Ndio Hofu ya Mungu ile kuzibua mitaroDogo ana heshima sana..na anahofu ys mungu
Huwa nasikiliza sana nyimbo zake nikiwa nimelewa
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahaha pale itakua alitaka kumfurahisha boss wake..Ndio Hofu ya Mungu ile kuzibua mitaro
Ahahahahahh
Ndio Hofu ya Mungu ile kuzibua mitaro
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]unazo ngapi mkuu?Tanzania imefika hatua kua na kajumba kama hako ni very big deal mpaka utangaze kilamahali
Sent using Jamii Forums mobile app
Ana hofu ya Mungu!? Kusifia kuzibua mitaro na hofu ya Mungu wapi na wapi? Tufurahie tu muziki mzuri, haya ya hofu ya Mungu tuyaache kama yalivyo.Dogo ana heshima sana..na anahofu ys mungu
Huwa nasikiliza sana nyimbo zake nikiwa nimelewa
Sent using Jamii Forums mobile app
Alimzibua nani asee?Ana hofu ya Mungu!? Kusifia kuzibua mitaro na hofu ya Mungu wapi na wapi? Tufurahie tu muziki mzuri, haya ya hofu ya Mungu tuyaache kama yalivyo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mleta mada kaficha watu waliolike post,sijui kwa nini.....Uzuri ni kwamba ametega mtego. Hajasema ni kipi anachomshukuru nacho Mungu.
Sijui kama umeona huo ujanja mkuu.
Mleta mada kaficha watu waliolike post,sijui kwa nini.....
hahahaha fastaaaaaa ukiingia kwa page unaikuta inapangishwa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ila dalali kiongozi anajua kuumbua watu aiseee
Sasa wewe kilema unaenda kufanya nini hapo kwani amejenga ni hospitali hiyo
Sent using Jamii Forums mobile app
Safi, hii ndio akili siyo kumung'unya tu papuchi utafikiri uko kwenye mashindano