CK alikua mtu wa Ikulu dadaaaa!!sasa hivi kafuliaa na yuko segedance kwa matumizi mabaya ya fedha!!!!
Wema ashawahi mtunza gari Dogie masta kwa Kazi nzuri ya kumtukana penny na Zari enzi hizoooo...Wema kashapiga meneja hotel mmesahau jina kwa jeuri ya fedha..upooo...