Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Majita, wakati mwingine asiyejua maana haambiwi maana; kwa vile mtu anajua hiki anadhani pia anajua kile basi wengine tunakaa pembeni kusubiri apewe elimu. Sasa mtu atakuwa na ujasiri wa kuomba radhi au kukubali kusahihishwa. I don't think so.
Bulga bwana ilikuwa na utamu wake wa pekee!
Elimu haina Mwisho. Education's purpose is to replace an empty mind with an open one!
Congrats SY!!
Safi sana. Nami nitajitahidi nikale kitabu cha PhD. I dislike honorary PhDsssssssss za akina Nchimbi, Nagu, Lwakatare na wengine!!! Mwishowe I am aiming to be a really Professor. Niko half way!!!!!!
Una uhakika na ushahidi unao kuwa hana? Kwanza unamjua huyu mtu anayejiita Mwanakijiji?