Hongera LULU umewakilisha mateso ya wanawake Duniani

Hongera LULU umewakilisha mateso ya wanawake Duniani

Bado Jazba imejaa kwenye Vichwa vya Wanaomkubali Kanumba!

Je Lulu anaangaliwa na Kundi lipi .

Kumbuka Kufa si kitu cha Ajabu sana Maana Hata wewe unayemtetea Kanumba na Kumkandamiza Lulu pia huna Ushaidi, but Ukweli anao Muuaji Mwenyewe.

Pili tuwe na Uungwana Wanajamii kwani Kuleta chuki na Hukumu haraka si Suluhu wakati Ugomvi wenyewe unasababisha na Njia panda ya Chalinze!

Tutasema Mengi sana kuhusu Lulu na Ubaya wake kwamba ni Malaya sana Je Amekupa Njia panda yake!

Kufa ni Kufa tu! Hakuna nafsi isiyoonja Mauti.
 
Pole...ht mm imenenitoa mAchozi asubuhi when i heard abt This tragedy...no one deserves to die like that...he a a very young and ambitious man,whose life was just taking off...very sad...and also for lulu to have something like that hanging over your head for the rest of ur life..itis a condemnation on itself hata kama mahakama isipomkuta na hatia...God help her....it is too insane..:



True Lulu is innocent alikuwa anajitetea kwa kupigwa. But naomba niulize ni lazima uwe na mtu hata kama anakupiga kila siku????? tena basi si mume wako... WHY?? to me sioni kuwa ni mapenzi kung'ang'ania huku unadundwa.... JUST get out !!
 
Kifo si kitu chema hata kidogo. Lakini kitendo cha Lulu kusababisha mauti ya Kanumba ni dhahiri kuwa amewakilisha mateso ya wanawake wengi duniani.
1. Je, ni wanaume wangapi wako tayari wapenzi wao waone/kushika simu zao ili kuona ni akina nani wanaongea nao?
2. Kwa nini wao siku zote wanawafikiria vibaya wenzao, au ndiyo zao?
3. Je, misuli yao ndiyo huwafanya kuwaonea akina mama?

Hongera mwanangu Lulu kwani akina Sofia na Biswalo wako bize kututangazia siasa huku vitendo wakivificha. Nasema hivi kwani siku moja ndugu mmoja alimpiga mkewe kipigo cha kumwangusha juu ya vigae(nyumba imetandikwa vigae), yule mama akafikia kizingiti cha chumba na bafu ( Master bedrm) nakupasuka kichwa. Damu zilimtoka yule mama kama vile uchinjavyo ng'ombe. Bahati alikuwa mwelewa akalifunga jelaha lake na kuelekea hospital, mme akabaki amelala.

kosa la kipigo hicho lilikuwa kuwa mke kawasha taa wakati mmewe alikuwa anataka kulala! Basi.

Nasema umewakilisha akina mama nikiikumbuka ile kesi ya mwanasheria aliye shinda kesi ya mauaji ya mkewe mfanyakazi wa Posta - Dar.

Mtetezi wako ni Muumba wako na pepo wako mlinzi (your guiding spirit)

Usiishie kumpongeza tu hapa JF bali ukamuunge mkono pia kwa kukaa nae mahabusu!!
 
Time will tell...tusimshutumu Lulu mwenyezi mungu akipanga lake mja hawezi lifuta....hata Kama isingekua lulu basi angekua mwengine baada ya lulu....
 
ingawa sijaelewa hii thread hata kidogo ... lakini i am very anxious to know the end of this thread and the truth about this vindication .... let me be an observer
 
tusubiri riport ya madaktari, huenda alianguka mwenyewe au alimwangusha we dont know
kama ni kesi itakuwa manslaughet hakuna zaidi ya hapo.
kauwa ln sidhani kama alikuwa na intention ya kumuumiza
na isitoshe tu prove kama alimsukuma ni kazi pia hasa kwa jeshi letu la polisi kuthibitisha haya.
nawapa pole wafiwa, hakustahili kufa mapema bado ni kijana mdogo na alililetea heshima taifa letu kwa afrika nzima
 
Najua hapa utaanza mjadala wa hatari,lakini nunekuelewa ubachoongelea,tena nimekishuhudia,....kwa watu wangu wa karibu...kifi sio kitu cha kufurahisha,wala kuinenea maiti si jambo zuri kwani haiwezi kujitetea,lakini umrnigusa sana...wengi tumeishi kwa kushuhudia vipigo vya mbwa mwizi kwa wazazi wetu kiasi kwamba sisi wenyewe tunakuja kuwafanyia wenza wetu hasa wanaume kuwaasulubu wanawake...kwa kweli let us take a step back and reflect in. Wht is happening around us..leo hii kipigo cha Lulu wala hakiwezi kuangaliwa mara mbili..ht huko polisi naamini atakuwa treated km mbwa mwizi...guilty be4 declared innocent..hakuna anayewaza majeraha yake wala nn...angalia kimo cha lulu angalia na kimo cha marehemu halafu anza kupata picha mkono unanayanyuliwa vipigo vinaanza...i had a friend naye alipokea kichapo kwa hubby wake akanipigia katikati ya hiyo sekeke,nikamwambia just run for ur life...nashuiuru mungu kuwa she is still breathing today...guys vipigo kama hivi haupangi leo nitaua mtu,it happens as accidents,but unaooanza kushusha mkono kwa mtoto wa kike,it can easily turn into tragedy...lulu is a street urchin anajua kujilinda,Wema alikuwa anadundwa anasema ni mapenzi...all i want to say is that its not right to hit a woman...lets stop this horrible vicious cycle...i have two sons and counting,i pray and work hard everysingle day to raise them to respect women...i am resting my case....

Hapa umeonesha mfumo jike hadharani: unajua sasa kunaorodha ndefu ya wanawake wanaowadunda wenza wao kucha kuchwa?!, katika bandiko lako ungegusia na kuusia juu ya wenza kupigana na mwanamke kupigwa, wafundishe na waombee watoto wakike wasiwe na pepo la kuwadunda waume zao na tujengee jamii inayochukia haya na si jamii inayofikiri kuwa wanaume ndo hufanya kosa la kuwapiga wenza, bali wanawake wakiwapiga wenza wao si kosa. BTW hatujui hata lama Lulu alikuwa akipigwa bali huenda yeye ndiye aliyelianzisha na kulimaliza.
 
tusubiri riport ya madaktari, huenda alianguka mwenyewe au alimwangusha we dont know
kama ni kesi itakuwa manslaughet hakuna zaidi ya hapo.
kauwa ln sidhani kama alikuwa na intention ya kumuumiza
na isitoshe tu prove kama alimsukuma ni kazi pia hasa kwa jeshi letu la polisi kuthibitisha haya.
nawapa pole wafiwa, hakustahili kufa mapema bado ni kijana mdogo na alililetea heshima taifa letu kwa afrika nzima
 
Kifo si kitu chema hata kidogo. Lakini kitendo cha Lulu kusababisha mauti ya Kanumba ni dhahiri kuwa amewakilisha mateso ya wanawake wengi duniani.
1. Je, ni wanaume wangapi wako tayari wapenzi wao waone/kushika simu zao ili kuona ni akina nani wanaongea nao?
2. Kwa nini wao siku zote wanawafikiria vibaya wenzao, au ndiyo zao?
3. Je, misuli yao ndiyo huwafanya kuwaonea akina mama?

Hongera mwanangu Lulu kwani akina Sofia na Biswalo wako bize kututangazia siasa huku vitendo wakivificha. Nasema hivi kwani siku moja ndugu mmoja alimpiga mkewe kipigo cha kumwangusha juu ya vigae(nyumba imetandikwa vigae), yule mama akafikia kizingiti cha chumba na bafu ( Master bedrm) nakupasuka kichwa. Damu zilimtoka yule mama kama vile uchinjavyo ng'ombe. Bahati alikuwa mwelewa akalifunga jelaha lake na kuelekea hospital, mme akabaki amelala.

kosa la kipigo hicho lilikuwa kuwa mke kawasha taa wakati mmewe alikuwa anataka kulala! Basi.

Nasema umewakilisha akina mama nikiikumbuka ile kesi ya mwanasheria aliye shinda kesi ya mauaji ya mkewe mfanyakazi wa Posta - Dar.

Mtetezi wako ni Muumba wako na pepo wako mlinzi (your guiding spirit)

R.I.P KANUMBA.
Kwa kweli,huyu bint LULU anahitaji faraja toka kwa kila binadam mkamilifu kuliko lawama,ni wakati ambao mazingira ya mtu mume mtu mzima kugombana na kabint kwa sababu iwayo yote ni aibu kubwa,kile kilichomtokea kama kweli walikuwa wanagombana ni ajali ambayo imesababishwa na marehemu mwenyewe.
Ukweli haujalishi unamhusu nani, hata kama marehemu hajazikwa yaliyo ya ukweli yanayouzunguka umauti wake yasemwe,swala la ooh marehemu hajazikwa asilaumiwe ooh sijui nini halisaidii,kama binadam hatuna la kufanya juu ya marehem huyu lakini kuna funzo kuu ambalo mjadala wa yaliyosababisha mauti utatoa kwetu sisi tulio hai. Unafiki unaangamiza taifa,kwenye usanii kumekuwa recruitment centre ya shetani kwa vijana wetu,yanayo watokea ni madhala ya kujikweza kuliko kiwango kiasi cha kusahau ABC za maisha ya kiafrika.
 
Kweli ukistaajabu ya Mussa,
Yaani Ka-Lulu ambako hakajai hata mkono mmoja kanamsukuma Mwili Jumba "The Great" yaani mpaka inaleta effect between Kichwa na Ukuta/Sakafu!!'n
 
Kifo si kitu chema hata kidogo. Lakini kitendo cha Lulu kusababisha mauti ya Kanumba ni dhahiri kuwa amewakilisha mateso ya wanawake wengi duniani.
1. Je, ni wanaume wangapi wako tayari wapenzi wao waone/kushika simu zao ili kuona ni akina nani wanaongea nao?
2. Kwa nini wao siku zote wanawafikiria vibaya wenzao, au ndiyo zao?
3. Je, misuli yao ndiyo huwafanya kuwaonea akina mama?

Hongera mwanangu Lulu kwani akina Sofia na Biswalo wako bize kututangazia siasa huku vitendo wakivificha. Nasema hivi kwani siku moja ndugu mmoja alimpiga mkewe kipigo cha kumwangusha juu ya vigae(nyumba imetandikwa vigae), yule mama akafikia kizingiti cha chumba na bafu ( Master bedrm) nakupasuka kichwa. Damu zilimtoka yule mama kama vile uchinjavyo ng'ombe. Bahati alikuwa mwelewa akalifunga jelaha lake na kuelekea hospital, mme akabaki amelala.

kosa la kipigo hicho lilikuwa kuwa mke kawasha taa wakati mmewe alikuwa anataka kulala! Basi.

Nasema umewakilisha akina mama nikiikumbuka ile kesi ya mwanasheria aliye shinda kesi ya mauaji ya mkewe mfanyakazi wa Posta - Dar.

Mtetezi wako ni Muumba wako na pepo wako mlinzi (your guiding spirit)
Haters utawajua tu ukipatwa na tukio.
 
True Lulu is innocent alikuwa anajitetea kwa kupigwa. But naomba niulize ni lazima uwe na mtu hata kama anakupiga kila siku????? tena basi si mume wako... WHY?? to me sioni kuwa ni mapenzi kung'ang'ania huku unadundwa.... JUST get out !!

Unauhakika Lulu alikuwa anajitetea kwa kipigo?! Unauhakika?!?
 
Kweli ukistaajabu ya Mussa,
Yaani Ka-Lulu ambako hakajai hata mkono mmoja kanamsukuma Mwili Jumba "The Great" yaani mpaka inaleta effect between Kichwa na Ukuta/Sakafu!!'n

Angalau wewe umepanua mawazo ya watu, sishangai kuwa kulikuwa ma mtu wa tatu ambaye hatajwi. Inashangaza kuwa GT wanang'ang'ana kuonesha chuki zao bila kutumia upstairs zao vizuri: Lulu amsukume Kanumba mpaka kanumba apasuke kichwa?!, hii makitu mimi mbado kuona.
 
Back
Top Bottom