Hongera LULU umewakilisha mateso ya wanawake Duniani

Hongera LULU umewakilisha mateso ya wanawake Duniani

Kanumba, ametuumbua wanaume, I cant die bcoz of Changudoa. I hate that bi......tch. she is a trump. She wil pay for it.
Kwa desturi za kiafrika kukiwa na msiba huwa hatumsemi sana marehemu, mpaka msiba utakapoisha. Unaweza ukapoteza maisha kwa hiyo keyboard kuripuka na bado kikawa kifo. Mheshimu marehemu.
 
Hivi lulu alikuwa mke wake kanumba? Au ni kacheche tu. afu we mama ni selfish sana..hivi angekuwa amekufa kaka ungeyasema haya?

Mimi si mama tafadhali. Kama angekuwa kaka yangu ameua je? ningefurahia kumuua binti wa mtu? Au ndiyo mfumo dume wenyewe? Mnyonge mnyongeni ...
 
Kifo si kitu chema hata kidogo. Lakini kitendo cha Lulu kusababisha mauti ya Kanumba ni dhahiri kuwa amewakilisha mateso ya wanawake wengi duniani.
1. Je, ni wanaume wangapi wako tayari wapenzi wao waone/kushika simu zao ili kuona ni akina nani wanaongea nao?
2. Kwa nini wao siku zote wanawafikiria vibaya wenzao, au ndiyo zao?
3. Je, misuli yao ndiyo huwafanya kuwaonea akina mama?

Hongera mwanangu Lulu kwani akina Sofia na Biswalo wako bize kututangazia siasa huku vitendo wakivificha. Nasema hivi kwani siku moja ndugu mmoja alimpiga mkewe kipigo cha kumwangusha juu ya vigae(nyumba imetandikwa vigae), yule mama akafikia kizingiti cha chumba na bafu ( Master bedrm) nakupasuka kichwa. Damu zilimtoka yule mama kama vile uchinjavyo ng'ombe. Bahati alikuwa mwelewa akalifunga jelaha lake na kuelekea hospital, mme akabaki amelala.

kosa la kipigo hicho lilikuwa kuwa mke kawasha taa wakati mmewe alikuwa anataka kulala! Basi.

Nasema umewakilisha akina mama nikiikumbuka ile kesi ya mwanasheria aliye shinda kesi ya mauaji ya mkewe mfanyakazi wa Posta - Dar.

Mtetezi wako ni Muumba wako na pepo wako mlinzi (your guiding spirit)

inawezekana hata huyo LULU anajutia hayo.....Mungu akusamehe.
 
Acha lilopitishwa na Mungu lipite kwanza , hayo mengine ndiyo yafuate baadaye.
 
Kanumba, ametuumbua wanaume, I cant die bcoz of Changudoa. I hate that bi......tch. she is a trump. She wil pay for it.

Mjifunze na si kudakia dakia, usione vyaelea... Hapa changu ni Kanumba mwenyewe kisa gani kusogeza.
 
kwa kawaida mwezi wa April kila mwaka huwa na matukio yasiyofurahisha........R.I.P kulingana na matendo yao hapa Duniani.....
 
Si wakati wa kuhukumu, tuwaache wenye majonzi waendeleee na msiba. Kama yeye kahukumiwa kwa hili basi wangapi wangepona? Bila shaka hata wewe huwezi pona, maana si mtakatifu. Kila mtu anafanya kosa fulani katika maisha ambalo lingeweza kutoa uhai wake.

Hakuna aliye mkamilifu chini ya jua.
 
Huna hata HAYA, kwanini usiache wafiwa wapate nafasi ya kumalizia majonzi yao. Kwani mateso ya wanawake wengi duniani yanaanzia kwa Kanumba na yataishia kwa yeye kufariki? Unajuaje kama huyo binti kaonewa au kweli amefanya kosa? Hebu wape heshima ndugu na marafiki wa Kanumba kuhani msiba uliowatokea. Kila jambo na wakati wake ndugu.

Mpinduzi ya kweli huletwa kwa kumwaga damu. Huu ni ukombozi wa akina mama. Ndugu hao wote tunawapa pole na naomba waungane na wale wote ambao ndugu zao walifia juu ya akina mama gesti. The truth is kifo ni kifo lakini cha Steve ni cha aibu.
 
Wanaume hawana tatizo ni wanawake ndio wanawaendekeza mpaka kufikia huko, wanajitakia kwa kiasi kikubwa....kutokujitambua.
 
Kifo si kitu chema hata kidogo. Lakini kitendo cha Lulu kusababisha mauti ya Kanumba ni dhahiri kuwa amewakilisha mateso ya wanawake wengi duniani.
1. Je, ni wanaume wangapi wako tayari wapenzi wao waone/kushika simu zao ili kuona ni akina nani wanaongea nao?
2. Kwa nini wao siku zote wanawafikiria vibaya wenzao, au ndiyo zao?
3. Je, misuli yao ndiyo huwafanya kuwaonea akina mama?

Hongera mwanangu Lulu kwani akina Sofia na Biswalo wako bize kututangazia siasa huku vitendo wakivificha. Nasema hivi kwani siku moja ndugu mmoja alimpiga mkewe kipigo cha kumwangusha juu ya vigae(nyumba imetandikwa vigae), yule mama akafikia kizingiti cha chumba na bafu ( Master bedrm) nakupasuka kichwa. Damu zilimtoka yule mama kama vile uchinjavyo ng'ombe. Bahati alikuwa mwelewa akalifunga jelaha lake na kuelekea hospital, mme akabaki amelala.

kosa la kipigo hicho lilikuwa kuwa mke kawasha taa wakati mmewe alikuwa anataka kulala! Basi.

Nasema umewakilisha akina mama nikiikumbuka ile kesi ya mwanasheria aliye shinda kesi ya mauaji ya mkewe mfanyakazi wa Posta - Dar.

Mtetezi wako ni Muumba wako na pepo wako mlinzi (your guiding spirit)

Najua hapa utaanza mjadala wa hatari,lakini nunekuelewa ubachoongelea,tena nimekishuhudia,....kwa watu wangu wa karibu...kifi sio kitu cha kufurahisha,wala kuinenea maiti si jambo zuri kwani haiwezi kujitetea,lakini umrnigusa sana...wengi tumeishi kwa kushuhudia vipigo vya mbwa mwizi kwa wazazi wetu kiasi kwamba sisi wenyewe tunakuja kuwafanyia wenza wetu hasa wanaume kuwaasulubu wanawake...kwa kweli let us take a step back and reflect in. Wht is happening around us..leo hii kipigo cha Lulu wala hakiwezi kuangaliwa mara mbili..ht huko polisi naamini atakuwa treated km mbwa mwizi...guilty be4 declared innocent..hakuna anayewaza majeraha yake wala nn...angalia kimo cha lulu angalia na kimo cha marehemu halafu anza kupata picha mkono unanayanyuliwa vipigo vinaanza...i had a friend naye alipokea kichapo kwa hubby wake akanipigia katikati ya hiyo sekeke,nikamwambia just run for ur life...nashuiuru mungu kuwa she is still breathing today...guys vipigo kama hivi haupangi leo nitaua mtu,it happens as accidents,but unaooanza kushusha mkono kwa mtoto wa kike,it can easily turn into tragedy...lulu is a street urchin anajua kujilinda,Wema alikuwa anadundwa anasema ni mapenzi...all i want to say is that its not right to hit a woman...lets stop this horrible vicious cycle...i have two sons and counting,i pray and work hard everysingle day to raise them to respect women...i am resting my case....
 
What kind ov moza r u?do u ve children?if yes how would u fil if dz happen 2 ur son?how would Kanumba's mother think about u 2 her son n family?USHINDWE!!

Ktk ulimwengu huu wa HIV mama anyependa kusikia kuwa son wake ni helkopta basi akili yake si nzuri, pia hamjui Yahu) Mungu kwani hanakataza uzinzi. Mshahara wa dha.. Wenye tabia kama hiyo ya Steve acheni.
 
Najua hapa utaanza mjadala wa hatari,lakini nunekuelewa ubachoongelea,tena nimekishuhudia,....kwa watu wangu wa karibu...kifi sio kitu cha kufurahisha,wala kuinenea maiti si jambo zuri kwani haiwezi kujitetea,lakini umrnigusa sana...wengi tumeishi kwa kushuhudia vipigo vya mbwa mwizi kwa wazazi wetu kiasi kwamba sisi wenyewe tunakuja kuwafanyia wenza wetu hasa wanaume kuwaasulubu wanawake...kwa kweli let us take a step back and reflect in. Wht is happening around us..leo hii kipigo cha Lulu wala hakiwezi kuangaliwa mara mbili..ht huko polisi naamini atakuwa treated km mbwa mwizi...guilty be4 declared innocent..hakuna anayewaza majeraha yake wala nn...angalia kimo cha lulu angalia na kimo cha marehemu halafu anza kupata picha mkono unanayanyuliwa vipigo vinaanza...i had a friend naye alipokea kichapo kwa hubby wake akanipigia katikati ya hiyo sekeke,nikamwambia just run for ur life...nashuiuru mungu kuwa she is still breathing today...guys vipigo kama hivi haupangi leo nitaua mtu,it happens as accidents,but unaooanza kushusha mkono kwa mtoto wa kike,it can easily turn into tragedy...lulu is a street urchin anajua kujilinda,Wema alikuwa anadundwa anasema ni mapenzi...all i want to say is that its not right to hit a woman...lets stop this horrible vicious cycle...i have two sons and counting,i pray and work hard everysingle day to raise them to respect women...i am resting my case....

Kwa maneno yako umenitoa machozi. Pamoja na hilo nimejua kuwa kupiga ilikuwa ndiyo desturi yake. Kwaheri na-log out yatosha.
 
wengi tumemuhumu lulu kwa kujitetea na kikatokea kilichotokea
 
Kwa maneno yako umenitoa machozi. Pamoja na hilo nimejua kuwa kupiga ilikuwa ndiyo desturi yake. Kwaheri na-log out yatosha.

Pole...ht mm imenenitoa mAchozi asubuhi when i heard abt This tragedy...no one deserves to die like that...he a a very young and ambitious man,whose life was just taking off...very sad...and also for lulu to have something like that hanging over your head for the rest of ur life..itis a condemnation on itself hata kama mahakama isipomkuta na hatia...God help her....it is too insane..:
 
Mpinduzi ya kweli huletwa kwa kumwaga damu. Huu ni ukombozi wa akina mama. Ndugu hao wote tunawapa pole na naomba waungane na wale wote ambao ndugu zao walifia juu ya akina mama gesti. The truth is kifo ni kifo lakini cha Steve ni cha aibu.







Hivi me naomba niulize! kwani Aibu ya Kanumba ni ipi?? kwani ni ajabu sana kwa yeye kuwa na majibishano na mpenzi wake??? wangapi wanagombana bwana....... Huo mfumo dume uliopo unadhani utaisha kwa kuuwa wanaume... au ndio unazidisha laana tu kwa wanawake!! kwa Mungu hakuna kuwa eti umeua kwa sababu ya mfume dume.!!!
Pigania haki yako sio kwa kufurahia mauaji.... tene ukiwa kama mwanamke ...!! so sad!
Au mama umeathirika na mfumo huu??? ingia katika uanaharakati ili utusaidie kuelemisha namna ya kujikomboa na si kufuahia au kusupport mauaji....!!!
 
Back
Top Bottom