Hongera Maulid Kitenge na Nusrat Hanje kufunga ndoa

Hongera Maulid Kitenge na Nusrat Hanje kufunga ndoa

Nasikia yule mtoto kwenye tangazo la EATV anasema "You can do only tennis or you can do other exercise" ni wake. Pia alikuwa na mke mtangazaji aliyemzidi Kitenge umri
Mimi tangu 2010 najua alikuwa na wake wawili tukikaa naye pale Mwananyamala Koma Koma.

Sema huyu ni Mwislam uwezo kama upo anaoa hadi wanne
 
Kweli kuna jamaa hapa jirani yangu, tetesi zilikuwa zikidai kuwa jogoo wake hawiki, mimi nilipuuza maana anao hadi watoto ila hana mke,niliwahi kumuuliza juu ya kuoa akasema yeye hawezi kuoa maana wanawake ni wasumbufu sana.

Nimekaa baada ya muda nikawa naona anaishi na mwanamke,sikumuuliza, na yule mwanamke alikuwa mjamzito,mimi nikajua ameamua kuoa,hatari zaidi kuna siku huyo mke wake mjamzito alikuja kuvurugana na mwanamke mwingine ambaye inasemekana alikuwa hawara wa huyo jamaa,na nilikuwa namuona akija hapo( walikuwa wanamgombania huyo jamaa).

Sasa nikawa najiuliza mbona watu wanasema jamaa jogoo wake hawiki,je huyu mwanamke mwenye mimba kulikoni,je huyu mwanamke aliyekuja kupambana na mwanamke mwezie sababu ilikuwa ni nini ikiwa jamaa hawezi ku.t.o.m****.

Sasa bahati nzuri mke wajamaa pamoja na mke wangu wakawa marafiki na huyu mwanamke mwenye mimba ambaye ni mke wa jamaa,kuna siku akadokeza huyo mke,bwana mimi niko na huyu jamaa ila hii mimba si yake,na usimuone hivyo hana uwezo wa kusimamia show hatab nusu sekunde,kiufupi mtalimbo uko dolo toka kuzaliwa,ila anawivu sana asikuone umesimama na mwanamme.
Watu wa namna hii wako wengi sana hapa Bongo, kuna wengine wana misuli utadhani ni mabaunsa ila wanaliwa bila kachumbari na wenzao huko mitaani
 
Screenshot_20240323_151801_WhatsApp.jpg
 
Kweli kuna jamaa hapa jirani yangu, tetesi zilikuwa zikidai kuwa jogoo wake hawiki, mimi nilipuuza maana anao hadi watoto ila hana mke,niliwahi kumuuliza juu ya kuoa akasema yeye hawezi kuoa maana wanawake ni wasumbufu sana.

Nimekaa baada ya muda nikawa naona anaishi na mwanamke,sikumuuliza, na yule mwanamke alikuwa mjamzito,mimi nikajua ameamua kuoa,hatari zaidi kuna siku huyo mke wake mjamzito alikuja kuvurugana na mwanamke mwingine ambaye inasemekana alikuwa hawara wa huyo jamaa,na nilikuwa namuona akija hapo( walikuwa wanamgombania huyo jamaa).

Sasa nikawa najiuliza mbona watu wanasema jamaa jogoo wake hawiki,je huyu mwanamke mwenye mimba kulikoni,je huyu mwanamke aliyekuja kupambana na mwanamke mwezie sababu ilikuwa ni nini ikiwa jamaa hawezi ku.t.o.m****.

Sasa bahati nzuri mke wajamaa pamoja na mke wangu wakawa marafiki na huyu mwanamke mwenye mimba ambaye ni mke wa jamaa,kuna siku akadokeza huyo mke,bwana mimi niko na huyu jamaa ila hii mimba si yake,na usimuone hivyo hana uwezo wa kusimamia show hatab nusu sekunde,kiufupi mtalimbo uko dolo toka kuzaliwa,ila anawivu sana asikuone umesimama na mwanamme.

Mbona hata wewe mke wako kuna mahali alisema mtoto wa kwanza sio wako, na ukipiga kimoja unalala usingizi wa nusu kaputi

Ila sisi hatukuamini, mbona wewe unaamini chai za mke wako, akienda kwa yule mzee ndesaruo huwa anakuambia ?
 
Mbona hata wewe mke wako kuna mahali alisema mtoto wa kwanza sio wako, na ukipiga kimoja unalala usingizi wa nusu kaputi

Ila sisi hatukuamini, mbona wewe unaamini chai za mke wako, akienda kwa yule mzee ndesaruo huwa anakuambia ?
Mkuu wewe mpiga ramli au?
 
Back
Top Bottom