akatiwanya
JF-Expert Member
- Sep 2, 2024
- 674
- 868
We itakuwa ni shabiki wa Makolo tu.Hoja Mfu huwezi lazimisha au shawishi watu kufuata imani nyingine kisa kufunga. Kila mtu anafunga kwa imani yake alafu wewe ni mvaa kobazi ila hapa umeigiza tu.
Kumbe wakristo ni matajiri tu ndio wameoa🙆♂️🙆♂️🙆♂️kwenye ndoa hata masikini muislamu ano oa,
Shurti lazima iwepo ili jamii ikae kwenye mstari. Nilikua nafafanua tu sababu ya waislamu kuonekana wamenyoka zaidi ya wakristo. Wakristo nao waki-apply mbinu kama za waislamu mfano kupiga watu wanaokula kipindi cha kwaresma, kujilipua kwa mabomu ya kujitoa muhanga, kuanzisha vikundi vya kigaidi kushinikiza dini yao ifuatwe n.k uenda dini yao pia inaweza kufuatwa kwa utiifuHamna jambo jepesi duniani, wewe ulishawahi kuenda leba wakina mama wanavo jufungua ni shurt kichwa sehemu ndogo kichwa cha mtoto kikumbwa lazima apite tu
Acha kuandika upuuziSawa, ila wapiga nyeto wote peponi..!! Maana kupiga nyeto ni kitendo cha 'KIMUNGU"..!!
Inaonyesha hujui maana ya funga na fungua semi kwenye neno lolote lile..!!!Acha kuandika upuuzi
Cookie Paw Moderator Mhariri Dkt. Gwajima D TRA Tanzania TANESCO Maxence Melo Dkt Samia Suluhu Hassanajabu uislam uliukuta ukristo upo hata mtume wa shetan allah muhamad alilelewa na wakristo alipata ridhiki kuptia wakristo ajabu waislam hawawapend wakristo huku wakiwahusudu waganga na wabudha au wahindu huwez skia wakilumbana nao wao wako busy na wakristo tu ajabu wanaladhimishia MUNGU wa wakristo ndo allah ktu ambacho si kweli kbs
Then ondoa neno "Ukristo" kwenye uzi wako, sema Wakatoliki, Wakristo wana madhehebu mengi, RC being one of them so sio kila Mkristo ni Mkatoliki though Wakatoliki wote ni Wakristo, sijui ntakua nimekuchanganya?Kwaresma pia ipo kwenye vitabu vya wakatoliki, kwani wamesema vitabu vyao ni biblia tuu?
Jumapili na Pasaka vipo kwenye Biblia, wanao pinga ni Wasabato pekee yao kwa kuipotosha historia, Christmas ni kweli kabisa, haina uhusiano na UkristoKumbe usisali jpili...wala usisherehekee krismas...lakini hata pasaka yenyewe...na hata calendar walioweka ni wakatoliki hawa hawa
Mkuu hapo taswira nzima ni kwamba gharama ya ndoa ya kiislamu ni ndogo sana kiasi kwamba kuoa ni kuepesi sanaa hata bila kupitisha michango kwa ndgu na marafiki.Kumbe wakristo ni matajiri tu ndio wameoa[emoji2297][emoji2297][emoji2297]
Daah! Sawa mwarabu wa mahenge... yaani ni mkereketwa wa utamaduni wa waarabu zaidi ya waarabu wenyewe...Wasalaam
Ndugu zetu waislamu wameanza mwezi mtukufu tangu tar 2...wanatimiza moja kati ya nguzo muhimu katika imani yao
Chanda chema huvishwa Pete...tangu wenzetu wameanza mwezi mtukufu,mwamko unauona ni mkubwa sana,watu wa kada mbalimbali,wakubwa kwa watoto,hata wale tunaowaweka kwenye makundi hatarishi kama wahuni,nao wakionekana kujitahidi...heko
Wakristo tunaanza Mfungo Jtano ya majivu ya wiki hii (hasa wakatoliki)
Ajabu muitikio wa kufunga huwa mdogo...huwa tunasingizia kufunga sio mpaka chakula kufunga ni matendo mema...sote tunajua kufunga ni namna tunayouadhibu mwili kwa kuukatalia vikali katika yale ambayo ungedai ni haki yake kama...vyakula,vinywaji,ashki,mazoea tunayoyapenda mfano burudani na michezo
Haya wakati mwingine yametusonga kiasi tumekosa tafakari kwa Mungu...mungo husaidia waliowahi kufunga mashahidi
Tusifunge pale tunapokuwa tumebananishwa na hali ngumu kama uchumi,maradhi na kadhia mbali mbali kubwa au ndogo
Tuweke uwe ni utaratibu wa kujiunganisha na Mungu...kumbuka pamoja na dini zetu...bado binadamu anatakiwa ku connect kwa namna ya pekee na Mungu wake
Hongera waislamu wakristo tuige na tubadilike
NB:Shetani akimghiribu mtu anampa na kisingizio kuhalalisha ughiribu wake...wako watakuja na hoja...ooh waislamu hawafungi wanabadili ratiba ya kula...owk basi ninyi mnajua kufunga...tuwaoneshe wenzetu
Ukweli funga yao ni nzuri na Mungu anaipokea
Mkuu y kobaziTukisema ukweli bils kua na upendeleo kipi katika masuala ya dini, wakristo wameziidi hao wavaa kobazi (waislamu)
Kwenye mazishi wako excellent kwenye ndoa hata masikini muislamu ano oa, kwenye ibaada wana swali mara tano kwa siku, kwenye kutoa zakat masikini hujaa nyumba zao za ibaada kwa sababu wanajua wanatoa pesa na chakula, likija suala la kufunga mwezi wao hata muislamu mlevi mvuta bagi atafunga au atajificha,
je sisi wakuristo hao watu tuna wazidi nini kwenye dini? Au tuseme dini yao ina uhalisia.
Na pasaka mnasherehekea liniSio wakristo tunaanza J5, sema wa Catholic!
Na pasaka unayosherehekea utaratibu aliweka nani...au mna utaratibu wenuKasilimu acha blah blah....
Wakristo hatuna mfungo wa pamoja, kila mtu anafunga kwa wakati wake na kwa hitaji lake. Hiyo kwa resma ni ya wakatoliki. Hamna maandiko yaliyoweka mfungo wa pasaka ni lazima
Na pasaka mtasherehekea lini au september...unajua hata hiyo January wameweka wakatoliki?unaijua Gregorian Calender?au ndio ile nakunywa mchuzi wa nguruwe kipande cha nyama sili?Topic ni kufunga, tumefunga 40 January
'Wanafiki' mkuu unapata wapi ujasiri wa kuwaita wenzako wanafiki?ni mafundisho ya imani yako unayojivuna ni bora kuliko nyingine?kama haijakubadilisha na kuwa kama Kristo Yesu kweli...basi tuna mashaka...Mkristo halisi huwa hafungi kwa kujionesha kwa watu... Kwa taarifa yako kuna wakristo hutenga siku 7 za kufunga kila mwezi ndani ya miezi 12...
Hayo mamifungo ya kwaresma na Ramadan hufanywa na wanafiki mara moja kwa mwaka...
Utakatifu hsuji kwa mifungo kama hiyo ya kinafiki.
Bila shaka na wewe u mmoja wa wanafiki
Na pasaka mtasherehekea lini au september...unajua hata hiyo January wameweka wakatoliki?unaijua Gregorian Calender?au ndio ile nakunywa mchuzi wa nguruwe kipande cha nyama sili?