Tukisema ukweli bila kua na upendeleo, kipi katika masuala ya dini, wa kristo wamezidi hao wavaa kobazi (waislamu)
Kwenye mazishi wako excellent kwenye ndoa hata masikini muislamu ana oa, kwenye ibaada wana swali mara tano kwa siku, kwenye kutoa zakat masikini hujaa nyumba zao za ibaada kwa sababu wana jua wanatoa pesa na chakula, likija suala la kufunga mwezi wao hata muislamu mlevi mvuta bagi atafunga au atajificha,
je sisi wakuristo hao watu tuna wazidi nini kwenye dini? Au tuseme dini yao ina uhalisia na ukweli.