio ukweli mchungu:
View attachment 2443641
Mkwamo wetu uko hapa. Uhai wetu utarejea kwa kujikwamua kutoka hapa.
Ukweli huu ni mwiba mchungu mno kwa ule upande mwingine uliojaa ulaghai
Ninavyokumbuka kilichomkimbiza Lema na Lisu ni kumuogopa Dkt Magufuli asije akawaua, hata Lisu baada ya kuangukia pua uchaguzi alijifanya kukimbilia ubalozi na kuleta taharuki, na Dkt Magufuli alipofariki Lema na Lisu waliungana na memba wa NGO yao kushagilia na kusherehekea kifo cha mpendwa wetu. So aache visingizio arudi haraka Tanzania, maana yeye ndiye alianzisha usemi wa kuupiga mwingi. Aacha kuhamisha gori huyu mwizi wa magari na jambazi na tapeli kubwaHuu ndiyo ulio ukweli mchungu:
View attachment 2443641
Mkwamo wetu uko hapa. Uhai wetu utarejea kwa kujikwamua kutoka hapa.
Ukweli huu ni mwiba mchungu mno kwa ule upande mwingine uliojaa ulaghai na ubinafsi uliopitiliza.
Ninavyokumbuka kilichomkimbiza Lema na Lisu ni kumuogopa Dkt Magufuli asije akawaua, hata Lisu baada ya kuangukia pua uchaguzi alijifanya kukimbilia ubalozi na kuleta taharuki, na Dkt Magufuli alipofariki Lema na Lisu waliungana na memba wa NGO yao kushagilia na kusherehekea kifo cha mpendwa wetu. So aache visingizio arudi haraka Tanzania, maana yeye ndiye alianzisha usemi wa kuupiga mwingi. Aacha kuhamisha gori huyu mwizi wa magari na jambazi na tapeli kubwa
Kashauri vikao vingi havitasaidia kama sheria mama hazifuatwi, nafikiri ni ushauri mzuri, Lema angekuwa mwanaCCM kamshauri hivyo mama leo UVCCM wangekuwa wanashindana kutoa matamko kuwa anampinga mama afukuzwe. Tumeona kwa Ndugai na Bashiru. Hii ndiyo tofauti ya UVCCM na BAVICHA.Wewe umemueelewa Godbless Lema!
Ninavyokumbuka kilichomkimbiza Lema na Lisu ni kumuogopa Dkt Magufuli asije akawaua, hata Lisu baada ya kuangukia pua uchaguzi alijifanya kukimbilia ubalozi na kuleta taharuki, na Dkt Magufuli alipofariki Lema na Lisu waliungana na memba wa NGO yao kushagilia na kusherehekea kifo cha mpendwa wetu. So aache visingizio arudi haraka Tanzania, maana yeye ndiye alianzisha usemi wa kuupiga mwingi. Aacha kuhamisha gori huyu mwizi wa magari na jambazi na tapeli kubwa
Upande uliojaa ulaghai ni ule wa Chadema kwenye Maridhiano kwa sababu Mbowe amesema hawezi kuwaambia wanachama wake kinachojadiliwa
Wakati Mwenyekiti wa CCM mh Samia ameueleza Mkutano mkuu wa Chana chake kuwa wao ndio Waamuzi kwenye Maridhiano kwa sababu ni Chana Tawala kilichopewa ridhaa ya kuongoza na Wananchi
NGO ile ni kikundi cha waharifu na Magaidi wakubwa. Walimshambulia Lisu, walishawahi muua chacha wangwe, Zitto mwenye mlamba asali mwenzao aliponea chupuchupu. Ni genge la wahuni kabisaushawai kushambuliwa na risasi au kuwindwa !
Toka mwanzo nilijuwa hivyo vikao vya maridhiano ni utapeli wa mchana kweupe. Na CDM waliamua kuzungumza maana wanajua hata wakisema wafanye mikutano kwa nguvu, wataishia kuumizwa na kubambikiwa kesi. CCM hawako tayari kwa maridhiano maana wanajua hawana ushawishi kwa umma, hivyo wanatumia hivyo vikao kama sehemu ya kutuliza pressure ya wapinzani kwenye kutawala. Inshort vikao vya maridhiano ni kupotezeana muda.
Sasa wanafanya vikao vya nini, huo ndio ulaghai wenyewe.…. wao ndio Waamuzi kwenye Maridhiano
NGO ile ni kikundi cha waharifu na Magaidi wakubwa. Walimshambulia Lisu, walishawahi muua chacha wangwe, Zitto mwenye mlamba asali mwenzao aliponea chupuchupu. Ni genge la wahuni kabisa
Ccm ni wahuniWanachokifanya CCM kwenye vikao vya maridhiano ni utapeli, haiwezekani Kinana, Chongolo, na Shaka, wanazunguka nchi nzima kufanya mikutano ya kisiasa, lakini kwa wapinzani bado wanatakiwa wakakae kwenye vikao vya maridhiano, huo ni utapeli.
sigara kali mbaya sanaaMbowe keshageukwa
Namuunga mkono Lema 100%
Kupoteza muda tuLema yuko sahihi,hivi wanajadili nini masuala ambayo yapo KIKATIBA?
NGO ile ni kikundi cha waharifu na Magaidi wakubwa. Walimshambulia Lisu, walishawahi muua chacha wangwe, Zitto mwenye mlamba asali mwenzao aliponea chupuchupu. Ni genge la wahuni kabisa
Ni kweli Lema hafagilii MaridhianoUpande uliojaa ulaghai ni ule ambapo ungependa kwa gharama yoyote iwepo migawanyiko Chadema na ikibidi baina yetu wananchi hata kama ni kwa sababu za kijinga.
Ninatambua kwa utambulisho wako ulitajwa hapa:
Tuwatambue wanaohaha kutusambaratisha kama Taifa
Zingatia msimamo wa Lema ndiyo ulio msimamo wa Chadema. Ndiyo ulio msimamo wetu.
Nani mwenye akili zake ataupinga msimamo wa Lema hata kama yeye siyo Chadema?
NInakazia:Ni kweli Lema hafagilii Maridhiano