Hongera Lukuvi, kazi yako tumeiona

Ni yeye anaajiri au wizara husika?
 
Nukuu
"Hatuwezi kuiachia Zanzibar ishikwe na Waislamu bila udhibiti ------Lukuvi, akiwa kanisani
 
Hawa wakongwe wa CCM, Lukuvi, Ndugai, Polepole, Bushiru na Paramagamba - imekuwaje awamu ya 6 ghafla bin vuuu chaliii ? kunani ?
 
Si Bora angekua mshenzi tu, kawa mwadilifu, katolewa, wahuni waleeeeeh, wanapeta.

Kuishi Bongo ni zaidi ya uwazavyo. Ikizubaa tu, ndo unajua hujui.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…