mwanamabadiliko
JF-Expert Member
- Oct 30, 2010
- 938
- 1,540
Kiukweli ushindi wa Leo bila mashabiki ungekuwa mgumu sana, wachezaji wamejitoa baada ya watanzania wengi kuingia uwanjani.
Naishukuru sana serikali ya CCM ikiongozwa na Dk. Samia Suluhu Kwa kutuwezesha watanzania masikini kuweza kuingia uwanjani na kuwapa saport wachezaji wetu.
Lastly namshukuru Fistin mayele ambaye aliwakumbusha makocha kuwa Msuva ni hatari. Sana hivyo aitwe timu ya Taifa.
Naishukuru sana serikali ya CCM ikiongozwa na Dk. Samia Suluhu Kwa kutuwezesha watanzania masikini kuweza kuingia uwanjani na kuwapa saport wachezaji wetu.
Lastly namshukuru Fistin mayele ambaye aliwakumbusha makocha kuwa Msuva ni hatari. Sana hivyo aitwe timu ya Taifa.