Hongera LULU umewakilisha mateso ya wanawake Duniani

Hongera LULU umewakilisha mateso ya wanawake Duniani

Kimsingi Lulu amewakilisha hulka ya wanawake ya ukatiri usio na kipimo.
one thing is for sure, kanumba amekufa.
Sasa kama lulu alikuwa anapigwa na marehemu, kwanini alikuwa ana hang kwenye relationship ambayo anateseka?

Ukombozi unaanzia hapo, sio unakaa na mwanaume anayekipiga mpaka ufe au yeye afe halafu ndo mnataka kuita ukombozi na kulifanya hilo tukio kuwa la fundisho.

As far as i know, hilo sio fundisho.....fundisho ni kwamba, kama upo kwenye mahusiano ambayo mume au mke anapigwa, then wewe unayepigwa chukua hatia leo na utambae zako.....hutaki unatambaa!! Unataka unakaa udundwe mpaka mmoja wenu afe
 
Mbona mnajifanya Police na Mahakama, tumeumia sana lakini hili ni fundisho kwa vijana wanaojifanya vidume lamba lamba, ambao hawako tayari kuchukua mke mwema, Bongo movie imekuwa gumzo kwa kuzalisha machangu na uaribifu kwa watoto.
Hata hivyo namwonea huruma Lulu kwa kuwa kaanza na mkosi mkubwa angali kinda mdogo sana, inabidi sasa zitungwe sheria za kuwalinda vijana wadogo mastaa dhidi ya ngono zembe. Japaokuwa mtoto huyu alijitangaza mapema kuwa yeye kwa mapenzi ni moto wa kuotea mbali, akasema kama unabishi jaribu uone, sasa The Great kajaribu kanogewa kachonga nzinga, ok, aka ka jamaa nako kalikuwa akajatulia labda Mungu kakaonyehsa kuwa kuwalalua watoto wa watu hovyo bila kuwao cio sahii, hivyo pokea hii kama hilivyo sasa.


Yeah as i said earlier hili ni funzo na onyo sijui watu hatuoni vijana tujifunze lifestyle zingine sio zinzcost hadi maisha
 
Kifo si kitu chema hata kidogo. Lakini kitendo cha Lulu kusababisha mauti ya Kanumba ni dhahiri kuwa amewakilisha mateso ya wanawake wengi duniani.
1. Je, ni wanaume wangapi wako tayari wapenzi wao waone/kushika simu zao ili kuona ni akina nani wanaongea nao?
2. Kwa nini wao siku zote wanawafikiria vibaya wenzao, au ndiyo zao?
3. Je, misuli yao ndiyo huwafanya kuwaonea akina mama?

Hongera mwanangu Lulu kwani akina Sofia na Biswalo wako bize kututangazia siasa huku vitendo wakivificha. Nasema hivi kwani siku moja ndugu mmoja alimpiga mkewe kipigo cha kumwangusha juu ya vigae(nyumba imetandikwa vigae), yule mama akafikia kizingiti cha chumba na bafu ( Master bedrm) nakupasuka kichwa. Damu zilimtoka yule mama kama vile uchinjavyo ng'ombe. Bahati alikuwa mwelewa akalifunga jelaha lake na kuelekea hospital, mme akabaki amelala.

kosa la kipigo hicho lilikuwa kuwa mke kawasha taa wakati mmewe alikuwa anataka kulala! Basi.

Nasema umewakilisha akina mama nikiikumbuka ile kesi ya mwanasheria aliye shinda kesi ya mauaji ya mkewe mfanyakazi wa Posta - Dar.

Mtetezi wako ni Muumba wako na pepo wako mlinzi (your guiding spirit)

Mtu akisema wewe si Lusifa nitabisha hadi nife!
 
Nadhani tuache kumlaumu Lulu na tutafute hata na chanzo ili kujua nani mwenye makosa

mwenye makosa ni wema sepetu...tangu mchana marehemu alikua na ugwadu alimpigia simu akakataa kuja,angekuja yasingetokea yote haya
 
Mbona umenkokuludi ivyo?Una uhakika na ulichosikia?hata kama kinachosemwa kwa Lulu ni correct,unaweza kusema alienda kufanya nn kwa Mareh.?halafu mbona unamhukumu mtoto wa watu kirahic?Na tu-imajini wanawake wote kama wangekuwa na idea kama zako wangekuwa na ndoa?Hivi una ndoa na watoto kabisaa?Kama una ndoa na watoto chukulia mtoto wako anapoteza uhai kwa njia yoyote ile mfano.ajali,ugonjwa c ndo utamhukumu Sir GOD kwa nin alimuumba huyo?Naic umeteleza ku-argue ktk kipind hiki cyo familia ya Mareh.tu hata kwa Taifa zima tunapo omboleza kilicho tokea kwani tulikuwa tunamhitaj kama Taifa na Kimataifa alikuwa anaitajka.May God rest his soul....amen.
 
What kind ov moza r u?do u ve children?if yes how would u fil if dz happen 2 ur son?how would Kanumba's mother think about u 2 her son n family?USHINDWE!!

tumia akili ww kanumbu ni upuuzi na aibu kutembea na under 18 katudhalilisha bora amekufa angeficha wap sura yake
 
MADAM T mimi sikubaliani na wewe hata kidogo, hivi na wewe ulianza mahusiano na wanaume ukiwa bado mdogo eeh..saa sita usiku uko nyumbani kwa mwanaume...
 
Mbona umenkokuludi ivyo?Una uhakika na ulichosikia?hata kama kinachosemwa kwa Lulu ni correct,unaweza kusema alienda kufanya nn kwa Mareh.?halafu mbona unamhukumu mtoto wa watu kirahic?Na tu-imajini wanawake wote kama wangekuwa na idea kama zako wangekuwa na ndoa?Hivi una ndoa na watoto kabisaa?Kama una ndoa na watoto chukulia mtoto wako anapoteza uhai kwa njia yoyote ile mfano.ajali,ugonjwa c ndo utamhukumu Sir GOD kwa nin alimuumba huyo?Naic umeteleza ku-argue ktk kipind hiki cyo familia ya Mareh.tu hata kwa Taifa zima tunapo omboleza kilicho tokea kwani tulikuwa tunamhitaj kama Taifa na Kimataifa alikuwa anaitajka.May God rest his soul....amen.

Hebu mwambie, amenikera kweli...sijataka kuandika sana nikaharibu Easter yangu
 
Hujui mateso wanawake wanayopata ww! So leave pi as pi!!

Siju wewe au hao unaowajua wanateseka wameshaua wangapi? Sidhani hata kama huyo Lulu mwenyewe analichukulia hili kama hivyo mnavyong'ang'ania...
 
Kanumba has already paid for it, Lulu got nothing to pay for. Kanumba was more than changudoa and this explains why he suffered all this.[/QUOTE
Waswahili wanasema mficha maradhi mauti umfichua kiuhalisia msani ni kioo cha jamii ktk fikra zangu na kwa njinsi nilivyokuwa namuheshimu kanumba sikutegemea kama alikuwa anadate na lulu,kwanza she is like his young sister na walezi walikuwa wanaamini kanumba alikuwa anamuongoza na kumuelekeza mambo mema lulu kuliko kuwa mpenzi wake,sawa tulikuwa hatupaswi kujua uhusiano wao ila kama wangejitambulisha mapema mi nadhani walio wengi hapa ndani wangelaumu uhusiano wao,mauti yamefichua yote haya no one knows mungu anasababu zake za kufanya hivi so we have to take care natunayoyafanya,unatuficha ss na sio yeye na akiamua akuumbua anakuumbua anytime,all in all hakuna mtimilifu in his or her life,mungu amemchukua kama anavyowachukuwa wapendwa wetu wengine mapenzi ya mungu yametimia,sisi sote ni viumbe na kwake tutarejea,Tumuombe mwenyezi Mungu amsamehe zambi zake,Amen
 
Kifo si kitu chema hata kidogo. Lakini kitendo cha Lulu kusababisha mauti ya Kanumba ni dhahiri kuwa amewakilisha mateso ya wanawake wengi duniani.
1. Je, ni wanaume wangapi wako tayari wapenzi wao waone/kushika simu zao ili kuona ni akina nani wanaongea nao?
2. Kwa nini wao siku zote wanawafikiria vibaya wenzao, au ndiyo zao?
3. Je, misuli yao ndiyo huwafanya kuwaonea akina mama?

Hongera mwanangu Lulu kwani akina Sofia na Biswalo wako bize kututangazia siasa huku vitendo wakivificha. Nasema hivi kwani siku moja ndugu mmoja alimpiga mkewe kipigo cha kumwangusha juu ya vigae(nyumba imetandikwa vigae), yule mama akafikia kizingiti cha chumba na bafu ( Master bedrm) nakupasuka kichwa. Damu zilimtoka yule mama kama vile uchinjavyo ng'ombe. Bahati alikuwa mwelewa akalifunga jelaha lake na kuelekea hospital, mme akabaki amelala.

kosa la kipigo hicho lilikuwa kuwa mke kawasha taa wakati mmewe alikuwa anataka kulala! Basi.

Nasema umewakilisha akina mama nikiikumbuka ile kesi ya mwanasheria aliye shinda kesi ya mauaji ya mkewe mfanyakazi wa Posta - Dar.

Mtetezi wako ni Muumba wako na pepo wako mlinzi (your guiding spirit)
we ni mpuuzi mwenye laana kama za lulu na upuuzi huu uliondika ipo siku utakutokea puani kama ulikuwa na chuki na marehemu happa si mahala pake ama kama ulishawahi dhalilishwa na mwanaume wako usifanye ulionganisho hapa umekosa hoja ya msingi na kuingiza ***** pole sana akili zako zimelala kama za fisi mla mizoga!!
 
Sijapata ona jitu lenye akili mbovu kama mwanzisha hii mada amekosa upeo wa kila namna na mawazo finyu!!
 
Back
Top Bottom