Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kombe la looser ambalo almanusa uchome uwanja kwa ajili ya mambo ya ulonzi na bado ukatolewaKwa timu inayoshiriki kombe la losers simba akajifunze nini? Kama ni mwanaume kilichomtoa klabu bingwa hadi kwa ma loser wenzake ni nini? Simba iheshimiwe.
Tangu 1998 hadi leo hata makundi klabu bingwa hajawahi kufika halafu simba ajifunze kwake ? Simba atajifunza kwa Wydad , aly ahly , Mamelodi Esprens lakini siyo kwa timu za kombe la losers.
Yaani Form six akajifunze kwa std seven ? Huo ni udharirishaji
Waliofeli wewe uko wapi kwa sasa hivi unapigania kombe lipiUkweli unauma eehei? Hilo ni kombe la waliofeli hata ikuume namna gani ukweli utasemwa tu.
Ni kombe la Kuzomewa Mtwara hadi Dsm,kenge wewe!Ukweli unauma eehei? Hilo ni kombe la waliofeli hata ikuume namna gani ukweli utasemwa tu.
Ni kama tu makolo wanavodhihirisha umbumbumbu wao Kwa kutumia neno looser badala ya loser..R na L ni janga la kitaifa
Mtu kama wewe ni hasara kwa Taifa imagine Manara ndio reference yako wewe na mavi ya kuku hamna tofautiHilo ni kombe la losers, kombe la waliofeli. Mnataka kulipa ukuuuuuuubwa ambao halistahili. Huo ndiyo ukweli . Kama ulikuwa hujui hilo kamuulize Manara atakwambia ukweli wa hilo jambo
Wakati simba inaanza kuliheshimisha soka la tz ulishawahi kuwapongeza?Wewe ndio shabiki wa SOKA…!!! Achana na wapuuzi wengine…!!! Tumepokea hizo hongera bro…!!
Chutuma mwana lunyasi mwenzanguIlicheza na OLANDO sio timu inayojipapatua kushuka Daraja.
Simba tumetolewa na Azam kombe gani?????Mimi ni gempongeza Ya ga kama Angekuwa Club BINGWA CAFCL.
ANACHEZA NA WANAUME AKINA .
RAJA CASABLANCA.
WYDAD CASABLANCA.
ALHALY.
ZAMALECK.
MAMELOD.
KAIZER CHEEF.
OLANDO PAIRATES.
Hakika Hilo ni kombe la looser Na Mwaka una ma looser kibao.
Timu ya kushuka Daraja PSL IMETUSUMBUA sana Jana.
Mwenye akili afikiri.
Kisha.....abari/habari, atari/hatari, atuna/hatuna n.kTeh.....alafu/halafu, aya/haya, asubui/asubuhi