Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwenye maridhiano yake karidhiaWengi walikubeza walisema umelamba asali, lkn juhudi na uvumilivu wako leo umezaa matunda. Hongera sana, pongezi kwa viongozi wote wa Chadema na vyama vingine, ushindi wa leo (kuondolewa kwa zuio la mikutano) ni ushindi wa wa Tanzania wote.
View attachment 2467732
Hongera Mh. MboweWengi walikubeza walisema umelamba asali, lkn juhudi na uvumilivu wako leo umezaa matunda. Hongera sana, pongezi kwa viongozi wote wa Chadema na vyama vingine, ushindi wa leo (kuondolewa kwa zuio la mikutano) ni ushindi wa wa Tanzania wote.
View attachment 2467732
It’s a process not an event bro.Hakuna katiba mpya
Mkuu umenena vyema, tuwe na subira tuone huu mwafaka unafikia wapi, ila ccm wanatakiwa kufahamu kuwa hawana hati miliki ya nchi hii.Ni vizuri kutumia mbinu zote kudai haki.. lakini hii mbinu ya kunyenyekea ina gharama pia..kumbuka mikutano ikianza inaweza kuwakera ccm(Samia ) wakaifuta Tena..maana inaonekana mikutano Ni utashi wa Rais aliyepo madarakani..
Waliompinga mbowe hoja yao Ni kwamba..kwanini tunabembeleza kufanya Jambo la haki kikatiba..
Amin amin nakwambia, katiba mpya/iliyoboreshwa inakuja.Hakuna katiba mpya
Ni vizuri kutumia mbinu zote kudai haki.. lakini hii mbinu ya kunyenyekea ina gharama pia..kumbuka mikutano ikianza inaweza kuwakera ccm(Samia ) wakaifuta Tena..maana inaonekana mikutano Ni utashi wa Rais aliyepo madarakani..
Waliompinga mbowe hoja yao Ni kwamba..kwanini tunabembeleza kufanya Jambo la haki kikatiba..
Na gharama yake ni hii: Kutukanwa, kubezwa na kudharauliwa na ndugu zako mwenyewe...Ni vizuri kutumia mbinu zote kudai haki.. lakini hii mbinu ya kunyenyekea ina gharama pia..
Kwa mfumo wa utawala wa kikatiba na kisheria wa nchi yetu, hili linawezekana na ndiyo maana hata mwanzo (2015 - 2022) liliwezekana na kufanywa na Magufuli na Samia kuliendeleza mpaka dakika chache zilizopita....kumbuka mikutano ikianza inaweza kuwakera ccm(Samia ) wakaifuta Tena..maana inaonekana mikutano Ni utashi wa Rais aliyepo madarakani..
Usipobembeleza katika mazingira haya ya kikatiba na kisheria unadhani kuna njia nyingine? Ipi? Mapambano?Waliompinga mbowe hoja yao Ni kwamba..kwanini tunabembeleza kufanya Jambo la haki kikatiba..
Hakuna katiba mpya
Hakuna katiba mpya
Ni vizuri kutumia mbinu zote kudai haki.. lakini hii mbinu ya kunyenyekea ina gharama pia..kumbuka mikutano ikianza inaweza kuwakera ccm(Samia ) wakaifuta Tena..maana inaonekana mikutano Ni utashi wa Rais aliyepo madarakani..
Waliompinga mbowe hoja yao Ni kwamba..kwanini tunabembeleza kufanya Jambo la haki kikatiba..