Hongera Majay kwa kituo bora cha TV

Pamoja Sana Ngoja tuisikilizie Swahili TV.
 
Kuongozi niliona juzi ulipost kwamba mtaanza kurusha African TV kuanzia jana kwenye Azam na Star Times nimejaribu kuangalia sijaona kitu,vipi mtaanza lini na channel number ngapi Azam?
 
Hongera yake ,kwenye dstv baado but pia Jana kupitia ukurasa wao wa inster walisema " tve wanarekebisha muonekano soon watarudi" hivyo star times subrini ila ni CH no 115 dstv ,azam na ZUKU wanakuja huko soon ,sipati picha wakiazisha sport hq kwenye hiyo TV E maana wamewajaza watu wa michezo ni shidaaa
 
Hiyo ETV naiona kupitia Azam..
sauti iko ovyo sana
sio stereo kabisa....
 
Kumbe ndiyo Maana nimeiona TV e nikajiuliza ya nani kumbe Hongera zake
 
aweke na zuku
 
Taja kipindi kizuri cha eatv
 
Channel inaitwaje nasisi tusiokuwa na startime tui search
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…