Hongera ndugu zetu Waislamu. Wakristo tujifunze kwa hili kutoka kwa ndugu zetu

Kumbe usisali jpili...wala usisherehekee krismas...lakini hata pasaka yenyewe...na hata calendar walioweka ni wakatoliki hawa hawa
 
Kwaresma pia ipo kwenye vitabu vya wakatoliki, kwani wamesema vitabu vyao ni biblia tuu?
 
Mnataka wakatoliki nao wachape watu wanaokula hadharani wakati wa kwaresma?
 
Kasilimu acha blah blah....
Wakristo hatuna mfungo wa pamoja, kila mtu anafunga kwa wakati wake na kwa hitaji lake. Hiyo kwa resma ni ya wakatoliki. Hamna maandiko yaliyoweka mfungo wa pasaka ni lazima
 
Hamna uhalisia ila hii dini imejaa vitisho nakulazimishana, kweny uislam mtoto akifikisha miaka kumi anatakiwa kufunga tena kwafimbo, naukila hadharan wakat wamfungo niviboko vyakwenda kwaio hawana namna jumlisha namafundisho yao ukifa unanza kuteswa pale kaburin
 
Hamna cha ajabu hata wachawi nao hufunga ili kuongeza nguvu za kufanya mambo yao......kikubwa ni dhamira yako tokea moyoni
 
Mkuu hapo kuna haramu ipi, watoto hawapigwi viboko shuleni kisa kukosa kufanya mazoezi ya darasani, pia nakutishwa na waalimu kwamba dunia itawachapa?
 
Mafundisho ya dini ya kiislamu yanajumuisha itikadi kali na shurti, tofauti na mafundisho ya kikristo ni kama hiyari tu ya mtu kuyafuata.

Mfano hapo kwenye kufunga mkristo hata asipofanya hivyo hakuna mwenye habari nae lakini muislamu asipofunga atapigwa vita na waislamu wenzake.

Hata kwenye jamii zenye population kubwa ya wakristo muislamu anaweza kuishi kwa amani, lakini kwenye population kubwa ya waislamu lazima mkristo atabugudhiwa.

kwa kifupi waislamu hawana ustahimilivu wa kiimani, wanapenda kutumia shurti ili dini yao ifuatwe. Kwaiyo hata kama mtu hataki anaona afuate tu muongozo kulinda usalama wake
 
Mungu yupi anayepokea Funga yao ?
 
Hamna jambo jepesi duniani, wewe ulishawahi kuenda leba wakina mama wanavo jufungua ni shurt kichwa sehemu ndogo kichwa cha mtoto kikumbwa lazima apite tu
 
Taqbiriiiii....
 
Wakristo tunaanza Mfungo Jtano ya majivu ya wiki hii (hasa wakatoliki)
Ajabu muitikio wa kufunga huwa mdogo...huwa
Mkristo halisi huwa hafungi kwa kujionesha kwa watu... Kwa taarifa yako kuna wakristo hutenga siku 7 za kufunga kila mwezi ndani ya miezi 12...

Hayo mamifungo ya kwaresma na Ramadan hufanywa na wanafiki mara moja kwa mwaka...

Utakatifu hsuji kwa mifungo kama hiyo ya kinafiki.

Bila shaka na wewe u mmoja wa wanafiki
 
Ndio mwache KWENDA lodge na bar ...myige WENZENU... Sio unafunga usiku UKo na Gen z
 
Kwani wapi tuliambiwa tufunge kipindi cha kwaresma?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…