KING COBRA IIII
Member
- Jan 6, 2012
- 31
- 5
Bado Jazba imejaa kwenye Vichwa vya Wanaomkubali Kanumba!
Je Lulu anaangaliwa na Kundi lipi .
Kumbuka Kufa si kitu cha Ajabu sana Maana Hata wewe unayemtetea Kanumba na Kumkandamiza Lulu pia huna Ushaidi, but Ukweli anao Muuaji Mwenyewe.
Pili tuwe na Uungwana Wanajamii kwani Kuleta chuki na Hukumu haraka si Suluhu wakati Ugomvi wenyewe unasababisha na Njia panda ya Chalinze!
Tutasema Mengi sana kuhusu Lulu na Ubaya wake kwamba ni Malaya sana Je Amekupa Njia panda yake!
Kufa ni Kufa tu! Hakuna nafsi isiyoonja Mauti.
Je Lulu anaangaliwa na Kundi lipi .
Kumbuka Kufa si kitu cha Ajabu sana Maana Hata wewe unayemtetea Kanumba na Kumkandamiza Lulu pia huna Ushaidi, but Ukweli anao Muuaji Mwenyewe.
Pili tuwe na Uungwana Wanajamii kwani Kuleta chuki na Hukumu haraka si Suluhu wakati Ugomvi wenyewe unasababisha na Njia panda ya Chalinze!
Tutasema Mengi sana kuhusu Lulu na Ubaya wake kwamba ni Malaya sana Je Amekupa Njia panda yake!
Kufa ni Kufa tu! Hakuna nafsi isiyoonja Mauti.