Hongera LULU umewakilisha mateso ya wanawake Duniani

Cant comment una uhuru wa kutoa maoni yako, wish the dead could speak tungepata story za upande wa pili wa shilingi, but is gone RIP Steve will be the last person to judge u
 

We mtu (bila shaka ni mwanamke wewe) ni shetani kabisa.., yaani unafurahia kifo cha mtu?!! You must be of the devil if not a devil yourself.
 
Huna tofauti na shetwani!
 
What kind ov moza r u?do u ve children?if yes how would u fil if dz happen 2 ur son?how would Kanumba's mother think about u 2 her son n family?USHINDWE!!

kwani Lulu hana mama?
Mamaake haumii?
Kitendo cha Kanumba tu kujihusisha kimapenzi na huyo mtoto alikosea.
Na anamjua vizuri Lulu kilichomfanya alete wivu
hadi kutaka simu yake ni ni nini?
KWANINI ALIMLETEA UBABE? Nitapiga kelele kumtetea huyu binti popote nitakapopata nafasi ya kusema,Lulu ni mhanga tu kwa hili
 
 

Hebu nenda pale msibani useme maneno haya! unajua ni kweli kila upande unaumia kwa nafasi yake si kwa familia ya LULU wala ya KANUMBA,lakini kumbuka upande mmoja wamepoteza kitu ambacho hakiwezi kurudi tena,jamani hivi angekuwa mtoto wako ni kanumba ungethubutu kusema hayo?Mwombee LULU atoke akuchukulie mume wako mama!
 

Vipi humuamini mumeo?
 
Mhhhhhhh, mi yangu macho. Sisemi.
 
Imagine mtu anaweza kufagilia mtu kusababisha kifo cha mwingine, hv kwani ilikuwa lazima uandike chochote humu ndani:A S 576:
 
Point of correction huyo lulu anakuwakilisha wewe, sio wanawake wote usigeneralize, lazima utakuwa pacha wa lulu
 
Haswaa aliyejitetea hata kuishi (survive) kwani tumesikia ana majeraha mengi laukama angeuliwa yeye,

Utasikia mengi sana mwaka huu maana unaonekana ni bingwa wa kusikia. Nitakuombea roho wa Mungu akuponye utokwe na pepo la kusikia mambo.
 
Duh wewe dada naamini kuwa, huna mtoto, mchumba wala mume, mama wala kaka, na pia huenda huna kizazi, mtu mwenye kufurahi kuona mtu akipoteza maisha ni shetani maana ndo muuaji, wasalimu kuzimu.
 
acheni kusemasema,huyo mama amesema anayojickia kweny moyo wake,khyo mcmuhukum kwa mengi. kaeni subirini haki itendeke,kila mmoja awe na subira. Hakuna mkwel anaejua ni lulu,marehemu na Mungu.
 
hakika wewe una roho mbaya sana, sipati picha aliyekuoa yuko mbioni kupata brain concussion
 
hakika wewe una roho mbaya sana, sipati picha aliyekuoa yuko mbioni kupata brain concussion

Roho mbaya unayo weye ambae hutaki kutoa Like kwa wenzio......Humu ndani tunawasoma tabia za wengi pia...
 



inaonekana we mama mshirikina na hata mazishi yako watu hawata huzulia. Hata ukihubili vipi Kanumba ata endelea kuwa the great ktk maisha ya watu na kwa watz.
 



unaonekana mmeo una mcheat sn na ndo nyie mnaoeneza HIV.Kwann uwe na wanaume weng.
 

hongera danni devil umewakilisha mawazo ya malaika mtoa roho,maana urifikiri ukaishia hapo.
Hongera sana! Pamoja ummemuita lulu mwanao ila najua huwezi pata mtoto.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…