Hongera Mpina, hoja yako imeeleweka vyema kwa Wananchi Wazalendo

uzushi, uongo, kiburi na jeuri inarekebishwa kwa kanuni tu. kawa mdogo kama piritoni..
kutengwa na kukataliwa na kila mtu kwenye jamii fulani panaumiza sana aise [emoji205]

Kukataliwa na kikundi kidoko cha mafisadi hakuwezi kumwumiza mtu anayepigania haki.

Mpina anafurahia uungwaji mkono wa watu wema wenye akili timamu, watu wanaojitambua na siyo machawa wa mafisadi.
 
Kukataliwa na kikundi kidoko cha mafisadi hakuwezi kumwumiza mtu anayepigania haki.

Mpina anafurahia uungwaji mkono wa watu wema wenye akili timamu, watu wanaojitambua na siyo machawa wa mafisadi.
saivi uskute anaongea pekeyake tu kwa majuto 🀣

nyie mambo haya saa zingine ni kujitakia tu πŸ’
 
saivi uskute anaongea pekeyake tu kwa majuto [emoji1787]

nyie mambo haya saa zingine ni kujitakia tu [emoji205]

Sitarajii Mpina eti ajutie huo uhayawani wa wabunge wenzake na huyo spika, kwa sababu hili genge la mafisadi, wametenda kama ilivyotarajiwa, na pengine hata pungufu ya Mpina alivyotegemea.

Mpina alijua kabisa kuwa hawa mafisadi ni syndicate inayojumuisha Bashe na baadhi ya wabunge wala rushwa wakubwa, kama Musukuma, na lazima wamejipanga kueteteana, sawa na walivyofanya kwenye kuuza mamlaka ya nchi kwenye masuala ya bandari, ndiyo maana Mpina aliamua kuweka wazi vielelezo vyote vya uharamia wa Bashe na genge lake, kwa umma. Na kwenye hilo alifanya vema, na amefanikiwa sana.

Suala la ufisadi wa sukari, limetoa ujumbe kwa mbunge yeyote mwenye dhamira njema ya kupinga ufisadi, ni vyema taarifa hiyo kuitoa kwa umma. Bungeni aitamke ili tu kuwaona wabunge majizi yaliyomo kwenye syndicate.
 
Mpina amefanya homework yake vizuri

Hakika. Ameifanya kikamilifu sana. Ndiyo maana wabunge wote waliokuwa wakitetea ufisadi wa Bashe, hakuna hata mmoja aliyeweza kupinga hoja ya Mpina kwa vielelezo. Wala hakuna hata mmoja aliyeweza kutamka kuwa vielelezo vya Mpina vilikuwa na ubatili. Wote waliendelea kupiga tu kelele kama mahayawani lakini bila ya kuwa na content.
 
Bashe katangulizwa biashara ni ya mapacha wanne mkuu(JK, Rostam, Makamba na Abdul) ndiyo maana umemuona yule Spika hewa alivyokuwa mkali kama pilipili nyuma ake kuna vigogo hatari
 
Yeyote anayeamini matokeo ya kamati za lile bunge la kina Musukuma hana akili.
 
Hao vikaragosi wameona wamemkomesha sana mpina ila wakae wakijua wamemjengea heshima kubwa sana mtaaani tumeshajua ni nini bungeni kinafanyika madudu yote yanayofanyika wasimamizi ni bunge
 
Ila Bunge la Mwendazake hapana.
Tulisema lakini.
 
Hao vikaragosi wameona wamemkomesha sana mpina ila wakae wakijua wamemjengea heshima kubwa sana mtaaani tumeshajua ni nini bungeni kinafanyika madudu yote yanayofanyika wasimamizi ni bunge
Cha ajabu na Msukuma yumo.na Gwajima wanamkaanga mwenzao.
 
Ni vyema tukajua hivyo vikao kumi na tano ambavyo Mpina amesimamishwa angepata posho ya sh ngapi kama vipi wananchi wapenda haki tumchangie
 
wakati wewe hutegemei,
mwenzako anawaza kama bunge na wabunge wake wamenizodoa namna ile mpaka madudu ya alipokua waziri wa uvuvi kwamba nilitesa watu, Je CCM itamuacha kweli? na adhabu yake si itakua mara 100 zaidi ya hii ya bunge iliyomchukulia huku moyo ukimuuma sana?🀣

uongo na usushi sio kitu kizuri ndugu zangu πŸ’
 
uzushi, uongo, kiburi na jeuri inarekebishwa kwa kanuni tu. kawa mdogo kama piritoni.

kutengwa na kukataliwa na kila mtu kwenye jamii fulani panaumiza sana aise πŸ’
Mpina ni Nuru waliobaki ni Giza.
Hivi vitu haviwezi Kaa pamoja
 
Ni vyema tukajua hivyo vikao kumi na tano ambavyo Mpina amesimamishwa angepata posho ya sh ngapi kama vipi wananchi wapenda haki tumchangie
hiyo itaitwa waacheni wafu wazikane wenyewe, wazushi na waongo family πŸ’
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…