Missile of the Nation
JF-Expert Member
- May 24, 2018
- 15,101
- 56,054
Fake account hiyo
Wanamlisha maneno
Wanamlisha maneno
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Membe amesalitiwa na wasaliti wa taifa
Kwahiyo zile bara bara zina zojengwa na hizo shule pamoja na mashimo ya choo na madawa hospitalini munazania nipesa za nani mwisho wa na weka Bango kila wakimaliza kujenga bara bara ni hisani ya watu wa marekaniTangu lini US wawe na huruma kwetu? Wangekuwa na huruma Wangekuwa walishatusaidia kiuchumi na hivyo Tanzania ingekuwa kama US.
Watanzania, mmeshasahau mauaji ya George Flowd?
Haki gani hao watatenda wametanguliza matumbo mbele hao lazima watafika ICCMabibi na mabwana heshima kwenu.
Wakati jitihada za kuzuia mafuriko zinaonekana tokea kwa wateuliwa tusiache kutoa pongezi panapostahili.
Bwana Membe hongera:
View attachment 1587214
Mabwana Sirro, mahera na msajili salamu kwenu.
Huyu mnayemchukia ni kipenzi cha wengi. Acheni kila mtu ashinde mechi zake mwenyewe. Pana haja gani ya kujinunulia kesi?
Mwenye macho haambiwi tazama.
Palikuwa na sababu gani za msingi kwa mabomu yale tarime au kwenye msafara ule wa bwana Mwalimu?
Wananchi tunaona na ni mahakimu wema mno.
Tendeni haki mwende zenu.
Niyeye Lissu Rais wa awamu ya6.
😆😆😆😆Fake account hiyo, japo inawe,a kuwa kweli anatamani kusema hivyo
Ila nyie wenzetu hhwa hamjui kusoma? Hapo unaoona kabisa kuwa ni fake
Huku Zitto kule Seif na bila kumsahau Mbowe! Hao jamaa noma sana!Membe amesalitiwa na wasaliti wa taifa
Jamaa wanajua sana kujifariji na vijistori vya kutunga.Fake account hiyo, japo inawe,a kuwa kweli anatamani kusema hivyo
Ila nyie wenzetu hhwa hamjui kusoma? Hapo unaoona kabisa kuwa ni fake
feki hiyo,bavicha kaziniMabibi na mabwana heshima kwenu.
Wakati jitihada za kuzuia mafuriko zinaonekana tokea kwa wateuliwa tusiache kutoa pongezi panapostahili.
Bwana Membe hongera:
View attachment 1587214
Mabwana Sirro, mahera na msajili salamu kwenu.
Huyu mnayemchukia ni kipenzi cha wengi. Acheni kila mtu ashinde mechi zake mwenyewe. Pana haja gani ya kujinunulia kesi?
Mwenye macho haambiwi tazama.
Palikuwa na sababu gani za msingi kwa mabomu yale tarime au kwenye msafara ule wa bwana Mwalimu?
Wananchi tunaona na ni mahakimu wema mno.
Tendeni haki mwende zenu.