Mwanamke akilizwa si ndiyo mnasema mmepewa rahaMwingine huyo anaenda kulizwa soon! Hebu mie nikasali zangu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwanamke akilizwa si ndiyo mnasema mmepewa rahaMwingine huyo anaenda kulizwa soon! Hebu mie nikasali zangu.
HahahahahahaSiku hizi Mishangazi ina soko sana. Wacha nami nivute vute umri warembo wazid kunona.
Huyu labda ni mke wa 4 kama sijakosea.Hivi mpaka leo maulid alikuwa hajaoa?
Ni wivu tu!Mwingine huyo anaenda kulizwa soon! Hebu mie nikasali zangu.
Kitenge ana wake kibao
Watu wanafungua mabanda ya kufuga kuku ya biashara yeye anafungua mabanda ya kufuga wanawake
Huyu labda ni mke wa 4 kama sijakosea.
Mwingine huyo anaenda kulizwa soon! Hebu mie nikasali zangu.
Hataki shida😀Huyo kitenge huwa anaoa wanawake wenye hela tu.
Ukiwa na hela anakuoa fasta
Mh ila kuoa na kuacha kila siku sidhani kama dini inaruhusu, hayo ni matamanio yake ya kibinaadamu kwa maoni yangu😀😀😀😎😎 ....... Sasa kuna tatizo gani akiwafuga mkuu, dini yake si inamruhusu?
Mke wa ngapi huyu? Najua Maulid alikuwa na wake wawili. Huyu Nusrat naye kaachika au alizaaa na mshefa Maulid..... Hizi ndoa za mwezi wa Ramadhani hazina konakona, ni rahisi tu.View attachment 2939549
Nawapongeza Maulid Kitenge na Nusrat Hanje kufunga pingu za maisha japo waliamua kufanya ndoa ya siri.
Chumvi kapata chombo ya ukweli.
Mau kwenye hiyo taasisi ni legend.Hivi mpaka leo maulid alikuwa hajaoa?
Kwa hiyo kitenge kaoa mke wa umri sawa na wa mama yeke. Mbona kitenge anajitafutia laana
Akuoe wewe basiKwa hiyo Kitenge kaoa mke wa umri sawa na wa mama yeke. Mbona kitenge anajitafutia laana
Yapo ya aina mbili mkuuKumbe siyo bwabwa?!
Walimwengu Kwa UZUSHI?!
Wamekutana Nusrat Hanje hiyo ndoa na kitenge ni ndoa yake ya tatu au waswahili hupenda kuita chuo cha tatu .Hivyo hanje sasa yuko chuo cha tatuNadhani amejazi nafasi iliyokuwa wazi.