Hongera Mpina, hoja yako imeeleweka vyema kwa Wananchi Wazalendo

Hongera Mpina, hoja yako imeeleweka vyema kwa Wananchi Wazalendo

Hii nchi hatuna idara yoyote ya kulinda rasilimali za nchi. Hata hao wanaolinda mipaka yetu ni kwasababu tu hatuna threat yoyote ya kutoka nje. Linchi linaendeshwa kipumbavu haijawahi kutokea.

Kwa hoja za Mpina ilitakiwa serikali itoe majibu ya kujitosheleza na siyo kumbeza mtu aliyeonyesha kila uovu uliofanyika kwa vielelezo. Halafu leo wabunge kwa ujinga wao wanamzodoa Mpina. Hatuna usalama wa taifa tuna usalama wa viongozi walio madarakani mi naamini rais akiamua hata kuuza mkoa mmoja kwa nchi yoyote inayotaka naamini hatakutana na upinzani wowote wananchi watahamishwa na haohao usalama wa taifa na watakaoleta kiburi watauawa kimyakimya.
Hawa usalama wa taifa hawafanyi majukumu yao ipasavyo
 
Kilichotokea kwa Mpina Bungeni, ni kile kilichotarajiwa. Na wala hakuna anayeyashangaa maamuzi ya Bunge, zao la uovu wa 2020.

Bunge ambalo nalo ni matunda uovu na uchafu wa mwaka 2020, limeendelea kudumu katika kanuni ya upatikanaji wake. Ni Bunge la waovu:

1) Mahakama kuu ilitoa hukumu kuwa wabunge wanaoitwa wa kupita bila kupingwa, ni wabunge batili. Na hao ndio waliojaa humo Bungeni.

2) Hili Bunge ndiyo lililoidhinisha ile IGA ya hovyo kabisa iliyopokonya mamlaka ya nchi juu ya rasilimali zake. Kama nchi tunazuiwa na IGA kumtafuta mwekezaji mwingine kwenye masuala ya bandari iwe kwenye mito, maziwa au bahari, mpaka tumtaarifu DPW, na yeye aridhie. Hili ni bunge lililopofushwa na malipo ya DP World. Mbunge aliyekuwa nje ya inner circle anasema walipelekwa Dubai, na wakiwa huko walikuwa wakipewa pesa na DPW.

3) Hata kwenye mjadala wa leo, wabunge hao walikuwa wanapiga kelele badala ya kujibu hoja za Mpina. Wote kelele zao zimebakia kwenye kusema Mpina amedharau Bunge, amemdharau Speaker na Serikali, lakini hawakuijibu hata hoja moja ya Mpina.

4) Hili ndiyo bunge ambalo halijawahi kuchukua hatua zozote dhidi ya ufisadi unaoripotiwa na CAG kila mwaka.

Kwani ni nini cha kushangaza? Hivi kweli unatarajia mwovu aupige vita uovu? Tumeona mshikamano wa waovu. Laiti watu wema nasi tungekuwa na mshikamano kama walio nao waovu, nchi hii tungeweza kuikomboa kutoka kwenye mikono michafu.

KWA MPINA
Usisikitike wala kukata tamaa, bali ufarijike kwa kuwa umeunena ukweli utakaobakia kwenye kumbukumbu, na wananchi wote wenye uelewa na wanaolipenda Taifa lao wamekuelewa.

Haikutarajiwa watu waliofanya ufisadi kupitia sukari eti wangekuja hadharani na kusema kuwa kweli sisi ni mafisadi, kupitia huu uchafu wa mikataba ya sukari, tumetengeneza mapato yasiyo halali bilioni 36.

Kilichofanyika kwa sasa ni kuthibitisha tu kuwa uchafu uliofanyika kwenye mikataba ya kuleta sukari, haukuwa wa Bashe pekee, yumkini Bashe alikuwa mtekelezaji tu.

Huu ni uchafu sawa na ule wa EPA, Escrow na Kagoda, na ule ufisadi unaofanywa kila mwaka na kuthibitishwa na reports za CAG. Waovu wapo kwaajili ya kulinda uovu. Ni jukumu la watu wema kulikomboa Taifa lao.

MUNGU IBARIKI TANZANIA NA LAANA IKAWE JUU YA WEVI WOTE WANAOJINEEMESHA KWA MAPATO BATILI.

PIA SOMA
- News Alert: - Bunge lajadili juu ya adhabu ya Mbunge Luhaga Mpina. Laamua kumfungia vikao 15

- Spika Tulia amburuza Luhaga Mpina Kamati ya Maadili

- Luhanga Mpina apewa siku 10 na Spika kuleta ushahidi wa Bashe kulidanganya Bunge

- Luhaga Mpina: Usambazaji wa sukari haukuwa ukifanywa na mfanyabiashara mmoja wa Mwanza pekee, Waziri Bashe alidanganya

- Luhaga Mpina amshukia Waziri Bashe, adai amelidanganya Bunge, awataja Magufuli, Rais Samia
Hili ndilo Bunge lililomtekeleza Ndugai Kwa kusema Ukweli kwamba Kwa mikopo hii ya mama Nchi ITAPIGWA mnada
 
Kilichotokea kwa Mpina Bungeni, ni kile kilichotarajiwa. Na wala hakuna anayeyashangaa maamuzi ya Bunge, zao la uovu wa 2020.

Bunge ambalo nalo ni matunda uovu na uchafu wa mwaka 2020, limeendelea kudumu katika kanuni ya upatikanaji wake. Ni Bunge la waovu:

1) Mahakama kuu ilitoa hukumu kuwa wabunge wanaoitwa wa kupita bila kupingwa, ni wabunge batili. Na hao ndio waliojaa humo Bungeni.

2) Hili Bunge ndiyo lililoidhinisha ile IGA ya hovyo kabisa iliyopokonya mamlaka ya nchi juu ya rasilimali zake. Kama nchi tunazuiwa na IGA kumtafuta mwekezaji mwingine kwenye masuala ya bandari iwe kwenye mito, maziwa au bahari, mpaka tumtaarifu DPW, na yeye aridhie. Hili ni bunge lililopofushwa na malipo ya DP World. Mbunge aliyekuwa nje ya inner circle anasema walipelekwa Dubai, na wakiwa huko walikuwa wakipewa pesa na DPW.

3) Hata kwenye mjadala wa leo, wabunge hao walikuwa wanapiga kelele badala ya kujibu hoja za Mpina. Wote kelele zao zimebakia kwenye kusema Mpina amedharau Bunge, amemdharau Speaker na Serikali, lakini hawakuijibu hata hoja moja ya Mpina.

4) Hili ndiyo bunge ambalo halijawahi kuchukua hatua zozote dhidi ya ufisadi unaoripotiwa na CAG kila mwaka.

Kwani ni nini cha kushangaza? Hivi kweli unatarajia mwovu aupige vita uovu? Tumeona mshikamano wa waovu. Laiti watu wema nasi tungekuwa na mshikamano kama walio nao waovu, nchi hii tungeweza kuikomboa kutoka kwenye mikono michafu.

KWA MPINA
Usisikitike wala kukata tamaa, bali ufarijike kwa kuwa umeunena ukweli utakaobakia kwenye kumbukumbu, na wananchi wote wenye uelewa na wanaolipenda Taifa lao wamekuelewa.

Haikutarajiwa watu waliofanya ufisadi kupitia sukari eti wangekuja hadharani na kusema kuwa kweli sisi ni mafisadi, kupitia huu uchafu wa mikataba ya sukari, tumetengeneza mapato yasiyo halali bilioni 36.

Kilichofanyika kwa sasa ni kuthibitisha tu kuwa uchafu uliofanyika kwenye mikataba ya kuleta sukari, haukuwa wa Bashe pekee, yumkini Bashe alikuwa mtekelezaji tu.

Huu ni uchafu sawa na ule wa EPA, Escrow na Kagoda, na ule ufisadi unaofanywa kila mwaka na kuthibitishwa na reports za CAG. Waovu wapo kwaajili ya kulinda uovu. Ni jukumu la watu wema kulikomboa Taifa lao.

MUNGU IBARIKI TANZANIA NA LAANA IKAWE JUU YA WEVI WOTE WANAOJINEEMESHA KWA MAPATO BATILI.

PIA SOMA
- News Alert: - Bunge lajadili juu ya adhabu ya Mbunge Luhaga Mpina. Laamua kumfungia vikao 15

- Spika Tulia amburuza Luhaga Mpina Kamati ya Maadili

- Luhanga Mpina apewa siku 10 na Spika kuleta ushahidi wa Bashe kulidanganya Bunge

- Luhaga Mpina: Usambazaji wa sukari haukuwa ukifanywa na mfanyabiashara mmoja wa Mwanza pekee, Waziri Bashe alidanganya

- Luhaga Mpina amshukia Waziri Bashe, adai amelidanganya Bunge, awataja Magufuli, Rais Samia
Mpina ni sawa na wabunge wote wa ccm,anaibua hoja wenzake kazi ni kutuletea kodi na spika wao mjusi
 
Kilichotokea kwa Mpina Bungeni, ni kile kilichotarajiwa. Na wala hakuna anayeyashangaa maamuzi ya Bunge, zao la uovu wa 2020.

Bunge ambalo nalo ni matunda uovu na uchafu wa mwaka 2020, limeendelea kudumu katika kanuni ya upatikanaji wake. Ni Bunge la waovu:

1) Mahakama kuu ilitoa hukumu kuwa wabunge wanaoitwa wa kupita bila kupingwa, ni wabunge batili. Na hao ndio waliojaa humo Bungeni.

2) Hili Bunge ndiyo lililoidhinisha ile IGA ya hovyo kabisa iliyopokonya mamlaka ya nchi juu ya rasilimali zake. Kama nchi tunazuiwa na IGA kumtafuta mwekezaji mwingine kwenye masuala ya bandari iwe kwenye mito, maziwa au bahari, mpaka tumtaarifu DPW, na yeye aridhie. Hili ni bunge lililopofushwa na malipo ya DP World. Mbunge aliyekuwa nje ya inner circle anasema walipelekwa Dubai, na wakiwa huko walikuwa wakipewa pesa na DPW.

3) Hata kwenye mjadala wa leo, wabunge hao walikuwa wanapiga kelele badala ya kujibu hoja za Mpina. Wote kelele zao zimebakia kwenye kusema Mpina amedharau Bunge, amemdharau Speaker na Serikali, lakini hawakuijibu hata hoja moja ya Mpina.

4) Hili ndiyo bunge ambalo halijawahi kuchukua hatua zozote dhidi ya ufisadi unaoripotiwa na CAG kila mwaka.

Kwani ni nini cha kushangaza? Hivi kweli unatarajia mwovu aupige vita uovu? Tumeona mshikamano wa waovu. Laiti watu wema nasi tungekuwa na mshikamano kama walio nao waovu, nchi hii tungeweza kuikomboa kutoka kwenye mikono michafu.

KWA MPINA
Usisikitike wala kukata tamaa, bali ufarijike kwa kuwa umeunena ukweli utakaobakia kwenye kumbukumbu, na wananchi wote wenye uelewa na wanaolipenda Taifa lao wamekuelewa.

Haikutarajiwa watu waliofanya ufisadi kupitia sukari eti wangekuja hadharani na kusema kuwa kweli sisi ni mafisadi, kupitia huu uchafu wa mikataba ya sukari, tumetengeneza mapato yasiyo halali bilioni 36.

Kilichofanyika kwa sasa ni kuthibitisha tu kuwa uchafu uliofanyika kwenye mikataba ya kuleta sukari, haukuwa wa Bashe pekee, yumkini Bashe alikuwa mtekelezaji tu.

Huu ni uchafu sawa na ule wa EPA, Escrow na Kagoda, na ule ufisadi unaofanywa kila mwaka na kuthibitishwa na reports za CAG. Waovu wapo kwaajili ya kulinda uovu. Ni jukumu la watu wema kulikomboa Taifa lao.

MUNGU IBARIKI TANZANIA NA LAANA IKAWE JUU YA WEVI WOTE WANAOJINEEMESHA KWA MAPATO BATILI.

PIA SOMA
- News Alert: - Bunge lajadili juu ya adhabu ya Mbunge Luhaga Mpina. Laamua kumfungia vikao 15

- Spika Tulia amburuza Luhaga Mpina Kamati ya Maadili

- Luhanga Mpina apewa siku 10 na Spika kuleta ushahidi wa Bashe kulidanganya Bunge

- Luhaga Mpina: Usambazaji wa sukari haukuwa ukifanywa na mfanyabiashara mmoja wa Mwanza pekee, Waziri Bashe alidanganya

- Luhaga Mpina amshukia Waziri Bashe, adai amelidanganya Bunge, awataja Magufuli, Rais Samia
Ili suala Ni Dogo Kwa sasa lakini Ni kubwa muda utakapofikiwa. Pole Yao Wabunge waliochangia Na kushiriki Katika hija ya Mpina kwakuwa laana ya watu wema haitowaacha salaama sasa Hadi vijukuu vyao.
Na iwe ivyo Kwa uwezo Wa Bwana Wa mabwana
 
Ngoja tuone hawa wahuni 2025 watafanyaje kupenya uchaguzi. Haya mabadiliko ya March 2021 ni sawa na mapinduzi yaliyowaingiza wahuni kushika dola. Kwa hivyo watanzania wanawajibika 2025 kua kitu kimoja kurejesha uongozi wa nchi mikononi mwa wazalendo wenye vision sahihi na kupenda haki na usawa kwa raia.
 
Tumemsikia na tumemuelewa,

sasa CCM wenzie baada ya kupambana na hoja zake wanapambana na yeye + person life yake.
 
Mpina ni mpumbavu, hana hoja yoyote
Nyani haoni naniliu yake. Ni rahisi sana kwa mtu mpumbavu kumwita mtu mwerevu kuwa ni mpumbavu kutokana na hulka yake kipumbavu.
 
Nyani haoni naniliu yake. Ni rahisi sana kwa mtu mpumbavu kumwita mtu mwerevu kuwa ni mpumbavu kutokana na hulka yake kipumbavu.
Mpina ni popoma wa taifa, na jana amelaaniwa rasmi na Bunge
 
Kilichotokea kwa Mpina Bungeni, ni kile kilichotarajiwa. Na wala hakuna anayeyashangaa maamuzi ya Bunge, zao la uovu wa 2020.

Bunge ambalo nalo ni matunda uovu na uchafu wa mwaka 2020, limeendelea kudumu katika kanuni ya upatikanaji wake. Ni Bunge la waovu:

1) Mahakama kuu ilitoa hukumu kuwa wabunge wanaoitwa wa kupita bila kupingwa, ni wabunge batili. Na hao ndio waliojaa humo Bungeni.

2) Hili Bunge ndiyo lililoidhinisha ile IGA ya hovyo kabisa iliyopokonya mamlaka ya nchi juu ya rasilimali zake. Kama nchi tunazuiwa na IGA kumtafuta mwekezaji mwingine kwenye masuala ya bandari iwe kwenye mito, maziwa au bahari, mpaka tumtaarifu DPW, na yeye aridhie. Hili ni bunge lililopofushwa na malipo ya DP World. Mbunge aliyekuwa nje ya inner circle anasema walipelekwa Dubai, na wakiwa huko walikuwa wakipewa pesa na DPW.

3) Hata kwenye mjadala wa leo, wabunge hao walikuwa wanapiga kelele badala ya kujibu hoja za Mpina. Wote kelele zao zimebakia kwenye kusema Mpina amedharau Bunge, amemdharau Speaker na Serikali, lakini hawakuijibu hata hoja moja ya Mpina.

4) Hili ndiyo bunge ambalo halijawahi kuchukua hatua zozote dhidi ya ufisadi unaoripotiwa na CAG kila mwaka.

Kwani ni nini cha kushangaza? Hivi kweli unatarajia mwovu aupige vita uovu? Tumeona mshikamano wa waovu. Laiti watu wema nasi tungekuwa na mshikamano kama walio nao waovu, nchi hii tungeweza kuikomboa kutoka kwenye mikono michafu.

KWA MPINA
Usisikitike wala kukata tamaa, bali ufarijike kwa kuwa umeunena ukweli utakaobakia kwenye kumbukumbu, na wananchi wote wenye uelewa na wanaolipenda Taifa lao wamekuelewa.

Haikutarajiwa watu waliofanya ufisadi kupitia sukari eti wangekuja hadharani na kusema kuwa kweli sisi ni mafisadi, kupitia huu uchafu wa mikataba ya sukari, tumetengeneza mapato yasiyo halali bilioni 36.

Kilichofanyika kwa sasa ni kuthibitisha tu kuwa uchafu uliofanyika kwenye mikataba ya kuleta sukari, haukuwa wa Bashe pekee, yumkini Bashe alikuwa mtekelezaji tu.

Huu ni uchafu sawa na ule wa EPA, Escrow na Kagoda, na ule ufisadi unaofanywa kila mwaka na kuthibitishwa na reports za CAG. Waovu wapo kwaajili ya kulinda uovu. Ni jukumu la watu wema kulikomboa Taifa lao.

MUNGU IBARIKI TANZANIA NA LAANA IKAWE JUU YA WEVI WOTE WANAOJINEEMESHA KWA MAPATO BATILI.

PIA SOMA
- News Alert: - Bunge lajadili juu ya adhabu ya Mbunge Luhaga Mpina. Laamua kumfungia vikao 15

- Spika Tulia amburuza Luhaga Mpina Kamati ya Maadili

- Luhanga Mpina apewa siku 10 na Spika kuleta ushahidi wa Bashe kulidanganya Bunge

- Luhaga Mpina: Usambazaji wa sukari haukuwa ukifanywa na mfanyabiashara mmoja wa Mwanza pekee, Waziri Bashe alidanganya

- Luhaga Mpina amshukia Waziri Bashe, adai amelidanganya Bunge, awataja Magufuli, Rais Samia
Hayo yangetokea Kenya hata sijui ingekuwaje!
 
uzushi, uongo, kiburi na jeuri inarekebishwa kwa kanuni tu. kawa mdogo kama piritoni.

kutengwa na kukataliwa na kila mtu kwenye jamii fulani panaumiza sana aise 🐒
Mheshimiwa huyu atakuwa na hali ngumu sana kisiasa kwa sasa; inambidi awe mtulivu sana kipindi hiki.

Akiendeleza hizo hoja zake nje ya bunge, kifuatacho ataitwa na kamati ya maadili ya chama chake, ambako anaweza kukutana na pigo kubwa zaidi ambalo linaweza kumwathiri kwenye uchaguzi mkuu wa 2025 (kama ana nia ya kugombea tena) ambako vikao vya maamuzi ndani ya chama chake vinaweza kumtema!!

Hilo likitokea, anaweza akaamua kuhamia chama kingine cha siasa ambacho kinaweza kumpa tiketi ya kugombea ubunge wa Jimbo analoliwakilisha kupitia chama hicho mbadala; inawezekana maana ni haki yake ya kikatiba.

Hapo atapaswa kupima nguvu ya chama anachotoka na chama anakohamia kwa mustakabali wa maisha yake ya kisiasa. Awakumbuke waliowahi kuchukua hatua kama hiyo na hatma yao kisiasa ilikuwaje.

Pole Mheshimiwa; wewe siyo wa kwanza kukutwa na masaibu ya kuadhibiwa kwa kuzuwiwa kuhudhuria vikao vya bunge; wengi walishatumikia adhabu hiyo kwa nyakati tofauti na kwa viwango tofauti wakiwemo akina Mbilinyi, Mdee, Askofu Gwajima, Bulaya na wengineo.

Vuta subira Mheshimiwa; kuwa mtulivu na mstahimilivu, hili nalo litapita; ni ajali tu ya kisiasa.

Kama wapo; narudia, kama wapo wanaokuchagiza kupambana na kushindana na mamlaka, usiwasikilize.

Matokeo ya mapambano na mashindano hayo wewe ndiye utakayeumia, maana wewe umeshika makali na upande wa pili umeshika mpini.

Wewe ni mbunge kijana na msomi; jamii yako bado inakutegemea kuiwakilisha Usikilize moyo wako unachokuambia; Mungu akusaidie.
 
Kilichotokea kwa Mpina Bungeni, ni kile kilichotarajiwa. Na wala hakuna anayeyashangaa maamuzi ya Bunge, zao la uovu wa 2020.

Bunge ambalo nalo ni matunda uovu na uchafu wa mwaka 2020, limeendelea kudumu katika kanuni ya upatikanaji wake. Ni Bunge la waovu:

1) Mahakama kuu ilitoa hukumu kuwa wabunge wanaoitwa wa kupita bila kupingwa, ni wabunge batili. Na hao ndio waliojaa humo Bungeni.

2) Hili Bunge ndiyo lililoidhinisha ile IGA ya hovyo kabisa iliyopokonya mamlaka ya nchi juu ya rasilimali zake. Kama nchi tunazuiwa na IGA kumtafuta mwekezaji mwingine kwenye masuala ya bandari iwe kwenye mito, maziwa au bahari, mpaka tumtaarifu DPW, na yeye aridhie. Hili ni bunge lililopofushwa na malipo ya DP World. Mbunge aliyekuwa nje ya inner circle anasema walipelekwa Dubai, na wakiwa huko walikuwa wakipewa pesa na DPW.

3) Hata kwenye mjadala wa leo, wabunge hao walikuwa wanapiga kelele badala ya kujibu hoja za Mpina. Wote kelele zao zimebakia kwenye kusema Mpina amedharau Bunge, amemdharau Speaker na Serikali, lakini hawakuijibu hata hoja moja ya Mpina.

4) Hili ndiyo bunge ambalo halijawahi kuchukua hatua zozote dhidi ya ufisadi unaoripotiwa na CAG kila mwaka.

Kwani ni nini cha kushangaza? Hivi kweli unatarajia mwovu aupige vita uovu? Tumeona mshikamano wa waovu. Laiti watu wema nasi tungekuwa na mshikamano kama walio nao waovu, nchi hii tungeweza kuikomboa kutoka kwenye mikono michafu.

KWA MPINA
Usisikitike wala kukata tamaa, bali ufarijike kwa kuwa umeunena ukweli utakaobakia kwenye kumbukumbu, na wananchi wote wenye uelewa na wanaolipenda Taifa lao wamekuelewa.

Haikutarajiwa watu waliofanya ufisadi kupitia sukari eti wangekuja hadharani na kusema kuwa kweli sisi ni mafisadi, kupitia huu uchafu wa mikataba ya sukari, tumetengeneza mapato yasiyo halali bilioni 36.

Kilichofanyika kwa sasa ni kuthibitisha tu kuwa uchafu uliofanyika kwenye mikataba ya kuleta sukari, haukuwa wa Bashe pekee, yumkini Bashe alikuwa mtekelezaji tu.

Huu ni uchafu sawa na ule wa EPA, Escrow na Kagoda, na ule ufisadi unaofanywa kila mwaka na kuthibitishwa na reports za CAG. Waovu wapo kwaajili ya kulinda uovu. Ni jukumu la watu wema kulikomboa Taifa lao.

MUNGU IBARIKI TANZANIA NA LAANA IKAWE JUU YA WEVI WOTE WANAOJINEEMESHA KWA MAPATO BATILI.

PIA SOMA
- News Alert: - Bunge lajadili juu ya adhabu ya Mbunge Luhaga Mpina. Laamua kumfungia vikao 15

- Spika Tulia amburuza Luhaga Mpina Kamati ya Maadili

- Luhanga Mpina apewa siku 10 na Spika kuleta ushahidi wa Bashe kulidanganya Bunge

- Luhaga Mpina: Usambazaji wa sukari haukuwa ukifanywa na mfanyabiashara mmoja wa Mwanza pekee, Waziri Bashe alidanganya

- Luhaga Mpina amshukia Waziri Bashe, adai amelidanganya Bunge, awataja Magufuli, Rais Samia
Naunga mkono hoja
 
wakati wewe hutegemei,
mwenzako anawaza kama bunge na wabunge wake wamenizodoa namna ile mpaka madudu ya alipokua waziri wa uvuvi kwamba nilitesa watu, Je CCM itamuacha kweli? na adhabu yake si itakua mara 100 zaidi ya hii ya bunge iliyomchukulia huku moyo ukimuuma sana?[emoji1787]

uongo na usushi sio kitu kizuri ndugu zangu [emoji205]

Wewe endelea kusimama na majizi. Who knows, mostly likely you are a leftovers beneficiary of their satanic deeds..
 
Back
Top Bottom