Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbowe kusema kweli ni mtu wa kipekee kabisa;
Ameumizwa sana lakini hajawahi kuhimiza ubaya.
Amesingiziwa mengi lakini yeye hakuwahi kumsingizia yoyote.
Amenyanyaswa sana na kudhalilishwa lakini yuko kimya tu.
Huyu ni mzalendo na mpenda nchi yake kuwa na ustawi kwa faida ya wote na sio wachache.
Bravo Kamanda Mbowe
It’s a process not an event bro.
“Katiba ni ya Watanzania siyo ya vyama vya siasa. Nataka kuwapa faraja kwamba mda si mrefu tutaanza.
Kamati itakayoundwa kwa ajili ya Katiba itaundwa na watu wa aina mbalimbali, itafanya kazi zake kwa maelekezo tutakayowapa, tutawapangia vizuri lakini siyo ile ya vuguvugu”. Rais SSH.
Mabadiliko au Uhuru wa kweli auletwi kwa njia ya kubembelezana kama alicho fanya Nyerere na sasa anacho fanya Samia hakuna kipya Tanzania tutapata tukiendeleza mtindo huu wa kunyenyekea na kubembeleza watawala .
Ni vizuri kutumia mbinu zote kudai haki.. lakini hii mbinu ya kunyenyekea ina gharama pia..kumbuka mikutano ikianza inaweza kuwakera ccm(Samia ) wakaifuta Tena..maana inaonekana mikutano Ni utashi wa Rais aliyepo madarakani..
Waliompinga mbowe hoja yao Ni kwamba..kwanini tunabembeleza kufanya Jambo la haki kikatiba..
yes hakuna tunabakia na hii one of the best katiba
Muasisi wa Maridhiano ni mh Rais Samia
Wananchi kwa asilimia kubwa hawapo tayari kugharamia uhuru wa kweli, bali wana taka uhuru wa kweli kwa njia isiyo leta uhuru wa kweli hapo ni sawa na kutwanga maji kwenye kinu.Ndugu yangu tufanyeje?. CHADEMA walitangaza UKUTA JWTZ na Polisi wakaingia mitaani kufanya mazoezi na kitishia watu. CHADEMA haipambani na CCM inapamaban na dola lazima uelewe.
The worst katiba on Earth . Katiba isiyokuwa na nguvu dhidi ya sheria za bunge.
Sasa unamwambia nani? Wenzako wameona watumie hiyo approach kama ilivyokuwa kwa South Africa na hata Tanzania wakati zikipigania uhuru wao. Kama unaona njia hii haifai, una uhuru wa kuja na njia zako unazoona zinafaa na uzisimamie front kabisa na si kujificha nyuma ya keyboard na kutaka wenzako wafanye kwa niaba yako.Mabadiliko au Uhuru wa kweli auletwi kwa njia ya kubembelezana kama alicho fanya Nyerere na sasa anacho fanya Samia hakuna kipya Tanzania tutapata tukiendeleza mtindo huu wa kunyenyekea na kubembeleza watawala .
Wahuni wamerudi jikoni haha
SawaSasa unamwambia nani? Wenzako wameona watumie hiyo approach kama ilivyokuwa kwa South Africa na hata Tanzania wakati zikipigania uhuru wao. Kama unaona njia hii haifai, una uhuru wa kuja na njia zako unazoona zinafaa na uzisimamie front kabisa na si kujificha nyuma ya keyboard na kutaka wenzako wafanye kwa niaba yako.
Rais kutoa zuio haram la mikutano ya hadhara.Wameridhiana kitu gani?
Yeye ni nani hadi awe na mamlaka ya kitu kilichomo kwenye katiba?Rais kutoa zuio haram la mikutano ya hadhara.
Sukuma Gang mnaumia sana rudini kwenu Burundi mkachinjane huko,sisi tunataka amaniYeye ni nani hadi awe na mamlaka ya kitu kilichomo kwenye katiba?
Kitoa tamko lingine la zuio mnaanza kutafuta tena maridhiano?