mwanamabadiliko
JF-Expert Member
- Oct 30, 2010
- 938
- 1,540
Sana , baraka za mamaNI KAMA MUJIZA WALLAH
Hatutaki wakenya, na kina sativa humu. Nendeni GuineaMmepiga bomu mochwari mnajisifu mmeua😃
View attachment 3156293
Ukisikia timubina wachezaji 12 , basi ujue wachezaji wa 12 ni mama na watoto wakeMama yenu alicheza namba ngapi?
Mama Samia amecheza namba ngapi leo?Kiukweli ushindi wa Leo bila mashabiki ungekuwa mgumu sana, wachezaji wamejitoa baada ya watanzania wengi kuingia uwanjani.
Naishukuru sana serikali ya CCM ikiongozwa na Dk. Samia Suluhu Kwa kutuwezesha watanzania masikini kuweza kuingia uwanjani na kuwapa saport wachezaji wetu.
Lastly namshukuru Fistin mayele ambaye aliwakumbusha makocha kuwa Msuva ni hatari. Sana hivyo aitwe timu ya Taifa.
Hongera mama Ukhti wetuKiukweli ushindi wa Leo bila mashabiki ungekuwa mgumu sana, wachezaji wamejitoa baada ya watanzania wengi kuingia uwanjani.
Naishukuru sana serikali ya CCM ikiongozwa na Dk. Samia Suluhu Kwa kutuwezesha watanzania masikini kuweza kuingia uwanjani na kuwapa saport wachezaji wetu.
Lastly namshukuru Fistin mayele ambaye aliwakumbusha makocha kuwa Msuva ni hatari. Sana hivyo aitwe timu ya Taifa.
U hawa ni dhambi.Kiukweli ushindi wa Leo bila mashabiki ungekuwa mgumu sana, wachezaji wamejitoa baada ya watanzania wengi kuingia uwanjani.
Naishukuru sana serikali ya CCM ikiongozwa na Dk. Samia Suluhu Kwa kutuwezesha watanzania masikini kuweza kuingia uwanjani na kuwapa saport wachezaji wetu.
Lastly namshukuru Fistin mayele ambaye aliwakumbusha makocha kuwa Msuva ni hatari. Sana hivyo aitwe timu ya Taifa.
Hamna uchawa, shida hujui influence ya mashabiki. Hata Chadema mbona wameingia uwanjani bureU hawa ni dhambi.