Kalpana
JF-Expert Member
- Jun 16, 2017
- 32,603
- 62,269
Mji umechafuka...[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] alifumuliwa yeye, woiiiih
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mji umechafuka...[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] alifumuliwa yeye, woiiiih
Hata mimi bby?Tuma hela ya malipo, [emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] noumaaahMji umechafuka...
Tuma hela ya malipo. [emoji23][emoji23][emoji23]Hata mimi bby?
Unataka nimtaje hapa?Jamaa angu yupii? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mtaje hapa nakupa ruksa.Unataka nimtaje hapa?
Ha ha ha! Lengo la msingi la kuoa au kuolewa ni kuongeza kizazi. Lengo la pili ni kupata faraja hususan baada ya kuondokewa na mwenza. Kitenge hayupo kwenye kundi la pili kwani anao wake. Kwenye sababu ya kwanza, haina mashiko kwake kwani, kama unavyodai, anawalenga mashangazi ambao uwezo wa kuongeza kizazi haupo! Swali, lengo lake ni lipi hasa?Kitenge haoagi mwanamke mchovu, wanawake wote ambao anawaoa wanamawe.Kuna kupindi alikuwa amemuoa mmama mmoja ambao uafanya kazi UN. Naona hapendi mizinga kwa hawa wadangaji, halafu yy anaprefer wale ambao umri kidogo umeenda ambao wanahela, hawa mademu njaa njaa hataki kuwasikia.
Lione ndiomana kazi kuchezewa tuu huolewi.Mwingine huyo anaenda kulizwa soon! Hebu mie nikasali zangu.