Inategemea unaangalia katika angle ipi. Kama unaangalia kwa issue ya maslahi, ni kuwa ameshuka. Ila kama unazungumzia mamlaka na hadhi/heshima basi amepanda. Kumbuka DC ni Mkuu wa Wilaya. Ni Mkuu wa Taasisi na Sekta zote zilizopo Wilayani kwake. Ni Mwakilishi wa Rais katika Wilaya. Kamishna ni kiongozi wa kisekta tuHivi kapanda au kashuka