Wat if yeye ndiyo alionunua, acheni chuki za kijinga
Nimeona insta wanambalasa kuwa sio yake..Hajajenga..au basi kanunua ikiwa tayari au kapangisha ni apartment mazingira yananionyeaha hivo..angalia nyumba za jirani ni vile vile na aliyopo
Sent using Jamii Forums mobile app
Hela hizo mmmmh...Kama ni kweli kanunua hongera yake...mil 400!!! Siamini
Mzigua njoo tuunde band tuimbe taarab na sie
Sent using Jamii Forums mobile app
Hela hizo mmmmh...
Kwa sauti gani ndugu yangu?? Sauti yangu labda niimbe taarab [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahah we jamaaa unamasiharaaDogo ana heshima sana..na anahofu ys mungu
Huwa nasikiliza sana nyimbo zake nikiwa nimelewa
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]. Umevurugwa AggyTuanze na kiki jf mpaka insta kwanza halafu tunazindua kundi
Tukizubaa tunakufa maskini..oohh
Sent using Jamii Forums mobile app
mlango wa uwani umeuona??Hongera sana kwa hatua uliyopiga, ila nyumba kama ya kizamani, sisi vilema tunapandaje hapo sasa
Sent using Jamii Forums mobile app
Tanzania imefika hatua kua na kajumba kama hako ni very big deal mpaka utangaze kilamahali
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwani ya kwako!Hongera sana kwa hatua uliyopiga, ila nyumba kama ya kizamani, sisi vilema tunapandaje hapo sasa
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]. Umevurugwa Aggy
Sent using Jamii Forums mobile app
Kilema unatafuta nini majumbani kwa watu?Tulia kwako mkuu acha zengwe.Hongera sana kwa hatua uliyopiga, ila nyumba kama ya kizamani, sisi vilema tunapandaje hapo sasa
Sent using Jamii Forums mobile app