Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kadiri Machadema na wale nyumbu wengine wanavyozidi kumchukia SSH ndivyo nyota yake inazidi kung'aa.Kiukweli ushindi wa Leo bila mashabiki ungekuwa mgumu sana, wachezaji wamejitoa baada ya watanzania wengi kuingia uwanjani.
Naishukuru sana serikali ya CCM ikiongozwa na Dk. Samia Suluhu Kwa kutuwezesha watanzania masikini kuweza kuingia uwanjani na kuwapa saport wachezaji wetu.
Lastly namshukuru Fistin mayele ambaye aliwakumbusha makocha kuwa Msuva ni hatari. Sana hivyo aitwe timu ya Taifa.
Chawa akikujibu nitagMama yenu alicheza namba ngapi?
Hunaga akili kabisa.Mama anupiga mwingi sana, mitano tenaView attachment 3156291
Kadiri Machadema na wale nyumbu wengine wanavyozidi kumchukia SSH ndivyo nyota yake inazidi kung'aa.
Na Bado ataipaisha Nchi kwenye mambo mengi sana.👇👇
View: https://x.com/insaneclips2024/status/1858893647795597754?t=yEX6QlWfSrzOhyVLImC7Mg&s=19
Imekomaje?Mi CHADEMA imenuniana huko inatamani kupasuka.nami nimesema kama inataka inywe sumu ili ife kabisa maana haina faida hapa Nchini
Nataka inywe sumu tu ili ife😀😀Imekomaje?
Akili anazo mumeo aliyekuzalisha mapacha kisha akakuachaHunaga akili kabisa.