Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kifo si kitu chema hata kidogo. Lakini kitendo cha Lulu kusababisha mauti ya Kanumba ni dhahiri kuwa amewakilisha mateso ya wanawake wengi duniani.
1. Je, ni wanaume wangapi wako tayari wapenzi wao waone/kushika simu zao ili kuona ni akina nani wanaongea nao?
2. Kwa nini wao siku zote wanawafikiria vibaya wenzao, au ndiyo zao?
3. Je, misuli yao ndiyo huwafanya kuwaonea akina mama?
Hongera mwanangu Lulu kwani akina Sofia na Biswalo wako bize kututangazia siasa huku vitendo wakivificha. Nasema hivi kwani siku moja ndugu mmoja alimpiga mkewe kipigo cha kumwangusha juu ya vigae(nyumba imetandikwa vigae), yule mama akafikia kizingiti cha chumba na bafu ( Master bedrm) nakupasuka kichwa. Damu zilimtoka yule mama kama vile uchinjavyo ng'ombe. Bahati alikuwa mwelewa akalifunga jelaha lake na kuelekea hospital, mme akabaki amelala.
kosa la kipigo hicho lilikuwa kuwa mke kawasha taa wakati mmewe alikuwa anataka kulala! Basi.
Nasema umewakilisha akina mama nikiikumbuka ile kesi ya mwanasheria aliye shinda kesi ya mauaji ya mkewe mfanyakazi wa Posta - Dar.
Mtetezi wako ni Muumba wako na pepo wako mlinzi (your guiding spirit)
Huna tofauti na shetwani!Kifo si kitu chema hata kidogo. Lakini kitendo cha Lulu kusababisha mauti ya Kanumba ni dhahiri kuwa amewakilisha mateso ya wanawake wengi duniani.
1. Je, ni wanaume wangapi wako tayari wapenzi wao waone/kushika simu zao ili kuona ni akina nani wanaongea nao?
2. Kwa nini wao siku zote wanawafikiria vibaya wenzao, au ndiyo zao?
3. Je, misuli yao ndiyo huwafanya kuwaonea akina mama?
Hongera mwanangu Lulu kwani akina Sofia na Biswalo wako bize kututangazia siasa huku vitendo wakivificha. Nasema hivi kwani siku moja ndugu mmoja alimpiga mkewe kipigo cha kumwangusha juu ya vigae(nyumba imetandikwa vigae), yule mama akafikia kizingiti cha chumba na bafu ( Master bedrm) nakupasuka kichwa. Damu zilimtoka yule mama kama vile uchinjavyo ng'ombe. Bahati alikuwa mwelewa akalifunga jelaha lake na kuelekea hospital, mme akabaki amelala.
kosa la kipigo hicho lilikuwa kuwa mke kawasha taa wakati mmewe alikuwa anataka kulala! Basi.
Nasema umewakilisha akina mama nikiikumbuka ile kesi ya mwanasheria aliye shinda kesi ya mauaji ya mkewe mfanyakazi wa Posta - Dar.
Mtetezi wako ni Muumba wako na pepo wako mlinzi (your guiding spirit)
What kind ov moza r u?do u ve children?if yes how would u fil if dz happen 2 ur son?how would Kanumba's mother think about u 2 her son n family?USHINDWE!!
Kanumba has already paid for it, Lulu got nothing to pay for. Kanumba was more than changudoa and this explains why he suffered all this.[/QUOTE
Waswahili wanasema mficha maradhi mauti umfichua kiuhalisia msani ni kioo cha jamii ktk fikra zangu na kwa njinsi nilivyokuwa namuheshimu kanumba sikutegemea kama alikuwa anadate na lulu,kwanza she is like his young sister na walezi walikuwa wanaamini kanumba alikuwa anamuongoza na kumuelekeza mambo mema lulu kuliko kuwa mpenzi wake,sawa tulikuwa hatupaswi kujua uhusiano wao ila kama wangejitambulisha mapema mi nadhani walio wengi hapa ndani wangelaumu uhusiano wao,mauti yamefichua yote haya no one knows mungu anasababu zake za kufanya hivi so we have to take care natunayoyafanya,unatuficha ss na sio yeye na akiamua akuumbua anakuumbua anytime,all in all hakuna mtimilifu in his or her life,mungu amemchukua kama anavyowachukuwa wapendwa wetu wengine mapenzi ya mungu yametimia,sisi sote ni viumbe na kwake tutarejea,Tumuombe mwenyezi Mungu amsamehe zambi zake,Amen
Umeona eeh!
Hiki kifo ni aibu ya Kanumba kabisa.
Naumia sana kwa huyu binti na mamaake(wote siwajui)
Kifo si kitu chema hata kidogo. Lakini kitendo cha Lulu kusababisha mauti ya Kanumba ni dhahiri kuwa amewakilisha mateso ya wanawake wengi duniani.
1. Je, ni wanaume wangapi wako tayari wapenzi wao waone/kushika simu zao ili kuona ni akina nani wanaongea nao?
2. Kwa nini wao siku zote wanawafikiria vibaya wenzao, au ndiyo zao?
3. Je, misuli yao ndiyo huwafanya kuwaonea akina mama?
Hongera mwanangu Lulu kwani akina Sofia na Biswalo wako bize kututangazia siasa huku vitendo wakivificha. Nasema hivi kwani siku moja ndugu mmoja alimpiga mkewe kipigo cha kumwangusha juu ya vigae(nyumba imetandikwa vigae), yule mama akafikia kizingiti cha chumba na bafu ( Master bedrm) nakupasuka kichwa. Damu zilimtoka yule mama kama vile uchinjavyo ng'ombe. Bahati alikuwa mwelewa akalifunga jelaha lake na kuelekea hospital, mme akabaki amelala.
kosa la kipigo hicho lilikuwa kuwa mke kawasha taa wakati mmewe alikuwa anataka kulala! Basi.
Nasema umewakilisha akina mama nikiikumbuka ile kesi ya mwanasheria aliye shinda kesi ya mauaji ya mkewe mfanyakazi wa Posta - Dar.
Mtetezi wako ni Muumba wako na pepo wako mlinzi (your guiding spirit)
Hebu nenda pale msibani useme maneno haya! unajua ni kweli kila upande unaumia kwa nafasi yake si kwa familia ya LULU wala ya KANUMBA,lakini kumbuka upande mmoja wamepoteza kitu ambacho hakiwezi kurudi tena,jamani hivi angekuwa mtoto wako ni kanumba ungethubutu kusema hayo?Mwombee LULU atoke akuchukulie mume wako mama!
Haswaa aliyejitetea hata kuishi (survive) kwani tumesikia ana majeraha mengi laukama angeuliwa yeye,
kwa hiyo unamuona shujaa??
hakika wewe una roho mbaya sana, sipati picha aliyekuoa yuko mbioni kupata brain concussion
Kifo si kitu chema hata kidogo. Lakini kitendo cha Lulu kusababisha mauti ya Kanumba ni dhahiri kuwa amewakilisha mateso ya wanawake wengi duniani.
1. Je, ni wanaume wangapi wako tayari wapenzi wao waone/kushika simu zao ili kuona ni akina nani wanaongea nao?
2. Kwa nini wao siku zote wanawafikiria vibaya wenzao, au ndiyo zao?
3. Je, misuli yao ndiyo huwafanya kuwaonea akina mama?
Hongera mwanangu Lulu kwani akina Sofia na Biswalo wako bize kututangazia siasa huku vitendo wakivificha. Nasema hivi kwani siku moja ndugu mmoja alimpiga mkewe kipigo cha kumwangusha juu ya vigae(nyumba imetandikwa vigae), yule mama akafikia kizingiti cha chumba na bafu ( Master bedrm) nakupasuka kichwa. Damu zilimtoka yule mama kama vile uchinjavyo ng'ombe. Bahati alikuwa mwelewa akalifunga jelaha lake na kuelekea hospital, mme akabaki amelala.
kosa la kipigo hicho lilikuwa kuwa mke kawasha taa wakati mmewe alikuwa anataka kulala! Basi.
Nasema umewakilisha akina mama nikiikumbuka ile kesi ya mwanasheria aliye shinda kesi ya mauaji ya mkewe mfanyakazi wa Posta - Dar.
Mtetezi wako ni Muumba wako na pepo wako mlinzi (your guiding spirit)
kwani Lulu hana mama?
Mamaake haumii?
Kitendo cha Kanumba tu kujihusisha kimapenzi na huyo mtoto alikosea.
Na anamjua vizuri Lulu kilichomfanya alete wivu
hadi kutaka simu yake ni ni nini?
KWANINI ALIMLETEA UBABE? Nitapiga kelele kumtetea huyu binti popote nitakapopata nafasi ya kusema,Lulu ni mhanga tu kwa hili
kifo si kitu chema hata kidogo. Lakini kitendo cha lulu kusababisha mauti ya kanumba ni dhahiri kuwa amewakilisha mateso ya wanawake wengi duniani.
1. Je, ni wanaume wangapi wako tayari wapenzi wao waone/kushika simu zao ili kuona ni akina nani wanaongea nao?
2. Kwa nini wao siku zote wanawafikiria vibaya wenzao, au ndiyo zao?
3. Je, misuli yao ndiyo huwafanya kuwaonea akina mama?
Hongera mwanangu lulu kwani akina sofia na biswalo wako bize kututangazia siasa huku vitendo wakivificha. Nasema hivi kwani siku moja ndugu mmoja alimpiga mkewe kipigo cha kumwangusha juu ya vigae(nyumba imetandikwa vigae), yule mama akafikia kizingiti cha chumba na bafu ( master bedrm) nakupasuka kichwa. Damu zilimtoka yule mama kama vile uchinjavyo ng'ombe. Bahati alikuwa mwelewa akalifunga jelaha lake na kuelekea hospital, mme akabaki amelala.
Kosa la kipigo hicho lilikuwa kuwa mke kawasha taa wakati mmewe alikuwa anataka kulala! Basi.
Nasema umewakilisha akina mama nikiikumbuka ile kesi ya mwanasheria aliye shinda kesi ya mauaji ya mkewe mfanyakazi wa posta - dar.
Mtetezi wako ni muumba wako na pepo wako mlinzi (your guiding spirit)