Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Sijafanya sensaJibu swali kwanza,
Waislamu wako wangapi Zanzibar ??
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sijafanya sensaJibu swali kwanza,
Waislamu wako wangapi Zanzibar ??
ZAWADI YAKO HII YA NEW YEAR
Wala hutoifanya Si kazi yakoSijafanya sensa
Kaa kwa kutuliaWala hutoifanya Si kazi yako
Ni yeye anaajiri au wizara husika?Ni kweli Mheshimiwa Lukuvi,amejitahidi kuchapa kazi wizara ya Ardhi.
-Lakini Kwa kipindi chote ambacho Lukuvi amekaa wizara ya Ardhi,ameshindwa kuajiri maafisa ardhi na wapimaji wa ardhi wa kutosha,ili kukomesha ujenzi holela ,
-wizara imetoa vibali kwa taasisi binafsi (ambazo nyingi ni kampuni za makamishina au wakuu wa idara za ardhi) kupima ardhi kwa gharama kubwa.
-Kampuni nyingi za urasimishaji makazi ni za wakubwa hao.
Ushauri kwa Waziri Mabula na Riziwani
- Ni kuhakikisha kuwa wizara ya Ardhi inaajiri maafisa wa ardhi na wapimaji wa ardhi na mipango miji wa kutosha kwenye halmashauri za wilaya zote.
-wizara inapima viwanja vya kutosha,ili watu wajenge kwenye viwanja vilivyopimwa.
-wizara inaweka mfumo mzuri wa kugawa viwanja na kutoa hati miliki bila mikingamo, ili kuondoa migogoro ya ardhi nchini.
[emoji3][emoji3][emoji3]Vyeo visivyojulikana![emoji116][emoji16][emoji16][emoji16]
View attachment 2088049
Udini unamtafuna Lukuvi, tafuta ile video aliyoongea akiwa kanisani kuhusu Zanzibar.Dingi alijitahidi sn sema maza udini unamtafuna sn
Wazanzibari wengi ni waislam tofauti na huku bara tumechanganyika sana. Acha kutumia gia ya udini huwa na mwisho mbaya siku zote.Baraza la mapinduzi kuna mkristo hata mmoja?
Yani mama kachemka vibaya sana.. Yule dogo mswahili mswahili Hamna kituLukuvi unamtoa, unamweka Ridhiwani, noo noo
Kwa nini wakaitwa sukuma wakati kuna watu toka sehemu mbalimbali?
Kwa hiyo viziwani hakuna wakristo?Wazanzibari wengi ni waislam tofauti na huku bara tumechanganyika sana. Acha kutumia gia ya udini huwa na mwisho mbaya siku zote.
Kama nanyi uislamu unavyowatafunaUdini unamtafuna Lukuvi, tafuta ile video aliyoongea akiwa kanisani kuhusu Zanzibar.
Si Bora angekua mshenzi tu, kawa mwadilifu, katolewa, wahuni waleeeeeh, wanapeta.Salam!
Naweza kusema Mh. William Lukuvi ni miongoni mwa viongozi wachache walioweza kusifiwa kwa utendaji wao angali wakiwa hai
Jana baada orodha ya mawaziri waliochwa kwenye baraza la mawaziri kutoka nimeona kwenye mitandao ya kijamii na huku mtaani watu wengi wakiumia sana kwanini mh Rais kamuacha lukuvi wakati huyu kiongozi alikuwa ni mchapa kazi mahiri.
Kinachonishangaza kwanini watu wengi wameuzunishwa na kuondolewa kwake. Hakika hapa kuna kitu cha kujifunza kutoka kwa kiongozi huyo
Kwenu viongozi tunapopewa nafasi za kutumikia taifa hili tujitahid kuzitendea haki na tusiwe waimba mapambio tuige mfano wa Mh Lukuvi.
Kila la kheri William Lukuvi katika majukumu yako.