Hongera Membe, ACT - wengine Salamu kwenu

Alafu leo katukanwa Tunduma amekata pumzi na hakuna kitu alichofanyia Tanzania wakati wa uwaziri wake.
 
Tangu lini US wawe na huruma kwetu? Wangekuwa na huruma Wangekuwa walishatusaidia kiuchumi na hivyo Tanzania ingekuwa kama US.
Watanzania, mmeshasahau mauaji ya George Flowd?
Kwahiyo zile bara bara zina zojengwa na hizo shule pamoja na mashimo ya choo na madawa hospitalini munazania nipesa za nani mwisho wa na weka Bango kila wakimaliza kujenga bara bara ni hisani ya watu wa marekani

Sent from my TECNO CA7 using JamiiForums mobile app
 
Haki gani hao watatenda wametanguliza matumbo mbele hao lazima watafika ICC
 
feki hiyo,bavicha kazini
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…