Mlamba asali
JF-Expert Member
- Dec 11, 2022
- 1,152
- 2,270
Hongera za nini ikiwa wapigaji wenyewe wamepewa vitengo badala ya kua nyuma ya nondo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Genge ni ccm nzima waliouza Gesi kwa wazungu wakati walituhadaa kwamba Umeme wa Gesi utakuwa tiba kwa matatizo ya Umeme na kwamba tutauza umeme Kenya, Uganda hadi Ethiopia.Iko hivi miradi yote ya upigaji ya Tanesico alikuwa anaifanya Maharagwe na January Kipara,mikataba hiyo ilikuwa inasainiwa kwenye chemba ya Bwana Yakobo,huyu Yakobo ni rafiki sana wa Mzee Kinena,mambo yake mengi ya kisheria yanafanywa kwenye chemba ya Bwana Yakubo,
Kwa mara nyingine Mama anathibitisha ya kwamba Hayati Magufuli alikuwa sahihi kuwakataa hao watu kwenye uongozi wake,Hayati Magufuli aliwahi kumtimua bungeni kwa kashfa kubwa ya mabilioni akiwa katibu wa Supika,na alikuwa anaelekea kupiga pesa za Ujenzi wa viwanja,kawaita wakandarasi kakaa nao tena mezani,Mama umemuwahi umemuondoa ahsante sana,
Hili genge limetuumiza sana kwenye Umeme na sasa tunapitia mgao kwa machungu yaliyosababishwa na hilo genge,
Ombi letu kwa Mama Samia;-
Huyu Maharagwe ni royal sana kwa Vodekomu,sasa kumpa tena titisielo ataenda kuliua shirika na kumpa nguvu Vodekomu,jicho lako Mama lipige vizuri hapo,Mwisho nakupongeza sana Mama kwa kulivunja genge hili la Wapigaji.
Wanatulaghai tu sisi wanyonge wanapongezana kwa kejeli tuHongera za nini ikiwa wapigaji wenyewe wamepewa vitengo badala ya kua nyuma ya nondo
Na wamepewa na vyeo vingine......mleta mada hana akili.Kama unadai wamepiga sasa si wamezipiga na wanazo tayari au....
Akuna tatizo la umeme ni mipango nenda au tuma mtu akaangali mto ruhaa ulivyo jaa wakati sio kawaida yake miezi Ii kubwa na maji mengi kiasi kileMh raisi ongera kwa uvunjaji wa badhi mawaziri na wakurugenzi wa ovyo wasiokuwa waminifu na wazalendo Kama wazir nishat kumuondoa na mkurugenzi wa tanesco bado wa rea Kama yafuatayo tuma team yako ya rushwa na wasomi wahandishi wakatafit ktk tenda za rea yafuatayo wanakudanganya na serikali yako
1: wanathibitisha wataendesha kazi kwa bond security bank na kuthibitisha wanauwezo wa ku provide all facility kwa sub contractor kuanzia vitendea kazi na magari na mafuta kwajir sub contractor mitaji yao ni wafanyakazi na ujuzi tu awatekelezi ilo
2: imegeuka sub contractor rea wao ndio Wana provide all facility and to run project before any payment any support and cooperation toka kwa main contractor imekuwa sub contractor a part of work project rea responsibility 95% is not a part of main contractor is not resposiblity ilo team yako ya watu rushwa na wahandishi wasomi wa umeme watafit wakague mikataba kila sub contractor site watabaini wizi na rushwa sugu
3. Lingie kukatika katika umeme ni kwasababu akuna uwajibikaji ktk shirika la tanesco na wizara yake pia aiwezekani uitaji wa umeme upo na kulipa watu wanalipa kwanini umeme ukatike katike ? Kama wahandishi wote Wana data kuanzia kila idadi nyumba na load idadi kila transformer na wateja na load na kila phace na idadi wateja na load before customers connection? Data base technology? Kama ongezeko la wateja na matumizi zisiongezwe transformer au generator kva data base technology computerize Nina hakika wakikaguliwa tanesco Awana data base kila transformer nk sio wawajibikaji inaitajika utafit na kuwawajibisha kupotezea mapato serikali Kodi kwajir uzembe
4: tunaomba tanesco ingizwe ktk ushindani wa kibiashara ibakie kuza umeme tu vitengo vyote vya kuanzia usambazaji umeme na matengenezo wapewe kunga customers connection wateja private sector ilo litaongeza ufanisi na mapato kwa serikali kwa ushindani wa kibiashara na kuza vifaa meter iwe Kama line sm iuzwe dukani na registration immediately tupo ktk technology atuko ktk analogy serikali inapoteza mapato makubwa private sector wa import na export ushindani wa kibiashara ni information technology
Ushauri wetu na maoni kwa masilai ya jamuhuri ya muungano watanzania na watu wake mpaka kizazi ushauri wa bure constulant private sector
Acha uchawa bro, amevunja vipi? Kwani waliwekwa na nani hapo mwanzo? He hasara waliyoingizia Taifa nani analipa? Kama, walikuwa wapigaji kuna pesa, haramu wamepata, je wamezirudisha? Wezi, hufungwa au, kuuliwa, sasa Hao "wapigaji" Wametolewa tsnesco, wakapewa nafasi nyingine tena kwa mshahara mnono bado, sasa hapo amevunja genge? Au amewapa nafasi ya kujificha ili watu wapunguze kelele!Iko hivi miradi yote ya upigaji ya Tanesico alikuwa anaifanya Maharagwe na January Kipara,mikataba hiyo ilikuwa inasainiwa kwenye chemba ya Bwana Yakobo,huyu Yakobo ni rafiki sana wa Mzee Kinena,mambo yake mengi ya kisheria yanafanywa kwenye chemba ya Bwana Yakubo,
Kwa mara nyingine Mama anathibitisha ya kwamba Hayati Magufuli alikuwa sahihi kuwakataa hao watu kwenye uongozi wake,Hayati Magufuli aliwahi kumtimua bungeni kwa kashfa kubwa ya mabilioni akiwa katibu wa Supika,na alikuwa anaelekea kupiga pesa za Ujenzi wa viwanja,kawaita wakandarasi kakaa nao tena mezani,Mama umemuwahi umemuondoa ahsante sana,
Hili genge limetuumiza sana kwenye Umeme na sasa tunapitia mgao kwa machungu yaliyosababishwa na hilo genge,
Ombi letu kwa Mama Samia;-
Huyu Maharagwe ni royal sana kwa Vodekomu,sasa kumpa tena titisielo ataenda kuliua shirika na kumpa nguvu Vodekomu,jicho lako Mama lipige vizuri hapo,Mwisho nakupongeza sana Mama kwa kulivunja genge hili la Wapigaji.
Mwezi wa kwanza, beans ni mtandao wa shetani. Shetani anawatuma kufanya hivyo wanavyofanya. Kwenye umeme wamefanikisha.Iko hivi miradi yote ya upigaji ya Tanesico alikuwa anaifanya Maharagwe na January Kipara,mikataba hiyo ilikuwa inasainiwa kwenye chemba ya Bwana Yakobo,huyu Yakobo ni rafiki sana wa Mzee Kinena,mambo yake mengi ya kisheria yanafanywa kwenye chemba ya Bwana Yakubo,
Kwa mara nyingine Mama anathibitisha ya kwamba Hayati Magufuli alikuwa sahihi kuwakataa hao watu kwenye uongozi wake,Hayati Magufuli aliwahi kumtimua bungeni kwa kashfa kubwa ya mabilioni akiwa katibu wa Supika,na alikuwa anaelekea kupiga pesa za Ujenzi wa viwanja,kawaita wakandarasi kakaa nao tena mezani,Mama umemuwahi umemuondoa ahsante sana,
Hili genge limetuumiza sana kwenye Umeme na sasa tunapitia mgao kwa machungu yaliyosababishwa na hilo genge,
Ombi letu kwa Mama Samia;-
Huyu Maharagwe ni royal sana kwa Vodekomu,sasa kumpa tena titisielo ataenda kuliua shirika na kumpa nguvu Vodekomu,jicho lako Mama lipige vizuri hapo,Mwisho nakupongeza sana Mama kwa kulivunja genge hili la Wapigaji.
Unampongeza kwa kuhamisha tatizo!?[emoji848][emoji2827] kama aliharibu point A adhabu yake ilikuwa kupigwa chini na kupandishwa kizimbani sio kupelekwa point B nako akazidi kuharibu.. Kwani wasomi wameisha nchi hii[emoji780]Iko hivi miradi yote ya upigaji ya Tanesico alikuwa anaifanya Maharagwe na January Kipara,mikataba hiyo ilikuwa inasainiwa kwenye chemba ya Bwana Yakobo,huyu Yakobo ni rafiki sana wa Mzee Kinena,mambo yake mengi ya kisheria yanafanywa kwenye chemba ya Bwana Yakubo,
Kwa mara nyingine Mama anathibitisha ya kwamba Hayati Magufuli alikuwa sahihi kuwakataa hao watu kwenye uongozi wake,Hayati Magufuli aliwahi kumtimua bungeni kwa kashfa kubwa ya mabilioni akiwa katibu wa Supika,na alikuwa anaelekea kupiga pesa za Ujenzi wa viwanja,kawaita wakandarasi kakaa nao tena mezani,Mama umemuwahi umemuondoa ahsante sana,
Hili genge limetuumiza sana kwenye Umeme na sasa tunapitia mgao kwa machungu yaliyosababishwa na hilo genge,
Ombi letu kwa Mama Samia;-
Huyu Maharagwe ni royal sana kwa Vodekomu,sasa kumpa tena titisielo ataenda kuliua shirika na kumpa nguvu Vodekomu,jicho lako Mama lipige vizuri hapo,Mwisho nakupongeza sana Mama kwa kulivunja genge hili la Wapigaji.
Vilaza bwana, sasa hapo amevunja nini au amekufanyia nini cha maana hadi kushukuru, nyie watu wenye elimu za kuunga unga mna shida hata hamjielewi wala hamjitambuhi, ufomfoo feilia ndio unaotafuna nchi hii.Iko hivi miradi yote ya upigaji ya Tanesico alikuwa anaifanya Maharagwe na January Kipara,mikataba hiyo ilikuwa inasainiwa kwenye chemba ya Bwana Yakobo,huyu Yakobo ni rafiki sana wa Mzee Kinena,mambo yake mengi ya kisheria yanafanywa kwenye chemba ya Bwana Yakubo,
Kwa mara nyingine Mama anathibitisha ya kwamba Hayati Magufuli alikuwa sahihi kuwakataa hao watu kwenye uongozi wake,Hayati Magufuli aliwahi kumtimua bungeni kwa kashfa kubwa ya mabilioni akiwa katibu wa Supika,na alikuwa anaelekea kupiga pesa za Ujenzi wa viwanja,kawaita wakandarasi kakaa nao tena mezani,Mama umemuwahi umemuondoa ahsante sana,
Hili genge limetuumiza sana kwenye Umeme na sasa tunapitia mgao kwa machungu yaliyosababishwa na hilo genge,
Ombi letu kwa Mama Samia;-
Huyu Maharagwe ni royal sana kwa Vodekomu,sasa kumpa tena titisielo ataenda kuliua shirika na kumpa nguvu Vodekomu,jicho lako Mama lipige vizuri hapo,Mwisho nakupongeza sana Mama kwa kulivunja genge hili la Wapigaji.