Hongera Monalisa, Jamiiforums tunakupongeza

Hongera Monalisa, Jamiiforums tunakupongeza

Uliponiudhi ni hapo ulipotusemea na sisi wengine wakati hata hatumjui.
Tena waombe mods wabadilishe hiyo title isomeke mimi na siyo sisi.
Kwa mfano mimi mtoto wangu anajua ni mwana JF, sasa akiona upumbavu huu si atajua baba ameshafilisika mawazo!
 
Hahahahaa Ipo siku na mi ntamtakia Masanja mkandamizaji happy birthday kwa niaba ya wana JF. Lazima tushangazane mwaka huuu! Nimecheka sana eti JF tunakupongeza!!!
 
Ulipoenda chaka ni hapo ulipojitwalia Madaraka ya "kutujumuisha" wote km jf eti tum wish hep bethday.hata hao akina invisible hawana mamlaka ya moja kwa moja kujitia kutusemea jf.wao watabaki km moderators tuu na si kujivukia mipaka hovyo.kuwa mjumbe Wa jf hakukupi power ya kuwasemea wajumbe wengine.ni vyema vilivyo vya binafsi vikawasilishwa kwa upana Wa ubinafsi wake.take it

Safi sana mkuu,mi mwenyewe anitoe.
 
HAPPY BIRTHDAY MONALISA

Leo ni siku ya kuzaliwa ya Monalisa Mwigizaji na Mtangazaji wa kipindi cha Filamonata cha 100.5 Times Fm.

JF tunamtakia maisha mema yenye baraka na fanaka.

Wewe ni kengelaizasheni.
 
HAPPY BIRTHDAY MONALISA

Leo ni siku ya kuzaliwa ya Monalisa Mwigizaji na Mtangazaji wa kipindi cha Filamonata cha 100.5 Times Fm.

JF tunamtakia maisha mema yenye baraka na fanaka.


we gentleman au CHOKO flan????na. kakuteua kuwa msemaji wa jf???

kwanini usiisemee saluni ya kike unayofanyia kazi??
 
Hahahahaa Ipo siku na mi ntamtakia Masanja mkandamizaji happy birthday kwa niaba ya wana JF. Lazima tushangazane mwaka huuu! Nimecheka sana eti JF tunakupongeza!!!

Si ndo hapo? tumpongeze sisi wote tunamjua?,kuna mijitu humu haina akili kabisa,huyo monalisa sijui hawara yako,tuondolee uharo wako hapa,senz taipu kabisa,kwanza umeniharibia siku.
 
Back
Top Bottom