Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nadhani hukumuelewa jamaaNani kakudanganya ludi shule kasome vizuri civics Ama mihimili mitatu ya nchi
Huku ndan kwa ndan kunafukuta kuliko uzaniavo....
Kuna uchawa kuliko unavodhani
Huku ndan watoto wa masikin ndo wanaonewa Zaid udhaniavo....
Jibu la swali la WHY? Limepatikana.Muu,sijasema usimtoe nimesema hao sio MADC ambao unawatoa tu.Spy Master Akizingu unampa kitu kizito kama Vladmir Puttin kwa yule boss wa Wagner.ILA hakikisha amezingua kweli sio Kakataa ujinga wako then useme itakuwa Rahisi kwako kumuondoa....
Hawa wazee wana mizizi mirefu, si rahisi kuwa compromised. Ametumikia Taifa toka mwaka 77 hivyo hao akina JK ni saizi yake hawezi kuyumbishwa kirahisi. Kwa hisia zangu lakini ...Huyo mzee Ni mtu wa Kikwete. Usitarajie jipya! Maumivu zaidi!
Hakuna wa kumtoa.Hivi ni lazma Samia awe Rais? Mbona Abudu Jumbe alitolewa
Conspiracy theories..KJ kazi yake kuweka watu wakumlindia maslahi,
Who started and who will end ☠️Moyo wa nchi unapitia magumu mengi. Idara haijawahi kufanyiwa mabadiliko ya kiwango hiki. Tumuombee mzee Siwa airudishe nchi kwenye mstari. Hawa wazee wanaweza kumsaidia mama, let's hope tunaweza kuanza kuona mabadiliko
Shida wameajiri tu vijana wengi ambao baba zao ni wenyeviti wa CCM wilaya na mikoa. Ikitaka Hadi majina nitakupa.Ukionesha kwenda kinyume na matakwa ya mteuaji unawekwa kando hata uwe nani na hakuna utakachofanya na u spy master wako.
Wangapi wamewekwa pembeni hao wakurugenzi wakuu na hawafurukuti kwa lolote?
Huwa mnajidanganya sana kudhani hiyo idara ina nguvu kiasi hicho.
Idara yenyewe inapokea maagizo hata kutoka kwa mwenyekiti wa uvccm halafu ulinganishe na nguvu ya mkuu wa nchi?
Kwa waliongelewa kwenye hiyo post, kwa akili zako fupi na chache, unahisi simba atakuwa nani!?What if hii post Ni Mzee Sila mwenyewe kaandika.
Jf sijui wengine mnaichukuliaje.
Samia na Islamic State under DPW.Acha usakala...
Udini gani alionao mh.Rais SSH....kweli msiyemjua mnajambeeerjambeeeer tu maneno koko yasiyoko.... kalaghabaho
Huyo mzee Ni mtu wa Kikwete. Usitarajie jipya! Maumivu zaidi!
Watu wanajiona kana kwamba wamo kwenye filamu za James Bond kama 'CHARACTERS'!Ko mkuu mtu kateuliwa, halafu hafanyi vizuri tumuache? Akizingua hata huyu atolewe tu, hakuna mtu mkubwa kuliko taifa kwamba una chance hata ukizingua tusikutoe kisa ni spy master
Huyo mama hamna kitu. Alishashindwa kila mtu analijua hiloSikilizia milio inayokuja hivi karibuni....
Sikilizia...utamjua kuwa mh.Rais SSH si mtu wa mchezomchezo....
Nyie machawa hamna tofauti na malaya, huwa mkiona tonge tu akili zote makalioniPresidential decree....
Mama anafanya vile anavyoona inapaswa....
Mama ana "sources" nyingi za info zaidi ya hao anaowateua.....
Kubwa zaidi ni usalama wa rais wetu kipenzi na kubwa zaidi ni muendelezo wa utulivu wa taifa hili bora barani afrika [emoji120]
#Mwenyezi Mungu umlinde Rais wetu kipenzi SSH ,amen [emoji120]
#SiempreJMT amen[emoji120]
Shida wameajiri tu vijana wengi ambao baba zao ni wenyeviti wa CCM wilaya na mikoa. Ikitaka Hadi majina nitakupa.
Wakati wa mkutano wa Human Capital kwenye sehemu walizo lala maraisi wageni vilimwagwa vitoto ambavyo ukiviangalia unabaki kusikitika. Hii idara hamna kitu imeshakwisha. Tanzania tumeumia
Ni sahihi hakuna mtu mkubwa kuliko taifa. Ni imani yangu ya dhati kwamba huelewe sababu ya alitenguliwa kutenguliwa. Kwa hiyo usishangae huenda katenguliwa kwa sababu aliweka mbele maslahi ya taifa!!Ko mkuu mtu kateuliwa, halafu hafanyi vizuri tumuache? Akizingua hata huyu atolewe tu, hakuna mtu mkubwa kuliko taifa kwamba una chance hata ukizingua tusikutoe kisa ni spy master