Hongera Mwamba Freeman Mbowe Mwasisi wa Maridhiano


Historia itamkumbuka
 

Kaongea vizuri Sana.
 
Mabadiliko au Uhuru wa kweli auletwi kwa njia ya kubembelezana kama alicho fanya Nyerere na sasa anacho fanya Samia hakuna kipya Tanzania tutapata tukiendeleza mtindo huu wa kunyenyekea na kubembeleza watawala .

Ndugu yangu tufanyeje?. CHADEMA walitangaza UKUTA JWTZ na Polisi wakaingia mitaani kufanya mazoezi na kitishia watu. CHADEMA haipambani na CCM inapamaban na dola lazima uelewe.
 

Usisahau UKUTA aliitisha Mbowe, JWTZ na Polisi wakaingia mitaani kufanya mazoezi. Tujifunze yaliyotokea Zanzibar, uchaguzi ulifutwa jeshi likaingia na vifaru, Maalim angefanya?. Tatizo tunakosoa tumelala vitandani wakati akina Mbowe wanalala magreza miezi Saba.

Halafu, ni Rais samiah ndio kamwita Mbowe ikulu siku ya kwanza na Hapo ndipo majadiliano yalipoanza.
 
Ndugu yangu tufanyeje?. CHADEMA walitangaza UKUTA JWTZ na Polisi wakaingia mitaani kufanya mazoezi na kitishia watu. CHADEMA haipambani na CCM inapamaban na dola lazima uelewe.
Wananchi kwa asilimia kubwa hawapo tayari kugharamia uhuru wa kweli, bali wana taka uhuru wa kweli kwa njia isiyo leta uhuru wa kweli hapo ni sawa na kutwanga maji kwenye kinu.

Kupambana na dola lazima nguvu itumike hatuwezi kuishinda dola kwa maridhiano ambayo hayaitikisi dola bila kupigana dhidi ya dola kamwe hatuwezi kuishinda dola hii ni sheria dunia kote lazima ifuatwe.
 
Mabadiliko au Uhuru wa kweli auletwi kwa njia ya kubembelezana kama alicho fanya Nyerere na sasa anacho fanya Samia hakuna kipya Tanzania tutapata tukiendeleza mtindo huu wa kunyenyekea na kubembeleza watawala .
Sasa unamwambia nani? Wenzako wameona watumie hiyo approach kama ilivyokuwa kwa South Africa na hata Tanzania wakati zikipigania uhuru wao. Kama unaona njia hii haifai, una uhuru wa kuja na njia zako unazoona zinafaa na uzisimamie front kabisa na si kujificha nyuma ya keyboard na kutaka wenzako wafanye kwa niaba yako.
 
Sawa
 
Ndio maana Lema alikuwa kimya, inawezekana alishapenyezewa nyepesi..
 
Rais kutoa zuio haram la mikutano ya hadhara.
Yeye ni nani hadi awe na mamlaka ya kitu kilichomo kwenye katiba?

Kitoa tamko lingine la zuio mnaanza kutafuta tena maridhiano?
 
Yeye ni nani hadi awe na mamlaka ya kitu kilichomo kwenye katiba?

Kitoa tamko lingine la zuio mnaanza kutafuta tena maridhiano?
Sukuma Gang mnaumia sana rudini kwenu Burundi mkachinjane huko,sisi tunataka amani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…